Joseph Obimbo
Member
- Jun 20, 2020
- 62
- 34
Umekomalia biashara moja na huna nidhamu ya elaKwa awamu hii ya magufuli, tuliochukua uamuzi wa kuacha kazi na kujiajiri, kuna wkt unafukiria bora ungebaki na ajira yako.
Mzunguko mdogo sana, watu wengi wanakopa, pesa ngumu kupatikana na ikipatikana thaman yake ndogo sanaa
Apo kwenye ndoa nakupinga.Nakazia tu maneno yangu jamani,,,,
Mpaka naingia kaburini vifuatavyo ni vifungo viwili ambavyo by hook or by crook (yaani "kamwe") sitokuja fungwa maishani mwangu:-
1.Kuajiriwa na mtu au taasisi yeyote iwayo
2. Ndoa
Ile biz yako ya makande umeacha?Kuajiriwa raha aise stress tunazopata wafanyabiashara Mungu tu ndio anajua
Motivational speaker huyo Hana cha makande Wala birianIle biz yako ya makande umeacha?
Ile nimeacha nina nyingne mkuuIle biz yako ya makande umeacha?
SawaMotivational speaker huyo Hana cha makande Wala birian
Hata izo za kupewa kuanzia lake nne izo ni matatizo pia, cha msingi tu maisha ya kuishi kw amani ni jambo moja tu ukiamua kujiajiri bila kusukumwa au kushauriw na mtu yeyote kujiajiri muhimu Sana sema tu vijana wengi tunapenda shughuli zote tufanyie mjini ndo maana lkn kuna vitu ambavyo unaweza shamabani kuleta mjini, hata Mo anatoa malighafi shambani.Upo sahihi ila hasara hizi unaweza kuzipata zaidi endapo uta ajiliwa na mtu binafsi especially kama haihisiani na elimu yani ilimradi ujue tu kusoma na kuandika aisee utajutaa wale wazee wa 7000 kwa muhindi inakua kazi ku make yaani ukipata hiyo pesa unaishia kula tu
.NI WEWE UNASEMA HAYA MANENO AU NIMECHANGANYA JINAKuajiriwa raha aise stress tunazopata wafanyabiashara Mungu tu ndio anajua