Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Hapa wengi wanavunja sheriaNi nusu ya Speed yako
- 60 km/h = 30 m
- 70 km/h = 35 m
- 80 km/h = 40 m
- 90 km/h = 45 m
- 100 km/h = 50 m
- 110 km/h = 55 m
- 120 km/h = 60 m
- 130 km/h = 65 m
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa wengi wanavunja sheriaNi nusu ya Speed yako
- 60 km/h = 30 m
- 70 km/h = 35 m
- 80 km/h = 40 m
- 90 km/h = 45 m
- 100 km/h = 50 m
- 110 km/h = 55 m
- 120 km/h = 60 m
- 130 km/h = 65 m
Humaanisha walemavu wa akili, (Vichaa) madishi yao yameyumba
Road act, imesema umbali kati ya gari na gari huwe reasonable, kwa hiyo ni wewe na umakini wa breki zako, tu. Kama utaona nikisimama mita mbili nyuma yake sita haribu kazi sawa, kama unahisi breki zako hafifu kaaa umbali wa kutosha.Swali la kwanza mara nyingi utumika pale panapokuwa na matengenezo kwenye barabara.kuna mtu uwa anashika bango la GOupande mmoja na STOP upande wa pili.
Swali la pili sijajua ni mita ngapi nimesahau ila unatakuwa uache umbali wa kutosha.
Swali la tatu MISTARI YA NJANO.pembeni ya barabara inaonyesha mwisho wa mapana ya barabara.
MSTARI MWEUPE WA KATI ULIONYOOKA.unamkataza dereva kulipita gari la mbele yake.
MSTARI MWEUPE WA KATI ULIOACHANA ACHANA humruhusu dereva kulipita gari la mbele yake.
Ni hivyo.kama haujaelewa au kuna mapungufu WATAKUJA WENGINE KUSAHIHISHA.
hiyo alama huwekwa kwenye makazi ya watu kumaanisha kwamba kuna uwepo wa vichaa/watu wasio na utimamu wa akili,pia zipo alama za vidole na kumaanisha uwepo wa viziwi/bubuNimeona alama ya kichwa cha binadamu afu katikati kimechorwa mstari mwekundu! Alama hii nimeiona maeneo ya Mombo - Korogwe! Ni nini hicho?
Kwenye round about naona madereva wa Automatic wengi hawajui sheria yake,wanaishia kupigwa pasi na kulipa wanalipishwa pia,yani umegongwa wewe na hela unamlipa aliyekugonga......Zijue alama mbalimbali za barabarani na maana yake,zinaweza kuwa msaada kwako kwa namna moja ama nyingine
View attachment 538684View attachment 538685View attachment 538686View attachment 538687View attachment 538688View attachment 538689View attachment 538689View attachment 538690View attachment 538691View attachment 538693View attachment 538694
Hebu ingia google uzitafute buanaNaomba sana
Kila napoendesha napoona road sign nafumba macho afu nakaza mguu kwenye accelelatorKwenye round about naona madereva wa Automatic wengi hawajui sheria yake,wanaishia kupigwa pasi na kulipa wanalipishwa pia,yani umegongwa wewe na hela unamlipa aliyekugonga......
Round about...muda wote mpe kipaumbele wa kulia kwako.Kwenye round about naona madereva wa Automatic wengi hawajui sheria yake,wanaishia kupigwa pasi na kulipa wanalipishwa pia,yani umegongwa wewe na hela unamlipa aliyekugonga......