Zijue Alama za barabarani pamoja na matumizi yake

Unatakiwa uwe na stopping distance ya 8sec kati yako na dereva wa mbele yako......sjui kwa tz but international laws ( 8 sec following distnce)
Dhaaa!! Nomaa aiseee
 
Ahsante sana kwa kutukumbusha. Kuna siku nimesimamishwa na trafiki akanikagua kama nazijua alama za barabarani. Alamnusura ile kwangu.

Sent from my SM-T705 using JamiiForums mobile app
 
Ahsante sana kwa kutukumbusha. Kuna siku nimesimamishwa na trafiki akanikagua kama nazijua alama za barabarani. Alamnusura ile kwangu.

Sent from my SM-T705 using JamiiForums mobile app
Jitahidi uzijue.uzuri wa zile alama.ni kwamba sio lazma uzihifadhi.ila ukiiona tu.unajua imemaanisha nini.na ukijua alama za barabarani.utaendesha gari kwa amani kabisa.na hata ukiona ajali unamjua nani mwenye makosa.unabaki unacheka tu na kushangaa.maana madereva wengi na bodaboda hawazijui.na hata watembea kwa miguu pia.
 
Elimu ya bure sasa kagonge[emoji23][emoji23][emoji23]

phantom 6 plus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…