Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mabasi ya mizigo? Halafu picha ya Lorry
Yaani kama Google translate vile
Yaani kama Google translate vile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule mstari wa katikati upi Huwa unakataza kuovertake ulio solid au ule wa dot dot
Ule mstari wa katikati upi Huwa unakataza kuovertake ulio solid au ule wa dot dot
Solid unakukataza kuovertake,dots unakuruhusu kuovertake.Ule mstari wa katikati upi Huwa unakataza kuovertake ulio solid au ule wa dot dot
Unapouona huo mstari mweupe mreefu bila dot dot nyeupe maana yake hutakiwi kuovertake hiyo sehemu ukiwa ktk mteremko ukaona huo mstari mweupe mreefu kushoto kwake kuna dotdot maana yake unaruhusiwa kuovetake hilo eneo . Ila yule anaetoka upande mwingine huo mstari mweupe mrefu unamkataza .ukiona mahali dot dot kila upande mstari mweupe haupo maana yake hilo eneo siyo hatarishi unaruhusiwa kuovetake na yule anaetoka upande wa pili pia anaruhusiwa kuovertakeAhsante
Dah.... sikio lililokatwa maana yake Kuna kivuko Cha wasiosikia (viziwi ) barabara....kwenye S hautakiwi kusimamisha gari...[emoji2960]Kuna ambazo nimeona kwenye barabara ya Dar Moshi sijawahi ona popote hata hapa. Mara limechorwa sikio kubwa then ukakatiza mstari kama kulikata, nyingine kimechorwa kichwa kikubwa ukakatiza mstari kukikata, halafu kuna nyingine nimeona Dar kuna S hapa sijaziona, labda ni za tanzania tu.
Ni nusu ya Speed yakokwenye hizo alama za kudhibiti mbona huwa naziona kwenye njia ya makutano hiyo ya Ruhusu na simama..
swali lingine, natakiwa kuacha umbali gan kat ya gari langu na gari jingine tukiwa barabara kuu
Naomba na ufafanuzi wa ile mistari ya njano na meupe barabarani ile mirefu na ile iliyokatikakatika vipande
Humaanisha walemavu wa akili, (Vichaa) madishi yao yameyumbaNimeona alama ya kichwa cha binadamu afu katikati kimechorwa mstari mwekundu! Alama hii nimeiona maeneo ya Mombo - Korogwe! Ni nini hicho?