Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Aisee noma Sana,😲😲 na naona uwa ana gari zinaongozana kama kiongozi flani duuu
 
Fosi mazingira

Usimamie project yake ata moja
Ni mbanizi kinoma noma ila siwezi maana bado nasoma mkuuu hii siri niliyomwaga hapa ni very confidential maana najua hamna mtu anaweza kumdhuru

Ila nimbanizi haswa haswa 😑😒
 
Ana uchungu na Mali yake,kumpata ana Kwa ana ni rahisi?
Inategemea na uhusiano wenu tu na agenda mnayoenda kuongea mi nishaonana nae sana tu hata nyumbani kwetu Arusha huwa anakujaga mara nyingi sana hata hapa dar ashaniombea kwenye ofisi yake

Hivyo inategemea na uhusiano wenu
 
Mtaje
 
Ubora wa Vinicius Jr hio jana ndio kama huu
 
Ni Afrika pekee ndo utakutana na huu ujinga. Pigeni kazi, hakuna pesa za bure.
 
Kuna marafiki wawili walienda kwa mganga kusaka utajiri, wa kwanza akaingia mganga akamwambia vipi nimtoe jamaa ako awe ndodocha upige pesa?

Jamaa akasema ngoja natafakari.

Mwenzie kaingia, kuulizwa yeyey hakusita akasema poa tumtoe. Ila sharti ni kwamba ampe jamaa pesa yoyote akija kuichukua dukani.
Nitaendelea siku ingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…