Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,261
- 17,202
Watu wengi wamekua na kasumba ya kuwaponda single mothers kwamba hawafai kuoa na kutoa sababu kedekede sasa leo nakupa faida za kuoa single mothers.
1. Kashapevuka kiakili.
2.Atalea mtoto / watoto vizuri kwani ana uzoefu.
3..Anajua thamani ya kupendwa,kwani ashatendwa
4.Hatatamani kukupoteza kwani alishampoteza aliyempenda huko nyuma.
5.Atajitahidi asikukosee,ashajifunza kutokana na makosa ya nyuma
6.Akikukosea atakuomba msamaha,anajua thamani ya kuomba msamaha.
7.Ni wavumilivu.
8.Anathamini ile heshima ya kuitwa mrs fulani
9.Tayari una uhakika wa uzazi..sio mgumba.
Hizo ni baadhi tu ya faida lukuki za kuoa single mother..hivyo msiogope, hata Mungu ukimuomba msamaha anatoa nafasi ya pili, faida ni nyingi sana kuliko hasara😂
Credrit: Msouthherbs.
1. Kashapevuka kiakili.
2.Atalea mtoto / watoto vizuri kwani ana uzoefu.
3..Anajua thamani ya kupendwa,kwani ashatendwa
4.Hatatamani kukupoteza kwani alishampoteza aliyempenda huko nyuma.
5.Atajitahidi asikukosee,ashajifunza kutokana na makosa ya nyuma
6.Akikukosea atakuomba msamaha,anajua thamani ya kuomba msamaha.
7.Ni wavumilivu.
8.Anathamini ile heshima ya kuitwa mrs fulani
9.Tayari una uhakika wa uzazi..sio mgumba.
Hizo ni baadhi tu ya faida lukuki za kuoa single mother..hivyo msiogope, hata Mungu ukimuomba msamaha anatoa nafasi ya pili, faida ni nyingi sana kuliko hasara😂
Credrit: Msouthherbs.