Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Mchawi lazima utetee uchawi. Tukikukagua nyumbani kwako hukosi msukule weweKuamini ushirikina/utajiri wa kishirikina ni ujinga wa kiwango cha SGR.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchawi lazima utetee uchawi. Tukikukagua nyumbani kwako hukosi msukule weweKuamini ushirikina/utajiri wa kishirikina ni ujinga wa kiwango cha SGR.
umedanganya Umma kwa asilimia kubwa sanaChuma ulete ina limitations... Inakupa mahitaji muhimu tuu. Pesa yake huwezi hata kununua nguo nzuri sana sana utaishia malonya kwakuwa ukichuma sana kwa siku ni mwekundu na kuipata tena hiyo inaweza kukuchukua mpaka siku 14
Kwamba wanaangalia talanta then wakikufata na uka kataa ku join wanakufanyaje?Weka nyama nyama basi mkuu
Mchawi lazima utetee uchawi. Tukikukagua nyumbani kwako hukosi msukule wewe
Huu ndo ulozi sasa achana na wa kupewa kanyoka mwisho kakung'ate😂Kuna moja wanatumia kule msumbiji unapewa kijiti unakiweka kwenye mfuko wa kushoto wa shati au suruali kazi yako kila siku uwe unagonga demu mmoja mpya(note: usirudie kufanya mapenzi na mwanamke mmoja) kadiri unavyofanya mapenzi na wanawake wapya kila siku ndivyo utajiri wako unavyokuwa na kuimarika.. hii dunia ni jehanamu sometimess
Kuna mwanangu aliambiwa ampelekee moto mama mkwe wake. Sasa akawa hajui ataanzaje. Ikabidi anishirikishe tena kwa kutanguliza samahani nyingi maana anajua msimamo wangu juu ya vitu vya kusadikika.Umesahau na ule utajiri wa kumgonga mama au dada ako.
Hii dunia ina mambo
iKuna jamaa alitumia ya kiungo sikio Moja halisikii😀😀
Daaah, ee Mungu uturehemu. Kuna watu wanaishi maisha ya Jehanum wakiwa duniani.Kuna mwanangu aliambiwa ampelekee moto mama mkwe wake. Sasa akawa hajui ataanzaje. Ikabidi anishirikishe tena kwa kutanguliza samahani nyingi maana anajua msimamo wangu juu ya vitu vya kusadikika.
Baada ya kunieleza nikamshauri amchanganyie huyo bi mkwe valium pill kwenye kinywaji akisinzia ampelekee moto. Jamaa akafuata maelekezo akafanikisha. Ila kila baada ya muda fulani inabidi afanye hivyo tena. Sasa kuna siku bi mkwe alishituka jamaa hajamaliza lakini haikuwa issue maana jamaa alimweleza ukweli na kuomba msamaha juu plus kuahidi kuacha ile tabia.
Ila bi mkwe akasisitiza akamsihi kuwa haina haja ya kuacha warudi kuwa kapuku. Hivyo kuanzia hapo wakawa wapenzi rasmi.
Yupo kundi la matapeli.Wewe upo kundi lipi? Na dp yako ya kibabe.
Hamna kitu kama hicho.
Kuna jamaa angu mmoja alpata kazi kwa mfanyabiashara mmoja maarufu huko dom, cha kushangaza kila mwaka wakawa wanazika mfanyakazi mmoja baada ya mwingine jamaa angu akaona isiwe tabu ,kabla zamu yake haijafika akaacha kazi,.. saivi ni bodaHuo wa kuua wafanyakazi naona unakuja kuwa fashion Sana....