[emoji3][emoji3][emoji3]duhhChuma ulete ina limitations... Inakupa mahitaji muhimu tuu. Pesa yake huwezi hata kununua nguo nzuri sana sana utaishia malonya kwakuwa ukichuma sana kwa siku ni mwekundu na kuipata tena hiyo inaweza kukuchukua mpaka siku 14
KaàhhhNipeleke kwa huyu sangoma maana sina kazi nazo, ila mashine ifanye kazi kama kawa 😎 😎
Naona baada ya muda na sikio lingine litakufa tu.Kuna jamaa alitumia ya kiungo sikio Moja halisikii😀😀
DuhhhAlistuka ukiwa umebaki mwaka mmoja. Ikabidi atumie ile pesa aliyoipata kumtafuata fundi zaidi ili ambakishe hai.
Alifanikiwa kumpata na alifanikiwa kuepuka kifo.
Ila ndio hivyo alifirisika akabaki ombaomba tu, kama kwanza.
Hasa hizi private sector, yaani ni balaa tupu ...Huo wa kuua wafanyakazi naona unakuja kuwa fashion Sana....
Hivu kuraise kundalin sio uchawi?Hii siwez izungumzia hadharani ,nikimkumbuka rafiki yangu said maturike kilichomtokea , bongo watu waliokaza roho tupo wachache mno jamhuri nzima
Kah😀😀Kuna marafiki wawili walienda kwa mganga kusaka utajiri, wa kwanza akaingia mganga akamwambia vipi nimtoe jamaa ako awe ndodocha upige pesa?
Jamaa akasema ngoja natafakari.
Mwenzie kaingia, kuulizwa yeyey hakusita akasema poa tumtoe. Ila sharti ni kwamba ampe jamaa pesa yoyote akija kuichukua dukani.
Nitaendelea siku ingine
dah ila wa tz iv kwanin pesa akiwa nazo mzungu muarab muhind mchaga hazina tatzo ila akiwa nazo msukuma mnyamwez muha au kabira zngine bas ni uchaw tu watu wanavofkir...izo ni slave mentality tu...mbona ao waganga wanaish maisha mabov sn tu kuliko ht watej [emoji34][emoji34]tuache slogan za kaleTembea uone mambo ya ajabu yaliyopo Tanzania hii, yaani ukiwa mtanzania tayari umeshajiunganisha na mambo ya shirki Moja Kwa moja[emoji3] neema ya mungu ikuokoe tu. Usione mtu ana push ndinga kali ana drip na ni kijana mdogo tu, we jua utajiri una Siri nyingi sana. Hizi ni baadhi ya aina ya utajiri watu wanatumia.
[emoji117]Utajiri wa Shilingi: Hapa unapewa coin inakuwa inakuingizia pesa ukikosea mashariti inapotea unarudi kapuku (rupee hizi wakinga ndo wanazo) hapa utaanza na kafara za kuku mwisho damu itahitajila
[emoji117]Utajiri wa nyoka: Hapa unapewa kanyoka kadogo kadiri kanavokua ndo utajiri wako unaongezeka na Kila mwaka inabidi utoe sadaka kurenew huyo nyoka ukibugi unarudi katika ufukara
[emoji117]Utajiri wa kafara: Huu wengi hawautaki siku hizi na hata wakitumia hawataki kuua ndugu zao siku hizi mtu ana magari anatoa kafara gari linaanguka watu wanateketea ova. Au mtu anafunga ofisi au taasisi halafu watumishi ndo wanateketea.
[emoji117]Utajiri wa kidonda: Hapa unakua na kidonda ambacho akiponi na kadiri unavotumia Mali zako ndo kinaongezeka. Unachagua wewe kidonda kiwe sehemu Gani ya mwili.
[emoji117]Utajiri wa kupunguzwa nguvu: Hapa unachagua kiungo kimoja ambacho kinatolewa nguvu kichawi, unakua nacho ila hakifanyi kazi. Mfano jicho, mtu anakua na macho yote mawili ila ni Moja ndo linafanya kazi kidole, mkono hata pumbu.
[emoji117]Misukule: Hapa unamiliki Misukule ambayo inakua inakufanyia shughuli zako zote huku wewe umekaa umekunja nne, huu upo vijijini Kwa shughuli za shamba
[emoji117]Utajiri wa punje: Hapa inaenda Kwa mganga anakupa jogoo lililoshiba usishangae likala punje mbili tatu tu na hio ndo inakua miaka yako ya kusumbua ukiwa tajiri
[emoji117]Utajiri wa Chuma ulete: Huu nao watu hawautaki siku hizi maana kuumbuka nje nje. Kuna mzee mmoja aliwahi vutishwa mavi duka lake lilinuka kinyesi watu walichezesha mkeka[emoji1787][emoji1787].
[emoji117]Utajiri wa kafara ya ndugu wa damu unaempenda: Hapa utake utamtoa usitake utamtoa ama ufe wewe[emoji3][emoji3] ibilisi anakuchagulia
Jamani zinatosha ila mambo ni mengi muda mchache watu wana macho lakini hawaoni mtu anamasikio lakini hasikii yaani kwa kifupi hakuna pesa ya shortcut yenye mwisho mzuri.
Nawasilisha.
DuhTembea uone mambo ya ajabu yaliyopo Tanzania hii, yaani ukiwa mtanzania tayari umeshajiunganisha na mambo ya shirki Moja Kwa moja[emoji3] neema ya mungu ikuokoe tu. Usione mtu ana push ndinga kali ana drip na ni kijana mdogo tu, we jua utajiri una Siri nyingi sana. Hizi ni baadhi ya aina ya utajiri watu wanatumia.
[emoji117]Utajiri wa Shilingi: Hapa unapewa coin inakuwa inakuingizia pesa ukikosea mashariti inapotea unarudi kapuku (rupee hizi wakinga ndo wanazo) hapa utaanza na kafara za kuku mwisho damu itahitajila
[emoji117]Utajiri wa nyoka: Hapa unapewa kanyoka kadogo kadiri kanavokua ndo utajiri wako unaongezeka na Kila mwaka inabidi utoe sadaka kurenew huyo nyoka ukibugi unarudi katika ufukara
[emoji117]Utajiri wa kafara: Huu wengi hawautaki siku hizi na hata wakitumia hawataki kuua ndugu zao siku hizi mtu ana magari anatoa kafara gari linaanguka watu wanateketea ova. Au mtu anafunga ofisi au taasisi halafu watumishi ndo wanateketea.
[emoji117]Utajiri wa kidonda: Hapa unakua na kidonda ambacho akiponi na kadiri unavotumia Mali zako ndo kinaongezeka. Unachagua wewe kidonda kiwe sehemu Gani ya mwili.
[emoji117]Utajiri wa kupunguzwa nguvu: Hapa unachagua kiungo kimoja ambacho kinatolewa nguvu kichawi, unakua nacho ila hakifanyi kazi. Mfano jicho, mtu anakua na macho yote mawili ila ni Moja ndo linafanya kazi kidole, mkono hata pumbu.
[emoji117]Misukule: Hapa unamiliki Misukule ambayo inakua inakufanyia shughuli zako zote huku wewe umekaa umekunja nne, huu upo vijijini Kwa shughuli za shamba
[emoji117]Utajiri wa punje: Hapa inaenda Kwa mganga anakupa jogoo lililoshiba usishangae likala punje mbili tatu tu na hio ndo inakua miaka yako ya kusumbua ukiwa tajiri
[emoji117]Utajiri wa Chuma ulete: Huu nao watu hawautaki siku hizi maana kuumbuka nje nje. Kuna mzee mmoja aliwahi vutishwa mavi duka lake lilinuka kinyesi watu walichezesha mkeka[emoji1787][emoji1787].
[emoji117]Utajiri wa kafara ya ndugu wa damu unaempenda: Hapa utake utamtoa usitake utamtoa ama ufe wewe[emoji3][emoji3] ibilisi anakuchagulia
Jamani zinatosha ila mambo ni mengi muda mchache watu wana macho lakini hawaoni mtu anamasikio lakini hasikii yaani kwa kifupi hakuna pesa ya shortcut yenye mwisho mzuri.
Nawasilisha.
Hii wanayo sana Wafuasi wa Mudi.Umesahau na ule utajiri wa kumgonga mama au dada ako.
Hii dunia ina mambo
Mkuu nani huyo? Funguka plz.Unamzungumzia yule msanii wa bongo flavour nini mkuu?
Kayngay wewe. Na nyie kuwapiga miti mama zenu, dada zenu na mabinti zenu. Halafu mnakufa maskini mkibaki tu kung'aka Yesu siyo Mungu.Wanazo ni wale wa kaskazini Wanakuwaga na watoto matahira kabisa kama wahindi
😂😂😂Nyie kila nyumba Ina chizi ...halafu wanaume mnakufa daily baada ya kupata mali ndo maana mnakimbia kwenuKayngay wewe. Na nyie kuwapiga miti mama zenu, dada zenu na mabinti zenu. Halafu mnakufa maskini mkibaki tu kung'aka Yesu siyo Mungu.
Hatuko obsessed na mambo ya Mali kama nyie matapeli ,wezi ,majambazi
Ile pete ya unguja vipi hapo haipo mkuu?Hizi zote sijawahi kuzitesti,ngoja nije nijaribu huo wa Nyoka Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi akifa Huyo nyoka na wewe unakufa au?Uchawi wa nyoka msumbiji unapewa nyoka unarudi nae ila anakaa km mfuko tu yaani uvunguni kwa kitanda,ukitaka kumtuma unachukua dawa unamwagia then anaenda kuleta pesa akiondoka Sasa huko anakaa ht siku tatu au wiki masharti siku anarudi Kuna ishara unapewa unatakiwa uandae uji wa sembe uweke kwenye chungu afu ukae mlangoni mwa chumbani kwako anakokaa uchi wa mnyama na uwe peke Yako ndani,akifkia anapita katikati ya miguu Yako anaenda kunywa uji Woote afu anaanza kutapika pesa zooote ,ikisha anarudi kua mfuko
Hapana hii siyo nyingine kabisaaVipi akifa Huyo nyoka na wewe unakufa au?
Inatisha pesa ngumu aseeUchawi wa nyoka msumbiji unapewa nyoka unarudi nae ila anakaa km mfuko tu yaani uvunguni kwa kitanda,ukitaka kumtuma unachukua dawa unamwagia then anaenda kuleta pesa akiondoka Sasa huko anakaa ht siku tatu au wiki masharti siku anarudi Kuna ishara unapewa unatakiwa uandae uji wa sembe uweke kwenye chungu afu ukae mlangoni mwa chumbani kwako anakokaa uchi wa mnyama na uwe peke Yako ndani,akifkia anapita katikati ya miguu Yako anaenda kunywa uji Woote afu anaanza kutapika pesa zooote ,ikisha anarudi kua mfuko
ha..haaa...haaa acha zambiMtaje