Zijue faida za kuoa single mothers

6.Akikukosea atakuomba msamaha,anajua thamani ya kuomba msamaha.
Mke wangu mimi ni kamanda in chief kwenye hili suala. Yan ni mwamba!!.
Mpaka ukasikie neno "nisamehe" toka kinywan mwake, bas huwa naanza kupata mashaka sana na kujiuliza vitu vitu vingiiii.
Yule mama sijui hata kuokoka aliokokaje, maana kuomba msamaha niiii mbiiiiiiinde sio kitoto.
😂😂
 
Neno sahihi ni sio tasa badala ya neno Mgumba. Ugumba anaweza kuwa nao kwa sababu kama vile baada ya uzazi akapata pid sugu yaweza mletea ugumba.
 
Labda sio huyu niliyekuwa nimemuoa mimi.... Yaani mpaka najuta, sio wote wako hivyo, wengine ukianza kuishi nao unakuja kupata jibu la kwanini waliachika.... Wanazingua sana baadhi yao aisee
 


Mkuu ulifanya utafiti KUHUSU hawa viumbe Mbona kama umewabana Sana 😁
 
Kuna mwanetu kitaa ishu ya ma single maza kaipeleka next level. Jamaa in his early 20s kaoa single maza ana watoto watano na kati ya hao watoto wawili wanashea baba mmoja, wawili baba zao hawajulikani na mmoja ni wa baba wa hivi karibuni ambae ndo kamtema akajaa kwa mwanetu. Mwanetu nae kamzalisha mtoto mmoja. Life ni riziki mguuni asipotoka hali. Nikimuangalia jamaa naona kabisa japo kutoboa sometimes ni mipango ya muumba ila nikimuangalia jamaa naona amepotea.

Jamani wahuni tulee damu zetu tuache kuzitelekeza haijalishi umekwazwa namna gani na mzazi mwenzio, mnawabebesha mizigo wanenu kitaa.
 
Hasara za kuoa single mothers
1: Uwezo mdogo katika kukusaidia kimaisha.
2: Kuna uwezekano aliyezaa nae ndiye aliyempenda na wewe amekukubali kwa sababu zake kama vile fedha, upole au upoyoyo ulio nao.
3: Mwenye thamani kwenye mahusiano yake wakati wote ni mtoto au watoto uliomkuta nae, hata hisia zake kwako zitategemea unavyowajali au kumjali mtoto wake.
4: Wengi kutoka nje ya mahusiano ni kama kumsukuma mlevi, wameshakufa ganzi kwenye eneo hilo.
5: Anaweza akalipiza maumivu yake ya mahusiano yake ya nyuma kwako ukatamani ardhi ifunguke uingie.
6: Ukikuta single mother ana mtoto wa kike, muogope kama ukoma.Ukimzingua tu anakupelekea kesi ya ngono kwa katoto kake, utakimbia na shati begani ukimwachia kila kitu kuogopa msala kwani kuthibitika kuwa anachosema ni uongo, utakuwa umekuwa kama chuma chakavu.
NB
Wanawake wana uwezo mkubwa wa kusoma hisia za wanaume hivyo ukichanganya na uzoefu alionao katika mahusiano, atakunyoa nywele kama Samsoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…