7. Ni muadilifu.
KAIBA MKE WA MTU :caked:
Mushumbuzi alishaachana na mumewe slaa akabeba. Ingekuwa kweli mke wa mtu baba riz anavyomchukia angeshamfunga maana kwenye uchaguzi jk alikonda kwa sababu ya Dr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
7. Ni muadilifu.
KAIBA MKE WA MTU :caked:
Hivi mke anaibiwaje? ni kama gari vile!7. Ni muadilifu.
KAIBA MKE WA MTU :caked:
Pro Chadema wengi humu JF wamejaa upofu mpaka ufisadi wa chama chao wameufunika na blanketi jeusi, mimi naelezea sifa moja tu ya 7. jinsi Dk Slaa anavyotafuna kodi zetu Watanzania kupitia ruzuku wanayopata, mshahara wa Dk Slaa kwa mwezi 7000,000 kwa mwezi, kwa mwaka anakusanya 84,000,000, ndio Katibu mkuu wa chama cha siasa analipwa pesa nyingi kuliko wote Tanzania kwenye historia ya nchi yetu aijawahi kutokea, posho ya maandamano. kila maandamano posho 600,000, wastani wa maandamano kila mwezi kwa mwaka 7,200,000 jumla kwa mwaka Dk Slaa anakusanya shilingi milioni 91,200,000, huu ni ufisadi mkubwa anafanya Dk Slaa lakini kama wewe ni Pro Chadema JF uwezi kuliona
Pro Chadema wengi humu JF wamejaa upofu mpaka ufisadi wa chama chao wameufunika na blanketi jeusi, mimi naelezea sifa moja tu ya 7. jinsi Dk Slaa anavyotafuna kodi zetu Watanzania kupitia ruzuku wanayopata, mshahara wa Dk Slaa kwa mwezi 7000,000 kwa mwezi, kwa mwaka anakusanya 84,000,000, ndio Katibu mkuu wa chama cha siasa analipwa pesa nyingi kuliko wote Tanzania kwenye historia ya nchi yetu aijawahi kutokea, posho ya maandamano. kila maandamano posho 600,000, wastani wa maandamano kila mwezi kwa mwaka 7,200,000 jumla kwa mwaka Dk Slaa anakusanya shilingi milioni 91,200,000, huu ni ufisadi mkubwa anafanya Dk Slaa lakini kama wewe ni Pro Chadema JF uwezi kuliona
Yule aliyesema Mkuu wa mkoa Shinyanga amekufa ni nani? Je kweli amekufa?
Mlio Tanzania mtujuze
Kumbe ucha Mungu ni kuwa MZINZI? Tena kuzini na Mke wa Jirani yako, unampachika na mimba kabisaa? Hee makubwa haya! Kweli "ukipenda...chongo utaita kengeza"
na wewe si uweke za Nnapenahisi ulikuwa huna kazi ya kufanya.!
unajua kuwa bajeti ya chai ni TSH NGAPI? KWANI KWENU HAMUWEZI KUNYWA CHAI? JOTO LOTE LA TANZANIA MNASHINDA MAKAZINI MKINYWA CHAI NA MAANDAZI?(VITAFUNWA)Pro Chadema wengi humu JF wamejaa upofu mpaka ufisadi wa chama chao wameufunika na blanketi jeusi, mimi naelezea sifa moja tu ya 7. jinsi Dk Slaa anavyotafuna kodi zetu Watanzania kupitia ruzuku wanayopata, mshahara wa Dk Slaa kwa mwezi 7000,000 kwa mwezi, kwa mwaka anakusanya 84,000,000, ndio Katibu mkuu wa chama cha siasa analipwa pesa nyingi kuliko wote Tanzania kwenye historia ya nchi yetu aijawahi kutokea, posho ya maandamano. kila maandamano posho 600,000, wastani wa maandamano kila mwezi kwa mwaka 7,200,000 jumla kwa mwaka Dk Slaa anakusanya shilingi milioni 91,200,000, huu ni ufisadi mkubwa anafanya Dk Slaa lakini kama wewe ni Pro Chadema JF uwezi kuliona
umesahau moja ni maarufu kwa kudandia wake za watuRejea kichwa cha habari hapo juu kuhusiana na Dr. Slaa:
- Mcha Mungu.
- Anayewajali na kuwastahi watu.
- Anapenda haki na kuwajali wanyonge.
- Mkweli wa maneno na matendo.
- Ana uwezo wa kuongoza na upeo mpana.
- Anapenda amani na utulivu.
- Ni muadilifu.
- Analipenda taifa lake.
- Sio fisadi.
- Ndani ya miaka 10 kawaletea maendeleo jimboni kwake.
Kumbe ucha Mungu ni kuwa MZINZI? Tena kuzini na Mke wa Jirani yako, unampachika na mimba kabisaa? Hee makubwa haya! Kweli "ukipenda...chongo utaita kengeza"
Lengo lao ni kumfanya apoteze credibility kabisa kwa mbinu yoyote ile ikiwemo ya kum feed vitu vya uongo ili nae alonge kesho yake wamsute. Hili limeshashitukiwa na haliwezi kujirudia kama CCM kujivua gamba mara mbili.Nifahamuvyo hakusema amekufa. Isipokuwa aliwaambia waliokuwa wakimsikiliza kwamba amepata msg ya simu ambayo hamfahamu mtumaji ikimfahamisha kwamba Mkuu wa Mkoa ule ambao yeye alikuwa akifanya shughuli zake alikuwa kafariki. Aliwaomba wasikilizaji wake wasimame kwa heshima ya Mkuu huyo kama ni kweli angekuwa amekufa kama msg ilivyonadi. Baadae iligundulika kwamba msg ile ilikuwa ni kazi ya TISS ili watu wamwone si makini, lakini kwa wengi tunaoifahamu CCM na uhuni wake wakikachero hatukuona tatizo lolote pale kwani ange-Ignore ile msg na kama ingekuwa ni kweli amefariki angelaumiwa kwa kuonyesha dharau na kutokujali. Hayo ndiyo mambo ya TISS ambayo imesahau kabisa kushughulikia Usalama wa Taifa na wanahangaikia usalama wa Chama cha Magamba na makuwadi wao! Tena kwa gharama ya kodi tunazolipa. Ikumbukwe pia kwamba asasi hii hii ilwahi kuumbuliwa ilipotega vinasa sauti vyumbani mwa wabunge wa upinzani katika bunge lililopita! Shame on them, History will judge those ******.
7. Ni muadilifu.
KAIBA MKE WA MTU :caked:
Ni miaka 15 na sio 10. Karatu ni zaidi ya halmashauri nyingi sana hapa nchini! Umeme kila kijiji, maji sio tatizo. Shule za msingi na sekondari kila kata. Sio rahisi kuamini maana ni halmashauri mpya kutoka halmashauri ya Mbulu!
Anazolipwa Dr. Slaa mnaziona ni nyingi na CCM chache au unataka kupotosha umma hapa. Acha achukue kodi yetu anatujuza mengi na ameamsha wengi waliokuwa bado wamelala. Bora Dr. Slaa ale kodi yetu kuliko CCM na ujambazi wao ambao hawana manufaa yoyote kwa wananchi wake kutwa kuiba kila siku. Dr.Slaa ni haki yako bana hawa wengine wababaishajiPro Chadema wengi humu JF wamejaa upofu mpaka ufisadi wa chama chao wameufunika na blanketi jeusi, mimi naelezea sifa moja tu ya 7. jinsi Dk Slaa anavyotafuna kodi zetu Watanzania kupitia ruzuku wanayopata, mshahara wa Dk Slaa kwa mwezi 7000,000 kwa mwezi, kwa mwaka anakusanya 84,000,000, ndio Katibu mkuu wa chama cha siasa analipwa pesa nyingi kuliko wote Tanzania kwenye historia ya nchi yetu aijawahi kutokea, posho ya maandamano. kila maandamano posho 600,000, wastani wa maandamano kila mwezi kwa mwaka 7,200,000 jumla kwa mwaka Dk Slaa anakusanya shilingi milioni 91,200,000, huu ni ufisadi mkubwa anafanya Dk Slaa lakini kama wewe ni Pro Chadema JF uwezi kuliona
Pro Chadema wengi humu JF wamejaa upofu mpaka ufisadi wa chama chao wameufunika na blanketi jeusi, mimi naelezea sifa moja tu ya 7. jinsi Dk Slaa anavyotafuna kodi zetu Watanzania kupitia ruzuku wanayopata, mshahara wa Dk Slaa kwa mwezi 7000,000 kwa mwezi, kwa mwaka anakusanya 84,000,000, ndio Katibu mkuu wa chama cha siasa analipwa pesa nyingi kuliko wote Tanzania kwenye historia ya nchi yetu aijawahi kutokea, posho ya maandamano. kila maandamano posho 600,000, wastani wa maandamano kila mwezi kwa mwaka 7,200,000 jumla kwa mwaka Dk Slaa anakusanya shilingi milioni 91,200,000, huu ni ufisadi mkubwa anafanya Dk Slaa lakini kama wewe ni Pro Chadema JF uwezi kuliona