Huenda hao jamaa kuingiliana ndugu kwa ndugu ni maelekezo ya ibilisi ili apate ibaada zake zifanikiwe'Ndugu zetu wale' ndiyo wepi hao?
Kama ni wahindi ama waarabu hiyo ni kesi ya kijenetic sababu ya kuingiliana ndugu.
We waweza kudhani ni tatizo la genetic kumbe ni maelekezo Toka kuzimu