Zijue Faida za kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Upinzani

Zijue Faida za kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Upinzani

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Kwa mazingira ya sasa na Katiba yake Upinzani kushinda Urais ni ngumu sana ! Na wanalijua Hilo,

Ila utashangaa kwanini baadhi wanakomalia madarakani?

Faida za kuwa mwenyekiti wa Chama cha Upinzani Tanzania ni Kama ifuatavyo

1. Ruzuku kwa vyama vya upinzani ambazo haziwi audited

2. Unaweza panga nani awe fulan kwenye sehemu ya uwakilishi ndani ya BUNGE ama SERIKALI endapo Mtawala atataka kubalance mambo

3. Misaada kimataifa ya kutoka vyaka vya upinzani wa nchi nyinginezo zinazotoa zikidhani hata Tanzania vyama viko serious

4. Kupata platform kimataifa na kumulikwa Kwakuwa inakuwa uko kama icon ya kundi la watu fulani.

5. Ni rahisi kupata connection za kufanya biashara kimataifa na watu

6. Unakuwa na kupewa kipaumbele kwenye huduma mbali mbali , kitaifa na kimataifa

7. Unapata passport ya diplomat

8. Unaweza unda kamati Yako ya kukikopesha chama hata kwa riba kubwa sana na ukajipatia kwa urahisi mali.

9. Kwa wanaume tunajua tuna matamanio na jinsia ya KE, Kwahiyo unakuwa na access ya kupata Toto unayetaka kwa kumuahidi cheo!

10. Una access ya ku I black mail serikali na ukapewa mchuzi ukanyamaza

11. Watoto wako na familia yako wanapewa vipaumbele kwenye Taasisi mbali mbali

HIVO AKINA LIPUMBA WALIOKAA MIAKA 20 SI WAJINGA HASA KWA TANZANIA AMBAYO BADO IMELALA

Britanicca
 
Kwa mazingira ya sasa na Katiba yake Upinzani kushinda Urais ni ngumu sana ! Na wanalijua Hilo,

Ila utashangaa kwanini baadhi wanakomalia madarakani...
Sio rahisi kutekwa na kupotezwa kama wanachama wenzako wa kawaida sababu ya cheo chako na connection za kimataifa ulizonazo.

ila unaweza bambikwa kesi, kukaa rumande kwa muda mrefu, kufilisiwa mali, kuharibiwa biashara/uchumi hata kufungwa.
 
Kwa mazingira ya sasa na Katiba yake Upinzani kushinda Urais ni ngumu sana ! Na wanalijua Hilo,

Ila utashangaa kwanini baadhi wanakomalia madarakani...
Vitu vingine umetia chumvi, pesa ya serikali lazima ifanyiwe auditing.

Ruzuku kila mwaka matumizi yanakaguliwa, vyama vinapata hati safi, hati yenye shaka, na hati Chafu
 
Asante kwa hoja yako ila sijaipenda kabisa hoja yako namba tisa.. Inayowadhalilisha wanawake na kuwatweza utu wao kwa kuonyesha kuwa hawawezi kupata nafasi pasipo kuuza utu wao.

Hoja hiyo imekushushia heshima na umejishushia sana heshima. Sipendi na ninamchukia sana mtu mwenye mawazo na akili au fikira za udhalilishaji na kuwatweza wanawake.ninawaheshimu sana wanawake na kuwakubali uwezo wao kiuongozi na umakini wao katika kazi na majukumu.

Hoja yako hiyo ya kidhalilishaji inawakatisha tamaa hata watoto wako Mwenyewe wa kike kwa kuwaza kuwa mwanamke hawezi kupata nafasi bila kuuza utu wake hata kama ana uwezo,Karama na kibali cha uongozi.ilihali siyo kweli kwa sababu wote ni mashahidi wa namna wanawake walivyo na uwezo mkubwa kiuongozi na Sote tumeshuhudia namna walivyofanya vizuri katika nafasi mbalimbali walizoshika hapa Nchini.

Nilikuwa nafikiria labda wewe ni mtu makini lakini naona sikuwa sahihi kabisa.futa hoja hiyo yenye kuwadhalilisha mama zetu na wanawake wote.
 
Kwa mazingira ya sasa na Katiba yake Upinzani kushinda Urais ni ngumu sana ! Na wanalijua Hilo,

Ila utashangaa kwanini baadhi wanakomalia madarakani...
kwa Tanzania katiba sio tatizo hata kidogo,

nadhani changamoto kubwa ni ubinafsi , tamaa ya fedheha na uchu wa madaraka wa kupindukia miongoni mwa viongozi waandamizi wa upinzani, kukosekana umoja, chuki binafsi, kutopendana na kutoaminiana baina yao ndio haswa msingi wa upinzani nchini, kushindwa kufanya lolote dhidi ya serikali sikivu ya CCM.

katiba haihusiki kabisa hata katika mambo hayo yote uloyaorodhesha, ambayo ndio hasa msingi mkuu wa upinzani Tanzania kutokufurukuta miaka nenda miaka rudi Tanzania. Na hakuna chochote watafanya dhidi ya serikali sikivu ya CCM ikiwa wataendekeza ubinafsi na chuki miongoni mwao 🐒
 
Asante kwa hoja yako ila sijaipenda kabisa hoja yako namba tisa.. Inayowadhalilisha wanawake na kuwatweza utu wao kwa kuonyesha kuwa hawawezi kupata nafasi pasipo kuuza utu wao.

Hoja hiyo imekushushia heshima na umejishushia sana heshima. Sipendi na ninamchukia sana mtu mwenye mawazo na akili au fikira za udhalilishaji na kuwatweza wanawake.ninawaheshimu sana wanawake na kuwakubali uwezo wao kiuongozi na umakini wao katika kazi na majukumu.
Anamsema Mbowe na Joyce mukya, kigaila na salum mwalimu na wake zao covid 19 nk.
 
Asante kwa hoja yako ila sijaipenda kabisa hoja yako namba tisa.. Inayowadhalilisha wanawake na kuwatweza utu wao kwa kuonyesha kuwa hawawezi kupata nafasi pasipo kuuza utu wao...
Naunga mkono hoja hii, na kulaani vikali sana point hiyo ya udhalilishaji,

ni vizuri akaomba radhi kwa wanawake wote humu jukwaani,

na kwakweli, ni Lazima awaombe radhi wadau wote JF walozaliwa na wanawake...

udhalilishaji huo wa kijinsia haukubaliki na ni udhalilishaji unaotia hasira na kuchochea chuki na uhasama miongoni mwa jamii.

Ni muhimu sana akaomba radhi na kuiguta point hiyo mara moja, ikiwa kweli ni mTanzania muungwana anae jielewa...
 
Asante kwa hoja yako ila sijaipenda kabisa hoja yako namba tisa.. Inayowadhalilisha wanawake na kuwatweza utu wao kwa kuonyesha kuwa hawawezi kupata nafasi pasipo kuuza utu wao.

Hoja hiyo imekushushia heshima na umejishushia sana heshima. Sipendi na ninamchukia sana mtu mwenye mawazo na akili au fikira za udhalilishaji na kuwatweza wanawake.ninawaheshimu sana wanawake na kuwakubali uwezo wao kiuongozi na umakini wao katika kazi na majukumu.

Hoja yako hiyo ya kidhalilishaji inawakatisha tamaa hata watoto wako Mwenyewe wa kike kwa kuwaza kuwa mwanamke hawezi kupata nafasi bila kuuza utu wake hata kama ana uwezo,Karama na kibali cha uongozi.ilihali siyo kweli kwa sababu wote ni mashahidi wa namna wanawake walivyo na uwezo mkubwa kiuongozi na Sote tumeshuhudia namna walivyofanya vizuri katika nafasi mbalimbali walizoshika hapa Nchini.

Nilikuwa nafikiria labda wewe ni mtu makini lakini naona sikuwa sahihi kabisa.futa hoja hiyo yenye kuwadhalilisha mama zetu na wanawake wote.
Hata COVID-19 wengi ni wake za viongozi chadema hata naibu katibu mkuu mke wake ni mmoja wao
 
Asante kwa hoja yako ila sijaipenda kabisa hoja yako namba tisa.. Inayowadhalilisha wanawake na kuwatweza utu wao kwa kuonyesha kuwa hawawezi kupata nafasi pasipo kuuza utu wao.

Hoja hiyo imekushushia heshima na umejishushia sana heshima. Sipendi na ninamchukia sana mtu mwenye mawazo na akili au fikira za udhalilishaji na kuwatweza wanawake.ninawaheshimu sana wanawake na kuwakubali uwezo wao kiuongozi na umakini wao katika kazi na majukumu.

Hoja yako hiyo ya kidhalilishaji inawakatisha tamaa hata watoto wako Mwenyewe wa kike kwa kuwaza kuwa mwanamke hawezi kupata nafasi bila kuuza utu wake hata kama ana uwezo,Karama na kibali cha uongozi.ilihali siyo kweli kwa sababu wote ni mashahidi wa namna wanawake walivyo na uwezo mkubwa kiuongozi na Sote tumeshuhudia namna walivyofanya vizuri katika nafasi mbalimbali walizoshika hapa Nchini.

Nilikuwa nafikiria labda wewe ni mtu makini lakini naona sikuwa sahihi kabisa.futa hoja hiyo yenye kuwadhalilisha mama zetu na wanawake wote.
Umenena vyema boss.
 
Kwa mazingira ya sasa na Katiba yake Upinzani kushinda Urais ni ngumu sana ! Na wanalijua Hilo,

Ila utashangaa kwanini baadhi wanakomalia madarakani?

Faida za kuwa mwenyekiti wa Chaka cha Upinzani Tanzania ni Kama ifuatavyo

1. Ruzuku kwa vyama vya upinzani ambazo haziwi audited
2. Unaweza panga Nani awe fulan kwenye sehemu ya uwakilishi ndani ya BUNGE ama SERIKALI endapo Mtawala atataka kubalance mambo
3. Misaada kimataifa ya kutoka vyaka vya upinzani wa nchi nyinginezo zinazotoa zikidhani hata Tanzania vyama viko serious
4. Kupata platform kimataifa na kumulikwa Kwakuwa inakuwa uko kama icon ya kundi la watu fulan
5. Ni rahisi kupata connection za kufanya biashara kimataifa na watu
6. Unakuwa na kupewa kipaumbele kwenye huduma mbali mbali , kitaifa na kimataifa
7. Unapata passport ya diplomat
8. Unaweza unda kamati Yako ya kukikopesha chama hata kwa riba kubwa sana na ukajipatia kwa urahisi mali,
9. Kwa wanaume tunajua tuna matamanio na jinsia ya KE, Kwahiyo unakuwa na access ya kupata Toto unayetaka kwa kumuahidi cheo!
10. Una access ya ku I black mail serikali na ukapewa mchuzi ukanyamaza
11. Watoto wako na familia yako wanapewa vipaumbele kwenye Taasisi mbali mbali


HIVO AKINA LIPUMBA WALIOKAA MIAKA 20 SI WAJINGA HASA KWA TANZANIA AMBAYO BADO IMELALA

Britanicca
Aah ! Umesema kweli mpendwa ila inafaa ruzuku kwa vyama ziondolewe ni kuharibu pesa zetu sisi walipa Kodi tu !
 
Asante kwa hoja yako ila sijaipenda kabisa hoja yako namba tisa.. Inayowadhalilisha wanawake na kuwatweza utu wao kwa kuonyesha kuwa hawawezi kupata nafasi pasipo kuuza utu wao.

Hoja hiyo imekushushia heshima na umejishushia sana heshima. Sipendi na ninamchukia sana mtu mwenye mawazo na akili au fikira za udhalilishaji na kuwatweza wanawake.ninawaheshimu sana wanawake na kuwakubali uwezo wao kiuongozi na umakini wao katika kazi na majukumu.

Hoja yako hiyo ya kidhalilishaji inawakatisha tamaa hata watoto wako Mwenyewe wa kike kwa kuwaza kuwa mwanamke hawezi kupata nafasi bila kuuza utu wake hata kama ana uwezo,Karama na kibali cha uongozi.ilihali siyo kweli kwa sababu wote ni mashahidi wa namna wanawake walivyo na uwezo mkubwa kiuongozi na Sote tumeshuhudia namna walivyofanya vizuri katika nafasi mbalimbali walizoshika hapa Nchini.

Nilikuwa nafikiria labda wewe ni mtu makini lakini naona sikuwa sahihi kabisa.futa hoja hiyo yenye kuwadhalilisha mama zetu na wanawake wote.
Komredi wakati Mbowe anampigia simu totoz Wema Sepetu aende Moshi kupitia KIA ulikuwa wapi? Mwenyekiti wa chama rafiki alikuwa anambembeleza mtoto mkali Wema aende Moshi. Clip ilivuja.
 
Kwa mazingira ya sasa na Katiba yake Upinzani kushinda Urais ni ngumu sana ! Na wanalijua Hilo,

Ila utashangaa kwanini baadhi wanakomalia madarakani?

Faida za kuwa mwenyekiti wa Chaka cha Upinzani Tanzania ni Kama ifuatavyo

1. Ruzuku kwa vyama vya upinzani ambazo haziwi audited
2. Unaweza panga Nani awe fulan kwenye sehemu ya uwakilishi ndani ya BUNGE ama SERIKALI endapo Mtawala atataka kubalance mambo
3. Misaada kimataifa ya kutoka vyaka vya upinzani wa nchi nyinginezo zinazotoa zikidhani hata Tanzania vyama viko serious
4. Kupata platform kimataifa na kumulikwa Kwakuwa inakuwa uko kama icon ya kundi la watu fulan
5. Ni rahisi kupata connection za kufanya biashara kimataifa na watu
6. Unakuwa na kupewa kipaumbele kwenye huduma mbali mbali , kitaifa na kimataifa
7. Unapata passport ya diplomat
8. Unaweza unda kamati Yako ya kukikopesha chama hata kwa riba kubwa sana na ukajipatia kwa urahisi mali,
9. Kwa wanaume tunajua tuna matamanio na jinsia ya KE, Kwahiyo unakuwa na access ya kupata Toto unayetaka kwa kumuahidi cheo!
10. Una access ya ku I black mail serikali na ukapewa mchuzi ukanyamaza
11. Watoto wako na familia yako wanapewa vipaumbele kwenye Taasisi mbali mbali


HIVO AKINA LIPUMBA WALIOKAA MIAKA 20 SI WAJINGA HASA KWA TANZANIA AMBAYO BADO IMELALA

Britanicca
Kuna vile vyama kumi na nne wao wanaishia crumbs toka meza ya CCM Ili watukane Chadema na kuhudhuria makongano ya Sisty na Mutungi.
 
Kwa mazingira ya sasa na Katiba yake Upinzani kushinda Urais ni ngumu sana ! Na wanalijua Hilo,

Ila utashangaa kwanini baadhi wanakomalia madarakani?

Faida za kuwa mwenyekiti wa Chaka cha Upinzani Tanzania ni Kama ifuatavyo

1. Ruzuku kwa vyama vya upinzani ambazo haziwi audited
2. Unaweza panga Nani awe fulan kwenye sehemu ya uwakilishi ndani ya BUNGE ama SERIKALI endapo Mtawala atataka kubalance mambo
3. Misaada kimataifa ya kutoka vyaka vya upinzani wa nchi nyinginezo zinazotoa zikidhani hata Tanzania vyama viko serious
4. Kupata platform kimataifa na kumulikwa Kwakuwa inakuwa uko kama icon ya kundi la watu fulan
5. Ni rahisi kupata connection za kufanya biashara kimataifa na watu
6. Unakuwa na kupewa kipaumbele kwenye huduma mbali mbali , kitaifa na kimataifa
7. Unapata passport ya diplomat
8. Unaweza unda kamati Yako ya kukikopesha chama hata kwa riba kubwa sana na ukajipatia kwa urahisi mali,
9. Kwa wanaume tunajua tuna matamanio na jinsia ya KE, Kwahiyo unakuwa na access ya kupata Toto unayetaka kwa kumuahidi cheo!
10. Una access ya ku I black mail serikali na ukapewa mchuzi ukanyamaza
11. Watoto wako na familia yako wanapewa vipaumbele kwenye Taasisi mbali mbali


HIVO AKINA LIPUMBA WALIOKAA MIAKA 20 SI WAJINGA HASA KWA TANZANIA AMBAYO BADO IMELALA

Britanicca
UONGO!
 
Back
Top Bottom