Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

MMM.....Mtendaji Mkuu wa Mahakama
JM....Jaji Mkuu
JK Jaji Kiongozi
J ikifatiwa na namba ni Jaji wa Mahakama Kuu namba hufuata seniority
JR ikifatiwa na namba ni Jaji wa Mahakama ya Rufani namba pia hufuata seniority
 
kuna hii hapa siielewi
 

Attachments

  • tmp-cam-1113947323.jpg
    24.5 KB · Views: 72
Shukrani mkuu,sema wanachanganya lugha,wengine kiingereza,wengine kiswahili
 
vipi kibao chenye herufi J pekee
 
Luna moja inapita na kingora escot kila siku hapa victoria .. imeandikwa JM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…