Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

Hivi Na nchi nyingine wanachanganya lugha Kama Tanzania, utaona J= jaji S= spika mara utaona CAG= mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali, hata sielewi.
 
Kipindi cha miaka ya nyuma kidogo hasa wakati wa miradi ya TASAF imeanza kufanya kazi kuna brother mmoja nilimuuliza kirefu cha DFP a kaniambia eti ni Dondosha Fedha Peupe (kumbuka kipindi hicho jamaa wa kwenye miradi kama Tasaf walikuwa na pesa na magari mazuri, basi nikaamini.

Ila baadae miaka ilivyosonga nikaja kung'amua kuwa jamaa alinipiga fix mchana kweupe , namlaani sana.
 
Plate namba za ubaloz zinajulikana kwa namba ya kuanzia ili ijulikane kuwa ni ubaloz gani kwa mfani
T116CD....... Ni marekani
T68CD.........Ni korea
254CD.......Uingereza

Wengine wanaweza endelea hapo..

T115CD Uingereza
 
Gari za DFP baada ya digit kujaa wakaaza kuweka A.
Gari za Ikulu ni ST namba Halafu A Baada ya digit kujaa, zamani ni ilikuwa ST na namba tu.
Ubalozi umepangwa kwa Alphabet mfano.
T3 Namba CD namba ni Algeria
T 4 Namba CD namba Angola
T 114 Namba CD namba UER Egypt
T 115 Namba CD namba UK
T 116 Namba CD namba USA
T 117 Namba CD namba USSR Russia
Nk, ata kama hakuna ubalozi T na namba inabaki wazi, inawezeka T moja mpaka sasa haitumiki ingawa balozi wa kwanza hapa ni mwingireza baada ya kukabidhi nchi
T NAMBA CC Badala CD ni balozi wa heshima,
T ni mpangilio wa alphabet CD Ni idadi ya magari balozi walizonazo ndio maana ukiangalia USA kwenye CD ana digit nyingi,
Balozi mwenyewe anatumia T Namba CDM 1,
CD Maana yake Car Diplomat
Angalia mtiririko mwingine
J, T 59 Japan
K T 60 kenya
K T 61 KOREA
We utakuwa TISS
 
Back
Top Bottom