Zijue mbwembwe za mawakili

Zijue mbwembwe za mawakili

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Zamani nilifikili kila wakili unayemuona anaweza kesi zote! Kumbe siyo! Kumbe nao wamegawanyika kulingana na eneo alilobobea mfano!
  • Wapo mawakili wazuri sana kwenye kesi za aridhi tu
  • Wapo mawakili wazuri kwenye kesi za migogoro ya ndoa tu
  • Wapo mawakili wazuri kwenye kesi za siasa tu
  • Wapo mawakili wazuri kwenye biashara na mikataba tu
  • Wapo mawakili wazuri kwa ajili ya kugonga mihuri tu
Hii hapa ni baadhi tu ya mikwara na mbwembwe ya kina hawa ndugu wanaoitwa MAWAKILI (WANASHERIA)

1. Wanapenda sana kuitwa "wakili msomi"

2. Hata kuwe na jua Kali namna gani hawaachi kuvaa yale magauni meusi na tai za kisabato

3. Wakili yoyote hata kama hana kazi siku hiyo ukimwambia tu siku na muda wa kesi yako mahakamani lazima akwambie! Ana kesi nyingine mahamani siku hiyo au siku moja kabla ya kesi yako lakini atakuhakikishia pia atakuja kukutetea (complication theory)

4. Ukimpigia simu kama hakujui anakata kwanza halafu anakutext (niko mahakamani nani) halafu bdae ndo anakupigia sasa

5. Kesi yoyote hata kama utafungwa hakwambii, atakwambia "Ondoa shaka kesi nyeupe hii"

6. Kesi zote zenye public interest mawakili wanapenda sana kuonesha hawako kimaslahi ya pesa

7. Kesi ya kuku lakini usishaangae akaja na burungutu kajaza begi la nguo na kimkoba kwa pembeni

8. Kila siku ya kesi wanapenda kuomba nauli 100k~500k utadhani wanapanda helkopita.

9. ...ongezea tabia unayoijua nyingine hapo!

Hadi hapo nimejifunza kwamba ukitaka kuwa wakili lazima pia ujue kucomplicate Mambo!
 
Zamani nilifikili kila wakili unayemuona anaweza kesi zote! Kumbe siyo! Kumbe nao wamegawanyika kulingana na eneo alilobobea mfano!
  • Wapo mawakili wazuri sana kwenye kesi za aridhi tu
  • Wapo mawakili wazuri kwenye kesi za ndoa tu
  • Wapo mawakili wazuri kwenye kesi za siasa tu
  • Wapo mawakili wazuri kwenye biashara na mikata tu
  • Wapo mawakili wazuri kwa ajili ya kugonga mihuri tu
Hizi hapa ni baadhi tu ya mikwara na mbwembwe ya kina hawa ndugu wanaoitwa MAWAKILI (WANASHERIA)
1. Wanapenda sana kuitwa "wakili msomi"
2. Hata kuwe na jua Kali namna gani hawaachi kuvaa ya magauni meusi na tai za kisabato
3. Wakili yoyote hata kama hana kazi siyo ukimwambia tu muda was kesi yako lazima akwambie! Ana kesi nyingine mahamani saa au siku moja kabla ya kesi yako lakini atakuhakikishia pia atakuja kukutetea (complication theory)
4. Ukimpigia simu kama hakujui anakata kwanza halafu anakutext (niko mahakamani nani) halafu bdae ndo anakupigia sasa
5. Kesi yoyote hata kama utafungwa hakwambii, atakwambia "Ondoa shaka kesi nyeupe hii"
6. Kesi zote zenye public interest mawakili wanapenda sana kuonesha hawako kimaslahi ya pesa
7. Kesi ya kuku lakini usishaangae akaja na buruguntu kajaza begi la nguo na kimkoba kwa pembeni
8. ...ongezea tabia unayoijua nyingine hapo!

Hadi hapo nimejifunza kwamba ukitaka kuwa wakili lazima pia ujue kucomplicate Mambo!
Hatujamalidhaaaaaaa...
 
Sidhani kama kuna ukweli
Weee labda hujakutana nao,kuna mwingine anayo namba yangu na ananifahamu bahati nzuri ni pesa nilikuwa nikimpigia nimpatie, cha ajabu hakuwa akipokea mpaka ikate afu apige yeye au akwambie tuma sms.

Ukweli mtoa mada amewaongelea vizuri mnoo na bado kuna point nyingi hajazigusia wadau tutiririke ili liwe fundisho kwa vijana wanaochipukia.

Kwao nilikuja gundua kitu kimoja,
Sangoma,

Manabii/wachungaji wa mchongo,

Madalali, Mawakili, wote ni kundi moja sema ktk misheni tofauti!(sorry ni mtazamo wangu)
 
Wengine hukaa hata mbele ya vioo ktk dressing table yao akipiga mazoezi jinsi ya kumtisha mtoa ushahidi.Ukweli mi naona wale walokuwa viherehere darasani ndo hutamani kazi hii na ndo huipatia vyema!
 
Zamani nilifikili kila wakili unayemuona anaweza kesi zote! Kumbe siyo! Kumbe nao wamegawanyika kulingana na eneo alilobobea mfano!
  • Wapo mawakili wazuri sana kwenye kesi za aridhi tu
  • Wapo mawakili wazuri kwenye kesi za migogoro ya ndoa tu
  • Wapo mawakili wazuri kwenye kesi za siasa tu
  • Wapo mawakili wazuri kwenye biashara na mikata tu
  • Wapo mawakili wazuri kwa ajili ya kugonga mihuri tu
Hii hapa ni baadhi tu ya mikwara na mbwembwe ya kina hawa ndugu wanaoitwa MAWAKILI (WANASHERIA)
1. Wanapenda sana kuitwa "wakili msomi"
2. Hata kuwe na jua Kali namna gani hawaachi kuvaa yale magauni meusi na tai za kisabato
3. Wakili yoyote hata kama hana kazi siku hiyo ukimwambia tu siku na muda wa kesi yako mahakamani lazima akwambie! Ana kesi nyingine mahamani siku hiyo au siku moja kabla ya kesi yako lakini atakuhakikishia pia atakuja kukutetea (complication theory)
4. Ukimpigia simu kama hakujui anakata kwanza halafu anakutext (niko mahakamani nani) halafu bdae ndo anakupigia sasa
5. Kesi yoyote hata kama utafungwa hakwambii, atakwambia "Ondoa shaka kesi nyeupe hii"
6. Kesi zote zenye public interest mawakili wanapenda sana kuonesha hawako kimaslahi ya pesa
7. Kesi ya kuku lakini usishaangae akaja na buruguntu kajaza begi la nguo na kimkoba kwa pembeni
8. ...ongezea tabia unayoijua nyingine hapo!

Hadi hapo nimejifunza kwamba ukitaka kuwa wakili lazima pia ujue kucomplicate Mambo!
Kwanza nikuweke sawa. Si kila mwanasheria ni wakili. Wakili ni zaidi ya mwanasheria manake anamuhuri, amesajiliwa. Hawa wanasheria hawajasajilia wala hawana mihuri. Na hi ndiyo mana huitwa wakili msomi.
 
Kwanza nikuweke sawa.Si kila mwanasheria ni wakili.Wakili ni zaidi ya mwanasheria manake anamuhuri,amesajiliwa.Hawa wanasheria hawajasajilia wala hawana mihuri.Na hi ndiyo mana huitwa wakili msomi.
Wanaowabebea mikoba na mabegi wenzao mahakaman huwa ni sehemu majukumu?
 
Weee labda hujakutana nao,kuna mwingine anayo namba yangu na ananifahamu bahati nzuri ni pesa nilikuwa nikimpigia nimpatie,cha ajabu hakuwa akipokea mpaka ikate afu apige yeye au akwambie tuma sms.
Ukweli mtoa mada amewaongelea vizuri mnoo na bado kuna point nyingi hajazigusia wadau tutiririke ili liwe fundisho kwa vijana wanaochipukia.

Kwao nilikuja gundua kitu kimoja,
Sangoma,
Manabii/wachungaji wa mchongo,
Madalali,
Mawakili,wote ni kundi moja sema ktk misheni tofauti!(sorry ni mtazamo wangu)
Hata mimi ni mtazamo wangu nakushangaa wewe povu linavyokutoka,bado nasema sidhani kama kuna ukweli.
 
Hata mimi ni mtazamo wangu nakushangaa wewe povu linavyokutoka,bado nasema sidhani kama kuna ukweli.
Unasema hudhani,bado unataka tuuchukulie maanani mtazamo wako!

Tukushangae sasa eti??
 
Back
Top Bottom