Zijue MISSION 09 za KBG (FSB sasa) ambazo kama baadhi zingefanikiwa Dunia ingekuwa tofauti na leo

Zijue MISSION 09 za KBG (FSB sasa) ambazo kama baadhi zingefanikiwa Dunia ingekuwa tofauti na leo

jinsi ya kuhamisha taarifa pia kuna maandishi na michoro inatumika kubeba taarifa huwa inatakiwa jasusi mahili haswa kun'gamua mchezo mzima,mfano mzuri ukitazama season za @prison break utaona dunia inavyoendeshwa na majasusi watakavyo
 
miaka ya 1980s kuna jasusi aliitwa @JohnWalker pamoja na ndugu yake pia rafiki yao walitoa siri ya manowari ya kimarekani kwa sovieti(rejea vita baridi),baada ya kubainika na kukiri kosa john walker alihukumiwa kwenda jela miaka 25 na nduguye kifungo cha maisha,hapa utaona matokeo ya kuwa double-agent,pia yule mmarekani alietoa siri kwa wa-israel hadi kupewa uraia wao akiwa kifungoni miaka ya 1990s,katika uwiano wa jinsia MI5 wapo vizuri kwa kuajiri agents karibu 50%. Hadi miaka ya karibuni espionage system inangezeka duniani kote baadhi ya nchi haziaminiani mfano; USA na Korea Kaskazini
 
Mkuu huwezi kuunderestimate power ya hizi organizations.
Mfano:
Rais wa Marekani Franklin D. Roosevelt, Waziri mkuu wa UK Winston Churchill na General Stalin wa urusi walikutana kwa siri IRAN kujadili jinsi watakavyomshughulikia Hitler katika WW2. Ni KGB waliogundua mtego wa spy wa wanazi waliokuwa wamefurika mji huo Tehran kuwaangamiza hasa rais wa US na Churchill. Kwa uoga Rais wa Marekani aliforce kwenda kujificha ubalozi wa Urusi ili awe na maximum usalama. Maana Walikamatwa maspy 400 wa hitler na KGB hapo mjini.
Ikumbukwe kama hawa wawili US na hasa Uk hakukua na mtu yoyote sio mfalme wala Waziri mkuu aliyekuwa na gut za kumbishia Hitler hata kutangaza pambano hadi walioenda nyumbani kwa Churchill (political reject) aje na baadae akaachiwa nchi awe PM. Yeye ndie hadi kesho Uk anaheshimika kuliko mtu yoyote. kama Isngekuwa KGB WW2 ingekuwa ni stori nyingine.
Jamaa hawa hawana shukrani hasa Waingereza, Roosevelt alikuwà na busara sana - lakini Chulchil alikuwa ni mtu mchochezi sana na chuki binafsi kwa Urusi - akili zake zilifikiria masuala ya kuongeza himaya ya Empire basis, alikuwà hatumii busara hata kidogo he was a good orator na mpenda vita mfano: alimshauri Truman aishambulie Urusi kwa mabom ya Nuclear mapema zaidi baada ya kumalizika vita ya pili ya Dunia - kama Truman angehafiki na ushauri wa Chulchil sijui kungetokea nini?
 
Jamaa hawa hawana shukrani hasa Waingereza, Roosevelt alikuwà na busara sana - lakini Chulchil alikuwa ni mtu mchochezi sana na chuki binafsi kwa Urusi - akili zake zilifikiria masuala ya kuongeza himaya ya Empire basis, alikuwà hatumii busara hata kidogo he was a good orator na mpenda vita mfano: alimshauri Truman aishambulie Urusi kwa mabom ya Nuclear mapema zaidi baada ya kumalizika vita ya pili ya Dunia - kama Truman angehafiki na ushauri wa Chulchil sijui kungetokea nini?
To every action there is an equal and opposite reaction
 
Kuporomoka kwa USSR ni matokeo ya project ya CIA ya muda mrefu.Kabla ya kuvurugika kwa USSR hawa jamaa walikuwa wako vizuri kuliko CIA.Siku hizi CIA wanawazidi sana KGB hata kumuondoa Blatter baada ya kuwanyima US na England nafasi ya kuandaa world cup na kuwapa Russia na Qatar .FBI walikuwa na agent wao Chuck Blazzer ambaye alifanya kazi FIFA kwa muda mrefu

Jamani someni vizuri historian ya USSR - sio kweli kwamba iliporomoshwa na CIA na wala hakuna kitu kana hicho, Urusi yenyewe ndiyo ilihamua kuziachia nchi zilizizo kuwa chini ya himaya yake - walifanya hivyo bila ya kushinikizwa na MTU/Taifa lolote - hizi propaganda za magharibu ni za kubuni tu kwa kujaribu kutafuta sifa ambazo hawana.
 
Jamaa hawa hawana shukrani hasa Waingereza, Roosevelt alikuwà na busara sana - lakini Chulchil alikuwa ni mtu mchochezi sana na chuki binafsi kwa Urusi - akili zake zilifikiria masuala ya kuongeza himaya ya Empire basis, alikuwà hatumii busara hata kidogo he was a good orator na mpenda vita mfano: alimshauri Truman aishambulie Urusi kwa mabom ya Nuclear mapema zaidi baada ya kumalizika vita ya pili ya Dunia - kama Truman angehafiki na ushauri wa Chulchil sijui kungetokea nini?
HUYU JAMAA MTATA SANA. HATA SHULE SIDHANI KAMA ALIPITA MAANA TANGU KIJANA MDOGO YUKO VITANI, AMEWAHI KUVAMIA CIVIL WAR MEXICO AKIWA KAMA MPIGA PICHA VITANI. S/A ALIWAHI KUPIGANA VITANI HUKO NA KUJIKUTA ANATEKWA NA KUTOROKEA MSUMBIJI.

YEYE ANAUZOEFU WA VITA TU WALA SIO DIPLOMASIA. HATA ALIPOKUTANA NA WAKINA STALIN WALIKUWA HAWAMUAMINI SANA MAANA HAELEWEKI. ILA BILA YEYE ENGLAND YOTE INGESALIMU AMRI MAPEMA KABISA KWA HITLER. NI YEYE ALIYEMUONA HITLER HATA KABLA HAJAWA MAARUFU NA MTATA.
 
Jamaa hawa hawana shukrani hasa Waingereza, Roosevelt alikuwà na busara sana - lakini Chulchil alikuwa ni mtu mchochezi sana na chuki binafsi kwa Urusi - akili zake zilifikiria masuala ya kuongeza himaya ya Empire basis, alikuwà hatumii busara hata kidogo he was a good orator na mpenda vita mfano: alimshauri Truman aishambulie Urusi kwa mabom ya Nuclear mapema zaidi baada ya kumalizika vita ya pili ya Dunia - kama Truman angehafiki na ushauri wa Chulchil sijui kungetokea nini?
HUYU JAMAA MTATA SANA. HATA SHULE SIDHANI KAMA ALIPITA MAANA TANGU KIJANA MDOGO YUKO VITANI, AMEWAHI KUVAMIA CIVIL WAR MEXICO AKIWA KAMA MPIGA PICHA VITANI. S/A ALIWAHI KUPIGANA VITANI HUKO NA KUJIKUTA ANATEKWA NA KUTOROKEA MSUMBIJI.

YEYE ANAUZOEFU WA VITA TU WALA SIO DIPLOMASIA. HATA ALIPOKUTANA NA WAKINA STALIN WALIKUWA HAWAMUAMINI SANA MAANA HAELEWEKI. ILA BILA YEYE ENGLAND YOTE INGESALIMU AMRI MAPEMA KABISA KWA HITLER. HI YEYE ALIYEMUONA HITLER HATA KABLA HAJAWA MAARUFU NA MTATA.
 
Jamani someni vizuri historian ya USSR - sio kweli kwamba iliporomoshwa na CIA na wala hakuna kitu kana hicho, Urusi yenyewe ndiyo ilihamua kuziachia nchi zilizizo kuwa chini ya himaya yake - walifanya hivyo bila ya kushinikizwa na MTU/Taifa lolote - hizi propaganda za magharibu ni za kubuni tu kwa kujaribu kutafuta sifa ambazo hawana.

ZAMA KIDOGO ZAIDI YA HAPO MKUU.
UJUE HATA GHARAMA ILIYOWACOST UKRAIN WALIPOTAKA KUJITENGA CHINI YA MKONO WA STALIN
HAKUNA NCHI INAYOPENDA KURUHUSU ARDHI YAKE NA UTUKUFU WAKE UPUNGUE. NDIO MAANA HATA US MAJIMBO MENGI YA KUSINI YALIKUWA NI YSEHEMU YA NCHI YA MEXICO LAKINI HADI KESHO HAYUKO TAYARI KUYAACHIA.
 
jinsi ya kuhamisha taarifa pia kuna maandishi na michoro inatumika kubeba taarifa huwa inatakiwa jasusi mahili haswa kun'gamua mchezo mzima,mfano mzuri ukitazama season za @prison break utaona dunia inavyoendeshwa na majasusi watakavyo
Ongeza na person of interest.
 
ZAMA KIDOGO ZAIDI YA HAPO MKUU.
UJUE HATA GHARAMA ILIYOWACOST UKRAIN WALIPOTAKA KUJITENGA CHINI YA MKONO WA STALIN
HAKUNA NCHI INAYOPENDA KURUHUSU ARDHI YAKE NA UTUKUFU WAKE UPUNGUE. NDIO MAANA HATA US MAJIMBO MENGI YA KUSINI YALIKUWA NI YSEHEMU YA NCHI YA MEXICO LAKINI HADI KESHO HAYUKO TAYARI KUYAACHIA.

MKUU UMENIKUBUSHA MENGI, NIMECHEKA SANA. NIKIONA UZABAZABINA WA KINA JOHN KERRY NA MA NEOCON WENZAKE WANAPANIA KUVURUGA MATAIFA YA WENZAO KWA MASLAHI BINAFSI, BINAFSI HUA SIYAPENDI HATA KUWASUKIA NI MIJITU HATARI SANA ,CHA AJABU HAYAJIFUNZI KITU MIAJA NENDA RUDI YAPO YÀPO TU KWENYE VIRTUAL WORLD NOT A REAL ONE, AS FAR AS THEY ARE CONCERN 2 'EM THE WORLD IS AMERICA, LAZIMA DUNIA ISIKILIZE MATAKWA YAO - WANA IMANI POTOFU KABISA.

WE JARIBU KUFATILIA ADVENTURES ZAO ZA KIJINGA DUNIANI KOOTENAY, UTAKUTA HAWAJAWAHI KU ACHIEVE CHOCHOTE CHENYE SUBSTANCE ZAIDI YA KUUA WATU BILA SABABU BAADA YA KUFANYA UHARIBIFU MKUBWÀ KWA MATAIFA WANAYO VAMIA JWA VISINGIZIO MBALI MBALI , BAADAE WANAONDOKA NA KUYAHACHA MATAIFA HUSIKA YAMESAMBALATIKA NA RAIA WANABABAKI WAKIPIGANA WENYEWE KWA WENYEWE WITH NO END IN SIGHT TURMOILWISE!!

TUJARIBU KU REVISIT MATAIFA MACHACHE AMBAYO YAME FALL VICTIM WA MATENDO YA KIJAHILI YA TAIFA LA MAREKANI UKWELI UNABAKI KWANBA UNCLE SAM HAD NEVER TU LEO IRAQ IMEGAWANYIKA, LIBYA SIO NCHI MOJA TENA SASA WAPO MBIONI KUTEKELEZA MPANGO WAO WA SIRI WA SIKU NYINGI KUIGAWA SYRIA, WANATAKA SEHEMU YA IRAQ INAYOKALIWA NA WAKURD YENYE UTAJILI WA MAFUTA IUNGANE NA SEHEMU YA SYRIA INAYOKALIWA NA WAKURD VILE VILE INA MAFUTA ILI IWE NCHI MOJA WAWEZE KUNYONYA UTAJILI WA NATURAL RESOURCES ZAO - BAADHI YA VIONGOZI WA MAREKANI WANA MAWAZO YA KUSHANGAZA SANA!!! HAYA TUJE UKRAINE LENGO LAO KUBWA ILIKUWA NI KUJIMILIKISHA NAVAL BASE KUBWA YA SAVASPOL KWA MANUFAA YA JESHI LA MAREKANI KAKINI WARUSI WAKAWAWAHI NA KUZIMA NJAMA ZAO, WAMERIKANI WALIKASIRIKA SANA KUZIDIWA KETE NA URUSI - HILO HAWALISEMI MOJA KWA MOJA WANAISHIA KUMSENA VIVAYA PUTIN NA KUTUSHIA TISHA VIJINCHI VIDOGO VYA ULAYA YA MASHARIKI ETI URUSI INA MPANGO WA KUZIVAMIA - UZUSHI MTUPU!!! WAMAREKANI WANATAFUTA MBINU ZA KUTAKA KUENDELEA KUBAKI ULAYA WAUZE SIRAHA ZAO LAKINI KITU AMBACHO WATU WACHACHE WANAJUA NI KWAMBA MAREKANI HAITAKI ULAYA,URUSI NA CHINA
ZIUNGANE KIUCHUMI WANAJUA HILO LIKITOJEA NATEJANI ITAKUWA HAINA UNUHIMU WOWOTE KIUCHUMI NA BARA LA ULAYA IN OTHERWORDS ITASAHULIKA JAMBO HILI LINAWAOGOGESHA WAMAREJANI KWELI KWELI KULIKO VITA YA TATU YÀ DUNIA - 'AM NOT KIDDING.

VILE VILE KUTUMIA ARIDHI KUBWA YA UKRAINE KWA AJILI YA KILIMO CHA NAFAKA ZA GMO KWA KUTUMIA KAMPUNI YA MONSSANTO
 
MKUU UMENIKUBUSHA MENGI, NIMECHEKA SANA. NIKIONA UZABAZABINA WA KINA JOHN KERRY NA MA NEOCON WENZAKE WANAPANIA KUVURUGA MATAIFA YA WENZAO KWA MASLAHI BINAFSI, BINAFSI HUA SIYAPENDI HATA KUWASUKIA NI MIJITU HATARI SANA ,CHA AJABU HAYAJIFUNZI KITU MIAJA NENDA RUDI YAPO YÀPO TU KWENYE VIRTUAL WORLD NOT A REAL ONE, AS FAR AS THEY ARE CONCERN 2 'EM THE WORLD IS AMERICA, LAZIMA DUNIA ISIKILIZE MATAKWA YAO - WANA IMANI POTOFU KABISA.

WE JARIBU KUFATILIA ADVENTURES ZAO ZA KIJINGA DUNIANI KOOTENAY, UTAKUTA HAWAJAWAHI KU ACHIEVE CHOCHOTE CHENYE SUBSTANCE ZAIDI YA KUUA WATU BILA SABABU BAADA YA KUFANYA UHARIBIFU MKUBWÀ KWA MATAIFA WANAYO VAMIA JWA VISINGIZIO MBALI MBALI , BAADAE WANAONDOKA NA KUYAHACHA MATAIFA HUSIKA YAMESAMBALATIKA NA RAIA WANABABAKI WAKIPIGANA WENYEWE KWA WENYEWE WITH NO END IN SIGHT TURMOILWISE!!

TUJARIBU KU REVISIT MATAIFA MACHACHE AMBAYO YAME FALL VICTIM WA MATENDO YA KIJAHILI YA TAIFA LA MAREKANI UKWELI UNABAKI KWANBA UNCLE SAM HAD NEVER TU LEO IRAQ IMEGAWANYIKA, LIBYA SIO NCHI MOJA TENA SASA WAPO MBIONI KUTEKELEZA MPANGO WAO WA SIRI WA SIKU NYINGI KUIGAWA SYRIA, WANATAKA SEHEMU YA IRAQ INAYOKALIWA NA WAKURD YENYE UTAJILI WA MAFUTA IUNGANE NA SEHEMU YA SYRIA INAYOKALIWA NA WAKURD VILE VILE INA MAFUTA ILI IWE NCHI MOJA WAWEZE KUNYONYA UTAJILI WA NATURAL RESOURCES ZAO - BAADHI YA VIONGOZI WA MAREKANI WANA MAWAZO YA KUSHANGAZA SANA!!! HAYA TUJE UKRAINE LENGO LAO KUBWA ILIKUWA NI KUJIMILIKISHA NAVAL BASE KUBWA YA SAVASPOL KWA MANUFAA YA JESHI LA MAREKANI KAKINI WARUSI WAKAWAWAHI NA KUZIMA NJAMA ZAO, WAMERIKANI WALIKASIRIKA SANA KUZIDIWA KETE NA URUSI - HILO HAWALISEMI MOJA KWA MOJA WANAISHIA KUMSENA VIVAYA PUTIN NA KUTUSHIA TISHA VIJINCHI VIDOGO VYA ULAYA YA MASHARIKI ETI URUSI INA MPANGO WA KUZIVAMIA - UZUSHI MTUPU!!! WAMAREKANI WANATAFUTA MBINU ZA KUTAKA KUENDELEA KUBAKI ULAYA WAUZE SIRAHA ZAO LAKINI KITU AMBACHO WATU WACHACHE WANAJUA NI KWAMBA MAREKANI HAITAKI ULAYA,URUSI NA CHINA
ZIUNGANE KIUCHUMI WANAJUA HILO LIKITOJEA NATEJANI ITAKUWA HAINA UNUHIMU WOWOTE KIUCHUMI NA BARA LA ULAYA IN OTHERWORDS ITASAHULIKA JAMBO HILI LINAWAOGOGESHA WAMAREJANI KWELI KWELI KULIKO VITA YA TATU YÀ DUNIA - 'AM NOT KIDDING.

VILE VILE KUTUMIA ARIDHI KUBWA YA UKRAINE KWA AJILI YA KILIMO CHA NAFAKA ZA GMO KWA KUTUMIA KAMPUNI YA MONSSANTO
Uko sawa, yote unayoyaona sasa ukitrace back history yalipangwa zamani sana.
hii yote ni maandalizi ya NWO. Historia haionyeshi kama kutakuja kuwa na taifa wala muungano wenye nguvu zaidi ya US.
 
USA kboko pamoja na yote walfankiwa kuiangusha soviet union miaka ya 90
 
mission ya USA dhidi ya Osama Bin Laden,majasusi wao (CIA,FBI,NSA)na mengineyo mengi,ila kinachonishangaza nguvu iliyotumika ni kubwa sana pamoja na gharama ila jinsi alivyouawa na kuzikwa kwa siri ndo hapo natatizwa,kwa nini wasituonyeshe walimwengu?
 
Back
Top Bottom