Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ExactlySio rahisi kutekwa na kupotezwa kama wanachama wenzako wa kawaida sababu ya cheo chako na connection za kimataifa ulizonazo.
ila unaweza bambikwa kesi, kukaa rumande kwa muda mrefu, kufilisiwa mali, kuharibiwa biashara/uchumi hata kufungwa.
Hujaelewa point au Rejea Tena !Asante kwa hoja yako ila sijaipenda kabisa hoja yako namba tisa.. Inayowadhalilisha wanawake na kuwatweza utu wao kwa kuonyesha kuwa hawawezi kupata nafasi pasipo kuuza utu wao.
Hoja hiyo imekushushia heshima na umejishushia sana heshima. Sipendi na ninamchukia sana mtu mwenye mawazo na akili au fikira za udhalilishaji na kuwatweza wanawake.ninawaheshimu sana wanawake na kuwakubali uwezo wao kiuongozi na umakini wao katika kazi na majukumu.
Hoja yako hiyo ya kidhalilishaji inawakatisha tamaa hata watoto wako Mwenyewe wa kike kwa kuwaza kuwa mwanamke hawezi kupata nafasi bila kuuza utu wake hata kama ana uwezo,Karama na kibali cha uongozi.ilihali siyo kweli kwa sababu wote ni mashahidi wa namna wanawake walivyo na uwezo mkubwa kiuongozi na Sote tumeshuhudia namna walivyofanya vizuri katika nafasi mbalimbali walizoshika hapa Nchini.
Nilikuwa nafikiria labda wewe ni mtu makini lakini naona sikuwa sahihi kabisa.futa hoja hiyo yenye kuwadhalilisha mama zetu na wanawake wote.
Mkuu, mbona hukumalizia na hili la risasi?Sio rahisi kutekwa na kupotezwa kama wanachama wenzako wa kawaida sababu ya cheo chako na connection za kimataifa ulizonazo.
ila unaweza bambikwa kesi, kukaa rumande kwa muda mrefu, kufilisiwa mali, kuharibiwa biashara/uchumi hata kufungwa.
Lipumbavu ana watoto?Kwa mazingira ya sasa na Katiba yake Upinzani kushinda Urais ni ngumu sana ! Na wanalijua Hilo,
Ila utashangaa kwanini baadhi wanakomalia madarakani?
Faida za kuwa mwenyekiti wa Chaka cha Upinzani Tanzania ni Kama ifuatavyo
1. Ruzuku kwa vyama vya upinzani ambazo haziwi audited
2. Unaweza panga nani awe fulan kwenye sehemu ya uwakilishi ndani ya BUNGE ama SERIKALI endapo Mtawala atataka kubalance mambo
3. Misaada kimataifa ya kutoka vyaka vya upinzani wa nchi nyinginezo zinazotoa zikidhani hata Tanzania vyama viko serious
4. Kupata platform kimataifa na kumulikwa Kwakuwa inakuwa uko kama icon ya kundi la watu fulani.
5. Ni rahisi kupata connection za kufanya biashara kimataifa na watu
6. Unakuwa na kupewa kipaumbele kwenye huduma mbali mbali , kitaifa na kimataifa
7. Unapata passport ya diplomat
8. Unaweza unda kamati Yako ya kukikopesha chama hata kwa riba kubwa sana na ukajipatia kwa urahisi mali.
9. Kwa wanaume tunajua tuna matamanio na jinsia ya KE, Kwahiyo unakuwa na access ya kupata Toto unayetaka kwa kumuahidi cheo!
10. Una access ya ku I black mail serikali na ukapewa mchuzi ukanyamaza
11. Watoto wako na familia yako wanapewa vipaumbele kwenye Taasisi mbali mbali
HIVO AKINA LIPUMBA WALIOKAA MIAKA 20 SI WAJINGA HASA KWA TANZANIA AMBAYO BADO IMELALA
Britanicca
Hili pia nakuunga mkono comrade,tukiwaona wanawake, tuone sura za mama zetu katika hao wanawake, na hapo tutawaheahimu wanawakeAsante kwa hoja yako ila sijaipenda kabisa hoja yako namba tisa.. Inayowadhalilisha wanawake na kuwatweza utu wao kwa kuonyesha kuwa hawawezi kupata nafasi pasipo kuuza utu wao.
Hoja hiyo imekushushia heshima na umejishushia sana heshima. Sipendi na ninamchukia sana mtu mwenye mawazo na akili au fikira za udhalilishaji na kuwatweza wanawake.ninawaheshimu sana wanawake na kuwakubali uwezo wao kiuongozi na umakini wao katika kazi na majukumu.
Hoja yako hiyo ya kidhalilishaji inawakatisha tamaa hata watoto wako Mwenyewe wa kike kwa kuwaza kuwa mwanamke hawezi kupata nafasi bila kuuza utu wake hata kama ana uwezo,Karama na kibali cha uongozi.ilihali siyo kweli kwa sababu wote ni mashahidi wa namna wanawake walivyo na uwezo mkubwa kiuongozi na Sote tumeshuhudia namna walivyofanya vizuri katika nafasi mbalimbali walizoshika hapa Nchini.
Nilikuwa nafikiria labda wewe ni mtu makini lakini naona sikuwa sahihi kabisa.futa hoja hiyo yenye kuwadhalilisha mama zetu na wanawake wote.
Halmashauri zinazopata hati chafu unajua zinafanywa Nini???😀😀🤔🤔Vikipata hati chafu vinafanywa nini?
Watanzania wengi wajinga sana.Kwa mazingira ya sasa na Katiba yake Upinzani kushinda Urais ni ngumu sana ! Na wanalijua Hilo,
Ila utashangaa kwanini baadhi wanakomalia madarakani?
Faida za kuwa mwenyekiti wa Chama cha Upinzani Tanzania ni Kama ifuatavyo
1. Ruzuku kwa vyama vya upinzani ambazo haziwi audited
2. Unaweza panga nani awe fulan kwenye sehemu ya uwakilishi ndani ya BUNGE ama SERIKALI endapo Mtawala atataka kubalance mambo
3. Misaada kimataifa ya kutoka vyaka vya upinzani wa nchi nyinginezo zinazotoa zikidhani hata Tanzania vyama viko serious
4. Kupata platform kimataifa na kumulikwa Kwakuwa inakuwa uko kama icon ya kundi la watu fulani.
5. Ni rahisi kupata connection za kufanya biashara kimataifa na watu
6. Unakuwa na kupewa kipaumbele kwenye huduma mbali mbali , kitaifa na kimataifa
7. Unapata passport ya diplomat
8. Unaweza unda kamati Yako ya kukikopesha chama hata kwa riba kubwa sana na ukajipatia kwa urahisi mali.
9. Kwa wanaume tunajua tuna matamanio na jinsia ya KE, Kwahiyo unakuwa na access ya kupata Toto unayetaka kwa kumuahidi cheo!
10. Una access ya ku I black mail serikali na ukapewa mchuzi ukanyamaza
11. Watoto wako na familia yako wanapewa vipaumbele kwenye Taasisi mbali mbali
HIVO AKINA LIPUMBA WALIOKAA MIAKA 20 SI WAJINGA HASA KWA TANZANIA AMBAYO BADO IMELALA
Britanicca
🙋♂️💐✍️🤝👏🙏🛡️Kwa mazingira ya sasa na Katiba yake Upinzani kushinda Urais ni ngumu sana ! Na wanalijua Hilo,
Ila utashangaa kwanini baadhi wanakomalia madarakani?
Faida za kuwa mwenyekiti wa Chama cha Upinzani Tanzania ni Kama ifuatavyo
1. Ruzuku kwa vyama vya upinzani ambazo haziwi audited
2. Unaweza panga nani awe fulan kwenye sehemu ya uwakilishi ndani ya BUNGE ama SERIKALI endapo Mtawala atataka kubalance mambo
3. Misaada kimataifa ya kutoka vyaka vya upinzani wa nchi nyinginezo zinazotoa zikidhani hata Tanzania vyama viko serious
4. Kupata platform kimataifa na kumulikwa Kwakuwa inakuwa uko kama icon ya kundi la watu fulani.
5. Ni rahisi kupata connection za kufanya biashara kimataifa na watu
6. Unakuwa na kupewa kipaumbele kwenye huduma mbali mbali , kitaifa na kimataifa
7. Unapata passport ya diplomat
8. Unaweza unda kamati Yako ya kukikopesha chama hata kwa riba kubwa sana na ukajipatia kwa urahisi mali.
9. Kwa wanaume tunajua tuna matamanio na jinsia ya KE, Kwahiyo unakuwa na access ya kupata Toto unayetaka kwa kumuahidi cheo!
10. Una access ya ku I black mail serikali na ukapewa mchuzi ukanyamaza
11. Watoto wako na familia yako wanapewa vipaumbele kwenye Taasisi mbali mbali
HIVO AKINA LIPUMBA WALIOKAA MIAKA 20 SI WAJINGA HASA KWA TANZANIA AMBAYO BADO IMELALA
Britanicca
Zaidi ya kuwabadirisha barisha Wakurugenzi hakuna jipya jingine.Halmashauri zinazopata hati chafu unajua zinafanywa Nini???😀😀🤔🤔
Jamaa amekuwa mkweli kutoa siri ya wazi... Viti maalum na kule UWT kuna wauzaji wengi sana. Tunawajua! Basi tu! Wengine wakishapata vyeo ndoa kwishney!Asante kwa hoja yako ila sijaipenda kabisa hoja yako namba tisa.. Inayowadhalilisha wanawake na kuwatweza utu wao kwa kuonyesha kuwa hawawezi kupata nafasi pasipo kuuza utu wao.
Hoja hiyo imekushushia heshima na umejishushia sana heshima. Sipendi na ninamchukia sana mtu mwenye mawazo na akili au fikira za udhalilishaji na kuwatweza wanawake.ninawaheshimu sana wanawake na kuwakubali uwezo wao kiuongozi na umakini wao katika kazi na majukumu.
Hoja yako hiyo ya kidhalilishaji inawakatisha tamaa hata watoto wako Mwenyewe wa kike kwa kuwaza kuwa mwanamke hawezi kupata nafasi bila kuuza utu wake hata kama ana uwezo,Karama na kibali cha uongozi.ilihali siyo kweli kwa sababu wote ni mashahidi wa namna wanawake walivyo na uwezo mkubwa kiuongozi na Sote tumeshuhudia namna walivyofanya vizuri katika nafasi mbalimbali walizoshika hapa Nchini.
Nilikuwa nafikiria labda wewe ni mtu makini lakini naona sikuwa sahihi kabisa.futa hoja hiyo yenye kuwadhalilisha mama zetu na wanawake wote.
hiyo namba 10 ya kulamba asali ndio yenye faida kubwa kwao kuliko chochote, na kuingia makubaliano na chama tawala kufanya au kutofanya jambo fulani linalowaumiza na wewe upate mpunga wa kueleweka. kwa sababu wewe ni chair ni rahisi kuwahadaa chawa wako na kuwapa maelekezo nini wapinge na nini wasipinge, nini wafanye na nini wasifanye. ila wananchi mtaani ndio wanapigwa virungu kwa ajili yako wewe unaota kitambi tu.Kwa mazingira ya sasa na Katiba yake Upinzani kushinda Urais ni ngumu sana ! Na wanalijua Hilo,
Ila utashangaa kwanini baadhi wanakomalia madarakani?
Faida za kuwa mwenyekiti wa Chama cha Upinzani Tanzania ni Kama ifuatavyo
1. Ruzuku kwa vyama vya upinzani ambazo haziwi audited
2. Unaweza panga nani awe fulan kwenye sehemu ya uwakilishi ndani ya BUNGE ama SERIKALI endapo Mtawala atataka kubalance mambo
3. Misaada kimataifa ya kutoka vyaka vya upinzani wa nchi nyinginezo zinazotoa zikidhani hata Tanzania vyama viko serious
4. Kupata platform kimataifa na kumulikwa Kwakuwa inakuwa uko kama icon ya kundi la watu fulani.
5. Ni rahisi kupata connection za kufanya biashara kimataifa na watu
6. Unakuwa na kupewa kipaumbele kwenye huduma mbali mbali , kitaifa na kimataifa
7. Unapata passport ya diplomat
8. Unaweza unda kamati Yako ya kukikopesha chama hata kwa riba kubwa sana na ukajipatia kwa urahisi mali.
9. Kwa wanaume tunajua tuna matamanio na jinsia ya KE, Kwahiyo unakuwa na access ya kupata Toto unayetaka kwa kumuahidi cheo!
10. Una access ya ku I black mail serikali na ukapewa mchuzi ukanyamaza
11. Watoto wako na familia yako wanapewa vipaumbele kwenye Taasisi mbali mbali
HIVO AKINA LIPUMBA WALIOKAA MIAKA 20 SI WAJINGA HASA KWA TANZANIA AMBAYO BADO IMELALA
Britanicca
Kumbe ninhayaKwa mazingira ya sasa na Katiba yake Upinzani kushinda Urais ni ngumu sana ! Na wanalijua Hilo,
Ila utashangaa kwanini baadhi wanakomalia madarakani?
Faida za kuwa mwenyekiti wa Chama cha Upinzani Tanzania ni Kama ifuatavyo
1. Ruzuku kwa vyama vya upinzani ambazo haziwi audited
2. Unaweza panga nani awe fulan kwenye sehemu ya uwakilishi ndani ya BUNGE ama SERIKALI endapo Mtawala atataka kubalance mambo
3. Misaada kimataifa ya kutoka vyaka vya upinzani wa nchi nyinginezo zinazotoa zikidhani hata Tanzania vyama viko serious
4. Kupata platform kimataifa na kumulikwa Kwakuwa inakuwa uko kama icon ya kundi la watu fulani.
5. Ni rahisi kupata connection za kufanya biashara kimataifa na watu
6. Unakuwa na kupewa kipaumbele kwenye huduma mbali mbali , kitaifa na kimataifa
7. Unapata passport ya diplomat
8. Unaweza unda kamati Yako ya kukikopesha chama hata kwa riba kubwa sana na ukajipatia kwa urahisi mali.
9. Kwa wanaume tunajua tuna matamanio na jinsia ya KE, Kwahiyo unakuwa na access ya kupata Toto unayetaka kwa kumuahidi cheo!
10. Una access ya ku I black mail serikali na ukapewa mchuzi ukanyamaza
11. Watoto wako na familia yako wanapewa vipaumbele kwenye Taasisi mbali mbali
HIVO AKINA LIPUMBA WALIOKAA MIAKA 20 SI WAJINGA HASA KWA TANZANIA AMBAYO BADO IMELALA
Britanicca
Mbowe na Joyce Mukya, Benson Kigaila na mwalimu wake zao ni miongoni mwa covid19, msamaha wa nini?Kwa mifano hiyo usiombe radhi.Naunga mkono hoja hii, na kulaani vikali sana point hiyo ya udhalilishaji,
ni vizuri akaomba radhi kwa wanawake wote humu jukwaani,
na kwakweli, ni Lazima awaombe radhi wadau wote JF walozaliwa na wanawake...
udhalilishaji huo wa kijinsia haukubaliki na ni udhalilishaji unaotia hasira na kuchochea chuki na uhasama miongoni mwa jamii.
Ni muhimu sana akaomba radhi na kuiguta point hiyo mara moja, ikiwa kweli ni mTanzania muungwana anae jielewa...
Gentleman,Mbowe na Joyce Mukya, Benson Kigaila na mwalimu wake zao ni miongoni mwa covid19, msamaha wa nini?Kwa mifano hiyo usiombe radhi.
Anamsema Mbowe na Joyce mukya, kigaila na salum mwalimu na wake zao covid 19 nk.
na mnakwenda kumsahau Tundu Lisu muda si mrefu, hususan kabla ya pasaka2025, mtaanza zoezi hilo muhimu
Leteni madili ya CCM sisi tufanye kazi, taifa hili bila CCM imara ni miyeyusho. Huko Chadema wamejaa majizi mtupu, mkikaa vibaya hata Lisu watamuiba.Kwa mazingira ya sasa na Katiba yake Upinzani kushinda Urais ni ngumu sana ! Na wanalijua Hilo,
Ila utashangaa kwanini baadhi wanakomalia madarakani?
Faida za kuwa mwenyekiti wa Chama cha Upinzani Tanzania ni Kama ifuatavyo
1. Ruzuku kwa vyama vya upinzani ambazo haziwi audited
2. Unaweza panga nani awe fulan kwenye sehemu ya uwakilishi ndani ya BUNGE ama SERIKALI endapo Mtawala atataka kubalance mambo
3. Misaada kimataifa ya kutoka vyaka vya upinzani wa nchi nyinginezo zinazotoa zikidhani hata Tanzania vyama viko serious
4. Kupata platform kimataifa na kumulikwa Kwakuwa inakuwa uko kama icon ya kundi la watu fulani.
5. Ni rahisi kupata connection za kufanya biashara kimataifa na watu
6. Unakuwa na kupewa kipaumbele kwenye huduma mbali mbali , kitaifa na kimataifa
7. Unapata passport ya diplomat
8. Unaweza unda kamati Yako ya kukikopesha chama hata kwa riba kubwa sana na ukajipatia kwa urahisi mali.
9. Kwa wanaume tunajua tuna matamanio na jinsia ya KE, Kwahiyo unakuwa na access ya kupata Toto unayetaka kwa kumuahidi cheo!
10. Una access ya ku I black mail serikali na ukapewa mchuzi ukanyamaza
11. Watoto wako na familia yako wanapewa vipaumbele kwenye Taasisi mbali mbali
HIVO AKINA LIPUMBA WALIOKAA MIAKA 20 SI WAJINGA HASA KWA TANZANIA AMBAYO BADO IMELALA
Britanicca