Zijue MISSION 09 za KBG (FSB sasa) ambazo kama baadhi zingefanikiwa Dunia ingekuwa tofauti na leo

Zijue MISSION 09 za KBG (FSB sasa) ambazo kama baadhi zingefanikiwa Dunia ingekuwa tofauti na leo

Mkuu MSEZA MKULU ,
Shirika la KGB lilivunjwa na kuwa SVR na FSB mara baada ya kuanguka kwa jumuiya ya nchi za kisovieti mwaka 1991 na siyo mwaka 1995.

Haya nianze kukosoa kwenye vinasa sauti hapo.
Hivi unajua mnamo mwaka 1970 C.I.A walichimba shimo refu chini ya Ubalozi wa Soviet Marekani kwa dhumuni la kufanya udukuzi?

Hilo la ugaidi.
Mbona C.I.A na MOSSAD nao ni magwiji wa kutengeneza magaidi?
Unayakumbuka haya makundi;

  1. Khmer Rouge la Cambodia?
  2. Contras or FDN wa Nicaragua?
  3. The Mujaheddin au Al-Qaeda la Afghanistani?
  4. Hawa ISIS je?
Mbona amesema kwamba hata hayo mashirika mengine nayo yamewahi kufanya mambo mengi tu...ila yeye kaongelea KGB au ni nini kinachofanya usielewe??? Maana hakuna mahali ambapo amesema CIA au hayo mashirika mrngine hayajafanya hayo unayoyasema na mengineyo!!!
 
Mbona amesema kwamba hata hayo mashirika mengine nayo yamewahi kufanya mambo mengi tu...ila yeye kaongelea KGB au ni nini kinachofanya usielewe??? Maana hakuna mahali ambapo amesema CIA au hayo mashirika mrngine hayajafanya hayo unayoyasema na mengineyo!!!

Shirika la KGB lilikuwa linafanya kazi kukinzana na nani?
 
Mkuu MSEZA MKULU ,
Shirika la KGB lilivunjwa na kuwa SVR na FSB mara baada ya kuanguka kwa jumuiya ya nchi za kisovieti mwaka 1991 na siyo mwaka 1995.

Haya nianze kukosoa kwenye vinasa sauti hapo.
Hivi unajua mnamo mwaka 1970 C.I.A walichimba shimo refu chini ya Ubalozi wa Soviet Marekani kwa dhumuni la kufanya udukuzi?

Hilo la ugaidi.
Mbona C.I.A na MOSSAD nao ni magwiji wa kutengeneza magaidi?
Unayakumbuka haya makundi;

  1. Khmer Rouge la Cambodia?
  2. Contras or FDN wa Nicaragua?
  3. The Mujaheddin au Al-Qaeda la Afghanistani?
  4. Hawa ISIS je?
ila hapo kwnye kutengeneza makundi ya ugaidi ndo wanaponiboa

nshawahi kusoma sehemu kuwa hata boko haram ya nigeria ni misheni ya cia,,dah!!
 
kuna jamaa alishawekaga historia ya Urusi na KGB kwa series toka enzi za vita baridi

asew ilikua very interesting,,jamaa wako vizur kijasusi kitambo sana
 
ila hapo kwnye kutengeneza makundi ya ugaidi ndo wanaponiboa

nshawahi kusoma sehemu kuwa hata boko haram ya nigeria ni misheni ya cia,,dah!!

Hili la Boko Harama muulize Doctor Augustine Mahiga,
Kipindi yuko Somalia aliliona kundi likipewa mafunzo huko kabla ya kwenda Nigeria,
Nakumbuka aliwaambia UN Security Council wakampuuza, kumbe kuna mkono wa wakubwa.
 
Hili la Boko Harama muulize Doctor Augustine Mahiga,
Kipindi yuko Somalia aliliona kundi likipewa mafunzo huko kabla ya kwenda Nigeria,
Nakumbuka aliwaambia UN Security Council wakampuuza, kumbe kuna mkono wa wakubwa.
dah!! kweli kazi ipo
 
Hili la Boko Harama muulize Doctor Augustine Mahiga,
Kipindi yuko Somalia aliliona kundi likipewa mafunzo huko kabla ya kwenda Nigeria,
Nakumbuka aliwaambia UN Security Council wakampuuza, kumbe kuna mkono wa wakubwa.
hii nayo kali mkuu.
kwa ufupi hakuna kinachoendelea duniani kwa bahati mbaya.
Kama sio secret Services ni Secret Societies. Wanaolewa undani ni wachache mno na wafuatiliaji wachache,
Ila Mabilioni ya raia duniani ( common people) huwa wa tumepofushwa na media na wakuu.
 

Attachments

Nimeongeza vingine hapo.
Naona una interest sana.
athante, mimi napenda History.
maana nimegundua vyote vinavyendelea leo kuanzia dini, siasa, mapenzi,vita, Maisha, biashara, uchumi ni matokeo ya history na huko ndio kuna majibu mengi ya maswali yanayoisumbua dunia. Kuna mengi ya kujifunza huko nyuma yatakayo kufanya mwanadamu huru katikati ya dunia hii ya leo yenye watu wengi wenye kujua mambo juu juu. Najifuza kila nikipata Muda.
 
hizi nchi zikikutak unaondok tu mapem maan wameajir watu weng san weny mafunzo na mbin za kutosh,FSB wameajir watu 300,000 idadi ambayo hat jesh letu zima alifikii hichi kitengo.sasa unategemea wasiwrz kukupat kweli
russia kwe swala la espionage wako vizuri sana
 
na wapo kila sehemu, Mfano Mshambuliaji wa Alsenal Andre Arshavin alifurushwa england baada ya kujulikana ni JASUSI wa Russia kwa jina la (RED FOX). Kuna kipindi inasemekana alijifanya yuko injury ili abaki london anakusanya taarifa. Na inasemekana alitumiwa wadau wengine watatu in case mission imekamilika wamtoroshe. Ili kuwapoteza wasimfuatilie uliandaliwa uvumi kuwa anatakiwa kujiunga na madrid
Duh ,hii ni kweli ?
 
Kuporomoka kwa USSR ni matokeo ya project ya CIA ya muda mrefu.Kabla ya kuvurugika kwa USSR hawa jamaa walikuwa wako vizuri kuliko CIA.Siku hizi CIA wanawazidi sana KGB hata kumuondoa Blatter baada ya kuwanyima US na England nafasi ya kuandaa world cup na kuwapa Russia na Qatar .FBI walikuwa na agent wao Chuck Blazzer ambaye alifanya kazi FIFA kwa muda mrefu
 
Ina maana izo misheni zilikua zina fail kutokana na wao Russians kuzidiwa maarifa na hao wenzao wa Cia kwa kiasi kikubwa...embu labda nifafanunilie misheni kubwa ambapo warussi walifanya ikawa successful..
Na leo hii madhara/kilichofanyika kina onekana wazi.
 
Ina maana izo misheni zilikua zina fail kutokana na wao Russians kuzidiwa maarifa na hao wenzao wa Cia kwa kiasi kikubwa...embu labda nifafanunilie misheni kubwa ambapo warussi walifanya ikawa successful..
Na leo hii madhara/kilichofanyika kina onekana wazi.
Mkuu huwezi kuunderestimate power ya hizi organizations.
Mfano:
Rais wa Marekani Franklin D. Roosevelt, Waziri mkuu wa UK Winston Churchill na General Stalin wa urusi walikutana kwa siri IRAN kujadili jinsi watakavyomshughulikia Hitler katika WW2. Ni KGB waliogundua mtego wa spy wa wanazi waliokuwa wamefurika mji huo Tehran kuwaangamiza hasa rais wa US na Churchill. Kwa uoga Rais wa Marekani aliforce kwenda kujificha ubalozi wa Urusi ili awe na maximum usalama. Maana Walikamatwa maspy 400 wa hitler na KGB hapo mjini.
Ikumbukwe kama hawa wawili US na hasa Uk hakukua na mtu yoyote sio mfalme wala Waziri mkuu aliyekuwa na gut za kumbishia Hitler hata kutangaza pambano hadi walioenda nyumbani kwa Churchill (political reject) aje na baadae akaachiwa nchi awe PM. Yeye ndie hadi kesho Uk anaheshimika kuliko mtu yoyote. kama Isngekuwa KGB WW2 ingekuwa ni stori nyingine.
 
Back
Top Bottom