Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Unazungukia madanguro yote nchi nzima,bado insta,telegram na app hizo zingine.kazi yako ni kula kushiba na kusaka mbususu
Hapo inabidi uwe nao unawafuga ndani stock hata ya miezi miwili, ukipiga ndio anasepa mazima anarudi kwao.
 
Kunajamaa amegangwa apate hela. Hela kweli anazo sana ana maduka lukuki.

Alipewa kizaazaa maana kila alhamisi lazima apoteze faham kama mtu mwenye kifafa na mpaka ajimwagie mbolea ndio anaamka
Sasa hayo mambo ya kujimwagia kubwa ili upate hela mnayaonaje jamani?
 
Uchawi wa nyoka msumbiji unapewa nyoka unarudi nae ila anakaa km mfuko tu yaani uvunguni kwa kitanda,ukitaka kumtuma unachukua dawa unamwagia then anaenda kuleta pesa akiondoka Sasa huko anakaa ht siku tatu au wiki masharti siku anarudi Kuna ishara unapewa unatakiwa uandae uji wa sembe uweke kwenye chungu afu ukae mlangoni mwa chumbani kwako anakokaa uchi wa mnyama na uwe peke Yako ndani,akifkia anapita katikati ya miguu Yako anaenda kunywa uji Woote afu anaanza kutapika pesa zooote ,ikisha anarudi kua mfuko
Marko 8:36
 
Uchawi wa nyoka msumbiji unapewa nyoka unarudi nae ila anakaa km mfuko tu yaani uvunguni kwa kitanda,ukitaka kumtuma unachukua dawa unamwagia then anaenda kuleta pesa akiondoka Sasa huko anakaa ht siku tatu au wiki masharti siku anarudi Kuna ishara unapewa unatakiwa uandae uji wa sembe uweke kwenye chungu afu ukae mlangoni mwa chumbani kwako anakokaa uchi wa mnyama na uwe peke Yako ndani,akifkia anapita katikati ya miguu Yako anaenda kunywa uji Woote afu anaanza kutapika pesa zooote ,ikisha anarudi kua mfuko
Hii noma
 
🥲🥲🥲
Kunajamaa amegangwa apate hela. Hela kweli anazo sana ana maduka lukuki.

Alipewa kizaazaa maana kila alhamisi lazima apoteze faham kama mtu mwenye kifafa na mpaka ajimwagie mbolea ndio anaamka
Sasa hayo mambo ya kujimwagia kubwa ili upate hela mnayaonaje jamani?
Yaani ajinyee sio
 
Kunajamaa amegangwa apate hela. Hela kweli anazo sana ana maduka lukuki.

Alipewa kizaazaa maana kila alhamisi lazima apoteze faham kama mtu mwenye kifafa na mpaka ajimwagie mbolea ndio anaamka
Sasa hayo mambo ya kujimwagia kubwa ili upate hela mnayaonaje jamani?
Hahahahaha balaaa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ya Misukule..jamaa kaenda dukani kwa Muhindi kununua bidhaa kumbe na misukule yake nayo inabeba kwa wizi. Wakati wa kulipa Muhindi anamuambia jamaa pesa unayolipa mbona haifanani na mzigo uliyonunua..akijumlisha na ile waliyokuwa wanabeba misukule(Muhindi alikuwa nae wamo).
Muhindi kwa kumkomoa akaitaifisha ile Misukule na jamaa utajiri ukaisha.

Hii kubwa kuliko 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Umeshawahi ona supermarket kuna chumaulete?
Mkuu amini usiamini hadi mabenki huwa wanachukuliwa Fedha kimiujiza (fedha ambazo bado ziko counter) ushuhuda ninao zaidi ya mmoja sema huwa wanaficha sana ili kutokuondoa imani kwa wateja ila kaa kwa utulivu na kwa umakini kama una ndugu yako Ambaye ana cheo maeneo hayo na anakuamini kutunza siri atakuambia ila huwa ni siri kubwa.

Kuna taasisi za fedha huwa wanahesabu fedha taslim dirishani na kutoa hesabu kamili na risiti lakini ikifika jion shoti inaonekana....

Na ma security camera yao hayanasi kitu
 
Back
Top Bottom