Zijue MISSION 09 za KBG (FSB sasa) ambazo kama baadhi zingefanikiwa Dunia ingekuwa tofauti na leo

kweli haya mambo mazito,ule ukorofi wa USA umepungua kwa sasa baada ya URUSI kujiimarisha zaidi kiulinzi ndani na nje ukichukulia mfano sakata la UKRAINE wamarekani na washirika wao kuufyata,pia lile sakata la kuharibu mfumo wa umeme kwenye manowari yao kwenye bahari nyeusi,kiukweli putin amenisisimua katika utawala wake
 
Utawala wa Russia ni zaidi ya Puttin, Boris alochagua watu 4 ambao watatawala kwa muda mrefu, Puttin na Medvedev ni wawili kati yao, hao wengine wanafahamika na KGB/FSB, Puttin na Medvedev.
Watakuwa wana exchange mpaka......
 
Utawala wa Russia ni zaidi ya Puttin, Boris alochagua watu 4 ambao watatawala kwa muda mrefu, Puttin na Medvedev ni wawili kati yao, hao wengine wanafahamika na KGB/FSB, Puttin na Medvedev.
Watakuwa wana exchange mpaka......

Kuna documentary ya jinsi Vladimir Putin alivyoingia katika power inaitwa How Vladimir Putin came into Power, hii inaeleza mipango yote ilivyofanyika mpaka huyu jamaa anachukua nchi!
Kutoka kuwa Mkurugenzi Mkuu wa KGB/FSB mpaka kuwa Kiongozi wa Russia ni mipango ilifanywa.
 
Bora hao wanajitangaza bar Mbona hao FBI wanavaa kabisa vizibao vyao wala haihitaji mtu kwenda kusikiliza,japo kuna wasiovaa pia kama wale wa TISS nao wasio jitangaza.
FBI sio kitengo cha siri, tofauti na askari wengine ni kuwa wao hawavai sare za kiaskari, ila wanapokuwa katika operation mara nyingi wanakuwa na utambulisho fulani dhahiri kama fulana au jaketi zenye jina FBI, au vitambulisho vinavyo onekana, lakini wale wa vitengo vya siri hutawajua asilani
 
Nimesoma story yooote lakini ulipofika mwisho ndo umeharibu...hasa hapo kwenye magaidi na kuihusisha PALESTINE...
Rekebisha mwisho wa story yako
 
Nimesoma story yooote lakini ulipofika mwisho ndo umeharibu...hasa hapo kwenye magaidi na kuihusisha PALESTINE...
Rekebisha mwisho wa story yako
hujaeleweka, toa fact utaeleweka.
 
umetofautiana na habari bila kutoa maelezo ya kutosha kwa nini hukubali,
Mimi sikubali Waarabu kuitwa magaidi..na nitapinga mpaka keaho kutwa. Kwasababu gaidi halisi amevaa suti na kuuaminisha ulimwengu kwamba yeye ni mtu safi
 
Mimi sikubali Waarabu kuitwa magaidi..na nitapinga mpaka keaho kutwa. Kwasababu gaidi halisi amevaa suti na kuuaminisha ulimwengu kwamba yeye ni mtu safi
ookay, hiyo ni wewe, kila mtu huwa yuko sawa ila sio lazima iwe sahihi. ila gaidi hana uhusiano wowote na rangi au kabila.
ila humu ameongelewa gaidi wa parestina. inawezekana akawepo gaidi mweusi mzungu mchina hata muhindi pia mkuu.
 
Utawala wa Russia ni zaidi ya Puttin, Boris alochagua watu 4 ambao watatawala kwa muda mrefu, Puttin na Medvedev ni wawili kati yao, hao wengine wanafahamika na KGB/FSB, Puttin na Medvedev.
Watakuwa wana exchange mpaka......
 
basi utawala wa putin imekua nyundo kwa USA ule ukorofi/uchanganishi(rejea vita afganstan na libya)kwa syria wamebanwa na mrusi pia ndege aina ya @SU-24 ni pigo baya kwa marekani nadhan wataufyata
 
Ujasusi wa kijinga sana huu. Ndio maana USSR ilianguka. Tia maji tia maji kama hizi haziwezi wafanya superpower wa dunia! Katika ujasusi oparesheni ikifeli inaonyesha ubomu wa oparesheni hiyi. Hamjui tuu gharama ya damu kwa jasusi au majasusu wanaopewa misheni na ikafeli. Sheria za uendeshaji wa misheni za kijasusi zinapofeli ni kuwa tunawapoteza wote na vyote vilivyohusika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…