[emoji269] [emoji269]
Haya ni baadhi ya magonjwa yaliyothibitika kutibika na yanatibika au kukingika kwa kitunguu thoum:
[emoji117]Huondoa sumu mwilini
[emoji117]Husafisha tumbo
[emoji117]Huyeyusha mafuta mwilini (cholesterol )
[emoji117]Husafisha njia ya mkojo na kutibu U.T.I
[emoji117]Hutibu amoeba, minyoo na Bakteria wengine
[emoji117]Huzuia kuhara damu (Dysentery)
[emoji117]Huondoa Gesi tumboni
[emoji117]Hutibu msokoto wa tumbo
[emoji117]Hutibu Typhoid
[emoji117]Huondoa mabaka mabaka kwenye ngozi
[emoji117]Hutibu mafua na malaria
[emoji117]Hutibu kifua kikuu
[emoji117]Hutibu kipindupindu
[emoji117]Hutibu upele
[emoji117]Huvunjavunja mawe katika figo
[emoji117]Hutibu mba kichwani
[emoji117]Huupa nguvu ubongo. Kazi nzuri niliyopenda zaidi katika kitunguu thoum.
[emoji117]Huzuia meno kung’ooka na kutuliza maumivu
[emoji117]Huongeza SANA nguvu za kiume pia hutibu uhanithi (kushindwa kusimama kabisa uume)
[emoji117]Hutibu maumivu ya kichwa
[emoji117]Hutibu kizunguzungu
[emoji117]Hutibu shinikizo la juu la damu
[emoji117]Huzuia saratani/kansa
[emoji117]Hutibu maumivu ya jongo/gout
[emoji117]Huuongezea nguvu mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
[emoji117]Huongeza hamu ya kula
[emoji117]Huzuia damu kuganda
[emoji117]Husaidia kutibu kisukari
[emoji117]Husaidia kutibu tatizo la kukosa usingizi (ni kweli, na moja ya kazi nyingine ya kitunguu swaumu iliyonishangaza zaidi) pia kinaondoa msongo wa mawazo/stress na kukufanya uishi miaka mingi
[emoji117]Huongeza SANA kinga ya mwili na kwa muda mfupi