Zijue MISSION 09 za KBG (FSB sasa) ambazo kama baadhi zingefanikiwa Dunia ingekuwa tofauti na leo

Sawa nime kupata vyema mkuu..
 
Sawa nime kupata vyema mkuu..
Yap isingekuwa Juhudi ya Kachero Gevork Vartanian na kikosichake cha KGB,
WaNAZI wangeandika upya historia ya dunia. Maana WW2 bila combination ya Flanklin D. Roosevelt, Winston LAmeck Spenser Churchill na General Joseph Stallin hakuna dunia nzima ambaye angemsogelea hitler na ujerumani dunia nzima enzi hizo.
 
No 1. That is called strategic war ( strategic bombing )
Kupiga picha ni hatua ya mwanzo kabisa ambayo kijeshi huitwa reconnaissance, kwa lugha rahisi ni survey. Hatua hii hulenga kataka kujua nguvu ya adui. Mara baada ya picha izo kupatikana, hufanyiwa uchambuzi na kupewa uzito au kipaumbele ya maeneo muhimu ya kushambuliwa punde tu, taifa husika litakapoingia vitani na taifa hasimu

Hii hulenga kupiga au shambulia maeneo ambayo yanampa adui nguvu za kupambana kivita. Lengo ni kumdhoofisha adui kwa kushambulia haya maeneo. Mfano, kambi kubwa za jeshi zenue hifadhi ya silaha kubwa / nzito, sehemu zenye hifadhi ya mafuta, sehemu zenye shehena kubwa za chakula.

Hii njia ilitumika sana na marekani na washirika wake kwenye vita ya pili ya dunia dhidi ya ujerumani 1940's

Pia marekani walitumia njia hii kumdhoofisha sadam hussein na jeshi lake kwenye vita ya 1991 kwa kushambulia madaraja ili majeshi yashindwe kupata supplies / provisions kama silaha, chakula na madawa. Pia majeshi yashindwe Ku retreat ya kishindwa na yashindwe kupata askari wa ziada pale wanapozidiwa na adui kwenye uwanja wa kivita.

Wakipiga visima vya mafuta, wanadhoofisha uwezo wa adui kua na nguvu za kupigana vita kwa kumfanya ashindwe kutumia silaha zake. Unakuta jeshi lina Vifaru au ndege za kivita nyingi lakini linashindwa kuvitumia kutokana na kukosa mafuta nk. Mfano, mwaka 1943 ujerumani wanagundua ndege yao ( first jet fighter aircraft ) The ME264, wanashindwa kushinda vita ya anga kwasababu visima vyake vya mafuta Romania, vilivyokua vinazalisha 60% ya mafuta yote yaliyotumika ujerumani vilikua tayari vimeteketezwa na wamarekani na washirika wake.
 
No 3. Blackmail tactics or manipulations

Hii njia hulenga kumtumia mtu kufanya vile utakavyo kwa kumtishia kua utatoa siri zake ambazo aidha ni matukio ambayo mhusika kajihusisha nayo ambayo yapo kinyume na sheria au kinyume na maadili. Ukisisitiza kua aidha , siri izo zikitoka zinaweza fanya apelekwe mahakamani, apate aibu, ajihudhuru kutoka kwenye nafasi yake ya uongozi au kuharibu mahusiano yake na familia, ndugu na watu wengine wa karibu yake.

Mfano wa siri izo ni
- Matukio ya rushwa
- " ". ya ushoga
- ". " ya matumizi mabaya ya madaraka
- ". ". ya ufisadi
Nk

Ingawa hii njia haina ufanisi mzuri, kama ilivyoelezwa hapo juu
 
Nilipenda Mission ya iliyofanywa na Mossad ya ku defect( Mig -21) kwenda Israel izi egence ni balaa
 
...aseee hii MPYA ..jamaa alikua yuko KIKAZI zaidi
 
Walistruggle sana Warusi ila mwisho wa siku wakashindwa na ndo maana ilikufa
 
CIA na KGB ni sawa na TISS hapa lakini wa kwetu wapo busy kwenye ile misitu ya pale maeneo pande wakikarabati kucha

Kuna mambo mengi yanafanyika mpka ww sahii vidole vyako vipo salama unatype hayo unayo sema hata siyo mission na sidhani kam yanakuwa documented ktk idara
 
Kuna mambo mengi yanafanyika mpka ww sahii vidole vyako vipo salama unatype hayo unayo sema hata siyo mission na sidhani kam yanakuwa documented ktk idara
Wengine wanaandika watakachojisikia hawajui vijana wanapata shida gan hadi wao wanaburudika sasa na kuongea watakacho
 
CIA na KGB ni sawa na TISS hapa lakini wa kwetu wapo busy kwenye ile misitu ya pale maeneo pande wakikarabati kucha
military intelligence itakuwa bora zaidi Ila tiss nao watakuwa vizuri hao wanaojitapa mitaani ukute ni mainformer tu.
Mimi naamini tuko salama kwa sababu kuna watu wachache wapo kazini kuwezesha.
Kwa nchi yetu tunaishi kwa siri sio misifa.
 
kuna ile mission CIAwaliifanya kule sudani kama sikosei, jamaa walichapwa kama watoto

Sio unaongelea mission ya Somalia ya Jeshi la Marekani wakachapwa sana?. Hii walikuja kusaidia na Grup Gerak Khas (GGK) kikosi maalumu cha Malyasia kumuokoa rubani aliyetekwa. Inasemekana GGK ndio wana training ngumu kabisa katika special forces
 
Watu wanadhani amani inatokea tu yenyewe, hawajui kuwa kuna mengi yasiyoonyeshwa kwenye taarifa ya habari au magazeti ambayo yanailinda hiyo amani.

Watu wanapenda kuona kiatu bila kujali nguvu iliyotumika na material zilizotumika ili kiatu kiwe kama kilivyo. Tuna-overlook sana vitu kiasi kwamba hatutaki kufahamu tena uhalisia wa jambo tunachotaka ni matokeo tu.
Watu wanatakiwa watambue matokeo yanayoonekana leo ni muendelezo wa matukio yasiyoonekana yaliyofanywa kwa kiwango fulani ili kuleta matokeo haya.
 
Mada kama hizi nazipenda sanaa,napozisomaaa hua naenjoy mbayaa.ile zetu za kibongo wanazibana sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…