Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

Je plate namba Kama ya hii ni ya nani
RC
DSM?
 

Shukrani sana mkuu kwa ufafanuzi kuna gari moja nimeliona juzi kati mitaa ya Africana lina kibao chenye rangi nyeupe na maandishi mekundu kama gari za miradi hiyo ina maanisha nini?
 
J (then namba)=judge (majaji wamewekwa kwa rank)
JR (then namba)=Jaji ya mahakama ya rufaa

Kuna taasis nyeti zinatumia namba binafsi wakati mwingne na vioo vya rangi nyeusi

Mfano: Takukuru, usalama wa taifa n.k
 
Busara ni kitu cha bure kiongoz, sijamtusi mtu hapa kama ulikerwa na nlichopost ungekaa kimya may b wengine watapata ufahamu..

Tuwe wabunifu kwenye mambo ya msingi na si kuonyesha ubunifu na umahiri kwenye kutukana,

PONGERA
 
J-Judge
RC-Regional Commissioner
 
Na kibao cha kushtukiza ukirudi nyumbani jioni inamaana umesaliti
 
Kibao Cha platinumz ujue ni gari ya Simba mnyama wa tandale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…