Zijue Amri 10 za Dr. Slaa

7. Ni muadilifu.

KAIBA MKE WA MTU :caked:

Mushumbuzi alishaachana na mumewe slaa akabeba. Ingekuwa kweli mke wa mtu baba riz anavyomchukia angeshamfunga maana kwenye uchaguzi jk alikonda kwa sababu ya Dr
 
Na nawahakikishia hakuna mkombozi atakayetokea kutetea maslahi ya walala nyumba za Tembe kama Dr. Slaa sana sana alikua ni baba wa taifa hatuko naye tena na Mungu amuweke mbele ya haki. Sera zote tunazoona ****** anazifuatilia kwa semina zake anazodai elekezi zote ni sera za chama cha demokrasia na maendeleo habari ndio hiyo.
 
Kumbe ucha Mungu ni kuwa MZINZI? Tena kuzini na Mke wa Jirani yako, unampachika na mimba kabisaa? Hee makubwa haya! Kweli "ukipenda...chongo utaita kengeza"
 

so kosa nenda kuzimu
 

Sema na makatibu wa vyama vingine wanakula sh.ngapi?
wanacho fanya ni sawa na wanacho lipwa?
Otherwise hela hela unayo enda kukaa cafe kuandika umbea ungeitumia kununua nguo uvae
 
Kumbe ucha Mungu ni kuwa MZINZI? Tena kuzini na Mke wa Jirani yako, unampachika na mimba kabisaa? Hee makubwa haya! Kweli "ukipenda...chongo utaita kengeza"

kwa iyo wewe kati ya yote umeliona ilo tu? Kweli mpenda chongo/uzinzi huita/kuona kengeza. Wewe kwa kuwa unapenda uzinzi umeona uzinzi tu.
 
unajua kuwa bajeti ya chai ni TSH NGAPI? KWANI KWENU HAMUWEZI KUNYWA CHAI? JOTO LOTE LA TANZANIA MNASHINDA MAKAZINI MKINYWA CHAI NA MAANDAZI?(VITAFUNWA)
 
umesahau moja ni maarufu kwa kudandia wake za watu
 
Kumbe ucha Mungu ni kuwa MZINZI? Tena kuzini na Mke wa Jirani yako, unampachika na mimba kabisaa? Hee makubwa haya! Kweli "ukipenda...chongo utaita kengeza"

Huna hoja ya msingi kuchangia mada hii hufananii kabisa pamoja na wewe kunitangulia hapa! Plz see below:

Join Date : 19th April 2008
Post : 4
Thanks : yai
Thanked yai Time in yai Post
Rep Power : yai
 
Lengo lao ni kumfanya apoteze credibility kabisa kwa mbinu yoyote ile ikiwemo ya kum feed vitu vya uongo ili nae alonge kesho yake wamsute. Hili limeshashitukiwa na haliwezi kujirudia kama CCM kujivua gamba mara mbili.
 
tuache utani mi nasema tanzania asilimia tisini na tisa ni mafisadi tunachopisahana ni nafasi na viwango ndio maana kuna mafisadi viluwiluwi,mapapa ,nyangumi mpaka ma dinosauries so ishu ni wote tuache ulafi
 
Ni miaka 15 na sio 10. Karatu ni zaidi ya halmashauri nyingi sana hapa nchini! Umeme kila kijiji, maji sio tatizo. Shule za msingi na sekondari kila kata. Sio rahisi kuamini maana ni halmashauri mpya kutoka halmashauri ya Mbulu!

hv wewe ushawahi kufika karatu au unaongea tu? Mimi nakubali slaa kaleta maendeleo ila umeme hakuna kila kijiji,vijiji vingi vina maendeleo duni,barabara hazipitiki wakati wa mvua,maji hakuna japo mimi si mtu wa kuamini kiongozi ndio mleta maendeleo ya kila kitu. Dr slaa kajitahidi ila tusiongeze chumvi kuna vitu alishindwa kama mwanadamu.
 
Anazolipwa Dr. Slaa mnaziona ni nyingi na CCM chache au unataka kupotosha umma hapa. Acha achukue kodi yetu anatujuza mengi na ameamsha wengi waliokuwa bado wamelala. Bora Dr. Slaa ale kodi yetu kuliko CCM na ujambazi wao ambao hawana manufaa yoyote kwa wananchi wake kutwa kuiba kila siku. Dr.Slaa ni haki yako bana hawa wengine wababaishaji
 

nilifikiri anaiba kumbe analipwa.
 
1 mcha mungu !aaaah mcha mungu anaweza kuzaa nje ya ndoa na dini yake haimruhusu ..na bado anaendeleza hako kamchezo mtumzima ovyo baada ya kuowa anazaa ovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…