Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

Mada nzuri ila waliotoa maana ya RAC 3847 kwamba ni Railway Asset Corporation ni kudanganya wengine hizi ni plate number za Rwanda
 
Acha uongo lini umeona gari la mkuu wa majeshi limeandikwa CDF??
 
Mada nzuri ila waliotoa maana ya RAC 3847 kwamba ni Railway Asset Corporation ni kudanganya wengine hizi ni plate number za Rwanda
Zinaweza kuwa zinafanana na rwanda lakini hawajakosea hizo namba za railway toka zamani sana. Ukichunhuza utaona pia zina bendera ya Tanzania za Rwanda zitakuwa na bendera ya Twanda
 
Hapo namba 7 sio xxxx ni nyota ****
 
 
Umesahau ukiona gari limeandikwa "gwanko"nalo pia la ujue ni la mwanachama wa jamiiforum
 
Namba za Mawaziri zinachanganya sana. Tafadhali mtoa hoja ingekuwa vema ukatuwekea vile vifupisho vya Namaba za Magari ya Mawaziri na Manaibu wao. Vile vifupisho vyake ni taabu sana kuving'amua kwa harakaharaka.
Kwa kipindi hiki imekua taab maana Wizara nyingi zimeunganishwa na kuwa moja mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…