Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Kuna muv ya kinaijeria kama sikosei ni billionaire club niwah kuichek kitambo sana jamaa wale walikua na pesa ndefuu sana, mmoja wao alkua na kidonda kichwan kinatoa had funza!!! Hiyo ilikua muv.

Mwaka 2015 ndo naenda kupga kitabu dsm, mzee akanambia haina haja ya kufikia gest kuna babako mkubwa huko atakupokea. Nilimkatalia mzee sababu m sipend kukaa kwa watu hasa ambao nmewajua ukubwan so nkafikia gest.

Mzee na ndg wengne walikua wananiambia yule faza mkubwa ni tajiri sanaa anayo pesa, hotels, magari binafsi na ya kazi na mijengo kibao tu. Miez kama mitatu hiv yule mshua akaniita kwake ushuani huko nkaenda aseee ule mjengo n hatari sana na mandinga mazito yamepak.

Nyumba nzima ilikua na watu wawili tu!!!!! FAZA NA MLINZI!!!!
Chakula kinaletwa, usafi wanakuja watu wa kampuni wanasafisha na kusepa!!!!
Nilikaa na faza siku mbili nkaondoka na nkawa naendapo mala kwa mala hadi namalza kitabu sikuwah kuonapo mke, mtoto wala ndugu yan ni yey na babu mlinzi baaasi.

FAZA alikua anachechemea siku zote tangu nimjue!! Sasa miaka miwili iliyopita faza alizidiwa na mguu wa kushoto, alikua na kudonda, kidonda ndugu. Hakiponagi halafu hataki kupelekwa hospitali na hataki dawa za kienyeji wala maombi! Kidonda kilienda kinakua hadi kiunoni yaani kimekula ndan kwa ndani hadi FAZA amefariki mwaka jana hakuwah kufanya jitihada zozote za matibabu.

Pamoja na utajiri wake alioupata zaman sanaaa, kwao hajajenga, ndugu zake wa tumbo moja ni wakulima wa bustani ndogo ndogo za mboga mboga hakuwah kuwasaidia!!

Mali zake zote ziliisha kimiujiza tu maana hakua na mtoto wala mke so ndg zake wakarithi ila hadi naandika hapa hakuna mwenye chochote kilicho achwa na marehemu. Vingi vilitaifishwa na makampuni makubwa kama benk. Magar meng yalipata ajar mengne kuibiwa na madereva na kuna nyumba ziliungua moto.

MALI ZA KIDONDA.
 
Kuna muv ya kinaijeria kama sikosei ni billionaire club niwah kuichek kitambo sana jamaa wale walikua na pesa ndefuu sana, mmoja wao alkua na kidonda kichwan kinatoa had funza!!! Hiyo ilikua muv.

Mwaka 2015 ndo naenda kupga kitabu dsm, mzee akanambia haina haja ya kufikia gest kuna babako mkubwa huko atakupokea. Nilimkatalia mzee sababu m sipend kukaa kwa watu hasa ambao nmewajua ukubwan so nkafikia gest.

Mzee na ndg wengne walikua wananiambia yule faza mkubwa ni tajiri sanaa anayo pesa, hotels, magari binafsi na ya kazi na mijengo kibao tu. Miez kama mitatu hiv yule mshua akaniita kwake ushuani huko nkaenda aseee ule mjengo n hatari sana na mandinga mazito yamepak.

Nyumba nzima ilikua na watu wawili tu!!!!! FAZA NA MLINZI!!!!
Chakula kinaletwa, usafi wanakuja watu wa kampuni wanasafisha na kusepa!!!!
Nilikaa na faza siku mbili nkaondoka na nkawa naendapo mala kwa mala hadi namalza kitabu sikuwah kuonapo mke, mtoto wala ndugu yan ni yey na babu mlinzi baaasi.

FAZA alikua anachechemea siku zote tangu nimjue!! Sasa miaka miwili iliyopita faza alizidiwa na mguu wa kushoto, alikua na kudonda, kidonda ndugu. Hakiponagi halafu hataki kupelekwa hospitali na hataki dawa za kienyeji wala maombi! Kidonda kilienda kinakua hadi kiunoni yaani kimekula ndan kwa ndani hadi FAZA amefariki mwaka jana hakuwah kufanya jitihada zozote za matibabu.

Pamoja na utajiri wake alioupata zaman sanaaa, kwao hajajenga, ndugu zake wa tumbo moja ni wakulima wa bustani ndogo ndogo za mboga mboga hakuwah kuwasaidia!!

Mali zake zote ziliisha kimiujiza tu maana hakua na mtoto wala mke so ndg zake wakarithi ila hadi naandika hapa hakuna mwenye chochote kilicho achwa na marehemu. Vingi vilitaifishwa na makampuni makubwa kama benk. Magar meng yalipata ajar mengne kuibiwa na madereva na kuna nyumba ziliungua moto.

MALI ZA KIDONDA.
Ungekaa vizuri na mzee mkayajenga. Angekwambia ukweli, ukaridhi afu ukafanya transformation.
 
Tembea uone mambo ya ajabu yaliyopo Tanzania hii, yaani ukiwa mtanzania tayari umeshajiunganisha na mambo ya shirki Moja Kwa moja😀 neema ya mungu ikuokoe tu. Usione mtu ana push ndinga kali ana drip na ni kijana mdogo tu, we jua utajiri una Siri nyingi sana. Hizi ni baadhi ya aina ya utajiri watu wanatumia.

👉Utajiri wa Shilingi: Hapa unapewa coin inakuwa inakuingizia pesa ukikosea mashariti inapotea unarudi kapuku (rupee hizi wakinga ndo wanazo) hapa utaanza na kafara za kuku mwisho damu itahitajila

👉Utajiri wa nyoka: Hapa unapewa kanyoka kadogo kadiri kanavokua ndo utajiri wako unaongezeka na Kila mwaka inabidi utoe sadaka kurenew huyo nyoka ukibugi unarudi katika ufukara

👉Utajiri wa kafara: Huu wengi hawautaki siku hizi na hata wakitumia hawataki kuua ndugu zao siku hizi mtu ana magari anatoa kafara gari linaanguka watu wanateketea ova. Au mtu anafunga ofisi au taasisi halafu watumishi ndo wanateketea.

👉Utajiri wa kidonda: Hapa unakua na kidonda ambacho akiponi na kadiri unavotumia Mali zako ndo kinaongezeka. Unachagua wewe kidonda kiwe sehemu Gani ya mwili.

👉Utajiri wa kupunguzwa nguvu: Hapa unachagua kiungo kimoja ambacho kinatolewa nguvu kichawi, unakua nacho ila hakifanyi kazi. Mfano jicho, mtu anakua na macho yote mawili ila ni Moja ndo linafanya kazi kidole, mkono hata pumbu.

👉Misukule: Hapa unamiliki Misukule ambayo inakua inakufanyia shughuli zako zote huku wewe umekaa umekunja nne, huu upo vijijini Kwa shughuli za shamba

👉Utajiri wa punje: Hapa inaenda Kwa mganga anakupa jogoo lililoshiba usishangae likala punje mbili tatu tu na hio ndo inakua miaka yako ya kusumbua ukiwa tajiri

👉Utajiri wa Chuma ulete: Huu nao watu hawautaki siku hizi maana kuumbuka nje nje. Kuna mzee mmoja aliwahi vutishwa mavi duka lake lilinuka kinyesi watu walichezesha mkeka🤣🤣.

👉Utajiri wa kafara ya ndugu wa damu unaempenda: Hapa utake utamtoa usitake utamtoa ama ufe wewe😀😀 ibilisi anakuchagulia

Jamani zinatosha ila mambo ni mengi muda mchache watu wana macho lakini hawaoni mtu anamasikio lakini hasikii yaani kwa kifupi hakuna pesa ya shortcut yenye mwisho mzuri.

Nawasilisha.
Mpwa wakooi upi hapa??niujaribu
 
Uchawi wa nyoka msumbiji unapewa nyoka unarudi nae ila anakaa km mfuko tu yaani uvunguni kwa kitanda,ukitaka kumtuma unachukua dawa unamwagia then anaenda kuleta pesa akiondoka Sasa huko anakaa ht siku tatu au wiki masharti siku anarudi Kuna ishara unapewa unatakiwa uandae uji wa sembe uweke kwenye chungu afu ukae mlangoni mwa chumbani kwako anakokaa uchi wa mnyama na uwe peke Yako ndani,akifkia anapita katikati ya miguu Yako anaenda kunywa uji Woote afu anaanza kutapika pesa zooote ,ikisha anarudi kua mfuko
Nipe ramani boss
 
Tembea uone mambo ya ajabu yaliyopo Tanzania hii, yaani ukiwa mtanzania tayari umeshajiunganisha na mambo ya shirki Moja Kwa moja😀 neema ya mungu ikuokoe tu. Usione mtu ana push ndinga kali ana drip na ni kijana mdogo tu, we jua utajiri una Siri nyingi sana. Hizi ni baadhi ya aina ya utajiri watu wanatumia.

👉Utajiri wa Shilingi: Hapa unapewa coin inakuwa inakuingizia pesa ukikosea mashariti inapotea unarudi kapuku (rupee hizi wakinga ndo wanazo) hapa utaanza na kafara za kuku mwisho damu itahitajila

👉Utajiri wa nyoka: Hapa unapewa kanyoka kadogo kadiri kanavokua ndo utajiri wako unaongezeka na Kila mwaka inabidi utoe sadaka kurenew huyo nyoka ukibugi unarudi katika ufukara

👉Utajiri wa kafara: Huu wengi hawautaki siku hizi na hata wakitumia hawataki kuua ndugu zao siku hizi mtu ana magari anatoa kafara gari linaanguka watu wanateketea ova. Au mtu anafunga ofisi au taasisi halafu watumishi ndo wanateketea.

👉Utajiri wa kidonda: Hapa unakua na kidonda ambacho akiponi na kadiri unavotumia Mali zako ndo kinaongezeka. Unachagua wewe kidonda kiwe sehemu Gani ya mwili.

👉Utajiri wa kupunguzwa nguvu: Hapa unachagua kiungo kimoja ambacho kinatolewa nguvu kichawi, unakua nacho ila hakifanyi kazi. Mfano jicho, mtu anakua na macho yote mawili ila ni Moja ndo linafanya kazi kidole, mkono hata pumbu.

👉Misukule: Hapa unamiliki Misukule ambayo inakua inakufanyia shughuli zako zote huku wewe umekaa umekunja nne, huu upo vijijini Kwa shughuli za shamba

👉Utajiri wa punje: Hapa inaenda Kwa mganga anakupa jogoo lililoshiba usishangae likala punje mbili tatu tu na hio ndo inakua miaka yako ya kusumbua ukiwa tajiri

👉Utajiri wa Chuma ulete: Huu nao watu hawautaki siku hizi maana kuumbuka nje nje. Kuna mzee mmoja aliwahi vutishwa mavi duka lake lilinuka kinyesi watu walichezesha mkeka🤣🤣.

👉Utajiri wa kafara ya ndugu wa damu unaempenda: Hapa utake utamtoa usitake utamtoa ama ufe wewe😀😀 ibilisi anakuchagulia

Jamani zinatosha ila mambo ni mengi muda mchache watu wana macho lakini hawaoni mtu anamasikio lakini hasikii yaani kwa kifupi hakuna pesa ya shortcut yenye mwisho mzuri.

Nawasilisha.
da!!!!
 
Tembea uone mambo ya ajabu yaliyopo Tanzania hii, yaani ukiwa mtanzania tayari umeshajiunganisha na mambo ya shirki Moja Kwa moja😀 neema ya mungu ikuokoe tu. Usione mtu ana push ndinga kali ana drip na ni kijana mdogo tu, we jua utajiri una Siri nyingi sana. Hizi ni baadhi ya aina ya utajiri watu wanatumia.

👉Utajiri wa Shilingi: Hapa unapewa coin inakuwa inakuingizia pesa ukikosea mashariti inapotea unarudi kapuku (rupee hizi wakinga ndo wanazo) hapa utaanza na kafara za kuku mwisho damu itahitajila

👉Utajiri wa nyoka: Hapa unapewa kanyoka kadogo kadiri kanavokua ndo utajiri wako unaongezeka na Kila mwaka inabidi utoe sadaka kurenew huyo nyoka ukibugi unarudi katika ufukara

👉Utajiri wa kafara: Huu wengi hawautaki siku hizi na hata wakitumia hawataki kuua ndugu zao siku hizi mtu ana magari anatoa kafara gari linaanguka watu wanateketea ova. Au mtu anafunga ofisi au taasisi halafu watumishi ndo wanateketea.

👉Utajiri wa kidonda: Hapa unakua na kidonda ambacho akiponi na kadiri unavotumia Mali zako ndo kinaongezeka. Unachagua wewe kidonda kiwe sehemu Gani ya mwili.

👉Utajiri wa kupunguzwa nguvu: Hapa unachagua kiungo kimoja ambacho kinatolewa nguvu kichawi, unakua nacho ila hakifanyi kazi. Mfano jicho, mtu anakua na macho yote mawili ila ni Moja ndo linafanya kazi kidole, mkono hata pumbu.

👉Misukule: Hapa unamiliki Misukule ambayo inakua inakufanyia shughuli zako zote huku wewe umekaa umekunja nne, huu upo vijijini Kwa shughuli za shamba

👉Utajiri wa punje: Hapa inaenda Kwa mganga anakupa jogoo lililoshiba usishangae likala punje mbili tatu tu na hio ndo inakua miaka yako ya kusumbua ukiwa tajiri

👉Utajiri wa Chuma ulete: Huu nao watu hawautaki siku hizi maana kuumbuka nje nje. Kuna mzee mmoja aliwahi vutishwa mavi duka lake lilinuka kinyesi watu walichezesha mkeka🤣🤣.

👉Utajiri wa kafara ya ndugu wa damu unaempenda: Hapa utake utamtoa usitake utamtoa ama ufe wewe😀😀 ibilisi anakuchagulia

Jamani zinatosha ila mambo ni mengi muda mchache watu wana macho lakini hawaoni mtu anamasikio lakini hasikii yaani kwa kifupi hakuna pesa ya shortcut yenye mwisho mzuri.

Nawasilisha.
wewe na yule mbwa anajiita chief godlove mko kundi gani? jamaa wamemkata mpaka vidole kisa utajiri maamaae , maisha ni hustling sio kimiujiza tu kama ya kina mwamposa. Pigeni kazi hakuna mteremko.
 
Huo wa kidonda jamaa yangu anacho mguuni
Hizo nyumba sasa alizonazo za wapangaji ni balaaa.alafu anakopesa pesa kwa mali.
Kwa mfanobunataka hela umaweka jumyumba au gari rehani akikupa hiyo hela hata ufanyeje hurudishi mkataba unaisha mali yako inaondoka
 
Vipi yule tajiri wa mabasi aliyefariki akiwa kijana mdogo kwa ajali alitumia njia gani?
 
Tembea uone mambo ya ajabu yaliyopo Tanzania hii, yaani ukiwa mtanzania tayari umeshajiunganisha na mambo ya shirki Moja Kwa moja😀 neema ya mungu ikuokoe tu. Usione mtu ana push ndinga kali ana drip na ni kijana mdogo tu, we jua utajiri una Siri nyingi sana. Hizi ni baadhi ya aina ya utajiri watu wanatumia.

👉Utajiri wa Shilingi: Hapa unapewa coin inakuwa inakuingizia pesa ukikosea mashariti inapotea unarudi kapuku (rupee hizi wakinga ndo wanazo) hapa utaanza na kafara za kuku mwisho damu itahitajila

👉Utajiri wa nyoka: Hapa unapewa kanyoka kadogo kadiri kanavokua ndo utajiri wako unaongezeka na Kila mwaka inabidi utoe sadaka kurenew huyo nyoka ukibugi unarudi katika ufukara

👉Utajiri wa kafara: Huu wengi hawautaki siku hizi na hata wakitumia hawataki kuua ndugu zao siku hizi mtu ana magari anatoa kafara gari linaanguka watu wanateketea ova. Au mtu anafunga ofisi au taasisi halafu watumishi ndo wanateketea.

👉Utajiri wa kidonda: Hapa unakua na kidonda ambacho akiponi na kadiri unavotumia Mali zako ndo kinaongezeka. Unachagua wewe kidonda kiwe sehemu Gani ya mwili.

👉Utajiri wa kupunguzwa nguvu: Hapa unachagua kiungo kimoja ambacho kinatolewa nguvu kichawi, unakua nacho ila hakifanyi kazi. Mfano jicho, mtu anakua na macho yote mawili ila ni Moja ndo linafanya kazi kidole, mkono hata pumbu.

👉Misukule: Hapa unamiliki Misukule ambayo inakua inakufanyia shughuli zako zote huku wewe umekaa umekunja nne, huu upo vijijini Kwa shughuli za shamba

👉Utajiri wa punje: Hapa inaenda Kwa mganga anakupa jogoo lililoshiba usishangae likala punje mbili tatu tu na hio ndo inakua miaka yako ya kusumbua ukiwa tajiri

👉Utajiri wa Chuma ulete: Huu nao watu hawautaki siku hizi maana kuumbuka nje nje. Kuna mzee mmoja aliwahi vutishwa mavi duka lake lilinuka kinyesi watu walichezesha mkeka🤣🤣.

👉Utajiri wa kafara ya ndugu wa damu unaempenda: Hapa utake utamtoa usitake utamtoa ama ufe wewe😀😀 ibilisi anakuchagulia

Jamani zinatosha ila mambo ni mengi muda mchache watu wana macho lakini hawaoni mtu anamasikio lakini hasikii yaani kwa kifupi hakuna pesa ya shortcut yenye mwisho mzuri.

Nawasilisha.
Haya na useme yote umejifunzia wapi?
 
Back
Top Bottom