Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Sisumbuliwi na chochote kile.

Wewe nithibitishie tu kuwa uchawi upo.
Kabla ya kukuthibitishia tukubaliane kwanza science hainauwezo wa kuthibitisha vyote.
Tukikubaliana hapo nitakuthibitishia kwa misingi inayofuatwa na uchawi na hizo dark power tofauti na hapo siwezi tumia science kuthibitisha uchawi
 
Kabla ya kukuthibitishia tukubaliane kwanza science hainauwezo wa kuthibitisha vyote.
Tukikubaliana hapo nitakuthibitishia kwa misingi inayofuatwa na uchawi na hizo dark power tofauti na hapo sowezi tumia science kuthibitisha uchawi
1. Mimi sijadai popote pale kuwa sayansi ina majibu ya kila kitu. Na ndo maana kuna kitu kinaitwa β€˜speculative science’.

2. Kuna mengi tu katika sayansi ambayo nina mashaka nayo.

3. Hivyo, nakubaliana na wewe kwamba sayansi haina majibu ya kila kitu.

Haya twende kazi. Nithibitishie huo uchawi kuwa upo.
 
Rejea post yangu picha tu mkuu full body wala sio mambo mengi
 
Uwiii
 
Muongo wewe 🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Mwenye picha ni mimi na bado sijafariki!

🀣🀣🀣🀣🀣
Mkuu ngoja niendelee kuishughulikia kama yupo hai ataleta mrejesho.
Nime trouble shoot naona yawezekana uko nje ya bara letu sasa jiandae tu kupokea mgeni usiku ukiwa umelala na kitakacho kutokea itabidi umsimlie rafki yako vinginevyo atakutambelea kila siku.
Nb: ulale na nguo zote na ufunge milango yote
 
🀣
 
Tarehe nzuri hizi nipe namba nimpe walau 20 akale kiepe
Huenda akanipa story kamili

Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…