Zijue Kauli mpya za Kujitetea za wana Yanga SC baada ya Kipigo cha jana kutoka kwa USM Alger FC

Zijue Kauli mpya za Kujitetea za wana Yanga SC baada ya Kipigo cha jana kutoka kwa USM Alger FC

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Hatuna cha Kuwadai Wachezaji wetu wa Yanga SC na Jana Wachezaji wetu wa Yanga SC walikuwa na Siku mbaya Kazini / Ofisini

2. Lengo letu lilitimia pale tu Yanga SC ilipofuzu hatua ya Robo Fainali

3. Simba SC Wameroga ili Mvua inyeshe na tufungwe

4. Mchezaji wetu Tegemeo Khalid Aucho hakuwepo na kutokuwepo Kwake hata Machi ya Algeria ndiyo sababu ya kutochukua Kombe

5. Nabi si Kocha sema Basi tu anasafiria Upepo na Nyota ya Utajiri wa GSM unaoipa Mafanikio Yanga SC

6. Hata ikitokea tukakosa Ubingwa na Kombe hao wanaotucheka wamefika wapi Kimashindano?

7. Ubingwa Kwetu siyo Muhimu ila tumeitangaza nchi na kumtangaza vyema Rais Samia Suluhu Hassan

Kudadadeki Wiki hii mtatukoma JF!!
 
1. Hatuna cha Kuwadai Wachezaji wetu wa Yanga SC na Jana Wachezaji wetu wa Yanga SC walikuwa na Siku mbaya Kazini / Ofisini

2. Lengo letu lilitimia pale tu Yanga SC ilipofuzu hatua ya Robo Fainali

3. Simba SC Wameroga ili Mvua inyeshe na tufungwe

4. Mchezaji wetu Tegemeo Khalid Aucho hakuwepo na kutokuwepo Kwake hata Machi ya Algeria ndiyo sababu ya kutochukua Kombe

5. Nabi si Kocha sema Basi tu anasafiria Upepo na Nyota ya Utajiri wa GSM unaoipa Mafanikio Yanga SC

6. Hata ikitokea tukakosa Ubingwa na Kombe hao wanaotucheka wamefika wapi Kimashindano?

7. Ubingwa Kwetu siyo Muhimu ila tumeitangaza nchi na kumtangaza vyema Rais Samia Suluhu Hassan

Kudadadeki Wiki hii mtatukoma JF!!
8. Tushinde kombe au tusishinde, wachezaji wetu watavaa medali.
 
1. Hatuna cha Kuwadai Wachezaji wetu wa Yanga SC na Jana Wachezaji wetu wa Yanga SC walikuwa na Siku mbaya Kazini / Ofisini

2. Lengo letu lilitimia pale tu Yanga SC ilipofuzu hatua ya Robo Fainali

3. Simba SC Wameroga ili Mvua inyeshe na tufungwe

4. Mchezaji wetu Tegemeo Khalid Aucho hakuwepo na kutokuwepo Kwake hata Machi ya Algeria ndiyo sababu ya kutochukua Kombe

5. Nabi si Kocha sema Basi tu anasafiria Upepo na Nyota ya Utajiri wa GSM unaoipa Mafanikio Yanga SC

6. Hata ikitokea tukakosa Ubingwa na Kombe hao wanaotucheka wamefika wapi Kimashindano?

7. Ubingwa Kwetu siyo Muhimu ila tumeitangaza nchi na kumtangaza vyema Rais Samia Suluhu Hassan

Kudadadeki Wiki hii mtatukoma JF!!
hili swala la yanga kufika fainali bado itabaki kuwa maumivu kwenu kwa miaka mingi sana mpk pale nanyi mtakapofika levo hizi,ongeeni sana ila tujuavyo bingwa bado hajapatikana...MI NACHAGUA ANDAZI KWAKWELI
 
hili swala la yanga kufika fainali bado itabaki kuwa maumivu kwenu kwa miaka mingi sana mpk pale nanyi mtakapofika levo hizi,ongeeni sana ila tujuavyo bingwa bado hajapatikana...MI NACHAGUA ANDAZI KWAKWELI
Na kweli!
 
Popoma tulia Kwanza Seema unaenda kunzika mjomba wako mkono
 
Ila we jamaa, una Uzi nyingi tu hapa ulisema Yanga kashachukua kombe,eti umeona kwa jicho la tatu! Leo unawananga!!! Ila jamaa hunaga aibu aisee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
1. Hatuna cha Kuwadai Wachezaji wetu wa Yanga SC na Jana Wachezaji wetu wa Yanga SC walikuwa na Siku mbaya Kazini / Ofisini

2. Lengo letu lilitimia pale tu Yanga SC ilipofuzu hatua ya Robo Fainali

3. Simba SC Wameroga ili Mvua inyeshe na tufungwe

4. Mchezaji wetu Tegemeo Khalid Aucho hakuwepo na kutokuwepo Kwake hata Machi ya Algeria ndiyo sababu ya kutochukua Kombe

5. Nabi si Kocha sema Basi tu anasafiria Upepo na Nyota ya Utajiri wa GSM unaoipa Mafanikio Yanga SC

6. Hata ikitokea tukakosa Ubingwa na Kombe hao wanaotucheka wamefika wapi Kimashindano?

7. Ubingwa Kwetu siyo Muhimu ila tumeitangaza nchi na kumtangaza vyema Rais Samia Suluhu Hassan

Kudadadeki Wiki hii mtatukoma JF!!
Hiyo namba 3 kwani wageni walicheza pakavu yanga ikacheza palipolowana. Kiufupi simba lazima watawacheka sana yanga iko hivyo. Cha msingi ni kuwapongeza yanga wamefika sehemu nzuri japo kutoboa ni habari nyingine
 
Back
Top Bottom