Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
DFP.donor foundation problgram[color]
haya hutorewa kwa msaada wa ben
k ya dunia chini ya adjustment program
DC..district camishner
kma
ni kwa wakuu wa mik
oa
RC.Region camishner
kwa wakuu waik
o
a
SU.shilika na uma
mfano.ttcl,tan
es
c
Hizo ni baadhi tu ya takataka ulizoandika!! Umesoma wapi?
o
SM.ni kwaajil ya halmashaur.ya mji
MT.magereza tanzania
KJ.kikosi cha jesh
sema kipindi cha STI ulikuwa mtotoHakuna STI
Magereza Tanzania.1.SM = serikali za mitaa
2.J=Jaji
3.RC=Regional commissioner (mkuu wa Mkoa)
4.DC=district commissioner
(mkuu wa wilaya)
5.MT= millitary transport
Police Tanzania
KweendaaaaRudi facebook, acha uandishi wa hovyo.
gari zote za DFPA hutolewa chini ya adjustment program sasa adjustment program ipo chin ya nani..? au ulikuwa hujui
huyo amebuni tu huoni kama haileti maana??Kuna kingunge alisema ni Donor Funded Project kumbe alitudanganya
Dah zinaumizaga sana kichwa izo
huyo amebuni tu huoni kama haileti maana??
Hakuna STI
Alikuwa sahihi. Ni donor funded projectKuna kingunge alisema ni Donor Funded Project kumbe alitudanganya
Hapa ndo tumekuja kwenu wataalamu mtujuze
Hivi ndugu zangu naomba kueleweshwa maana ya kifupi cha maneno haya.
PLATE NAMBA
SU, KJ, JW, MT, DFP, SM, J 1, W ST, KP, STK, STJ, RC, DC, hayo machache tu tusaidiane kujua na kama kuna mengine ongezeeni ili tupate kujulishana. asante ni hayo tu.
OK Faiza nilikoseaUna uhakika? Siyo Donor Funded Project?
Hivi ndugu zangu naomba kueleweshwa maana ya kifupi cha maneno haya.
PLATE NAMBA
SU, KJ, JW, MT, DFP, SM, J 1, W ST, KP, STK, STJ, RC, DC, hayo machache tu tusaidiane kujua na kama kuna mengine ongezeeni ili tupate kujulishana. asante ni hayo tu.
DFP-Donor Funded Project
...STI hakuna kwenye I huwa wanairika sabb inafanana na namba 1STK, ST
STK, STJ -serikali ya Tanzania hizo K na J ni series za magari. Zilikuepo STA, STB, STC, STD, STE, STF, STG ila nyingi zimechoka coz ni za zamani hazionekani road. Siku hizi utaanza STH, STI, STJ, STK, STL ndo zipo