Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

Mkuu mbona umewajumuisha wakati aliyeleta uzi ni mmoja tu, tena hajafanya majadiliano ameleta tu taarifa na kusepa Ingawa ipo tu humu muda mrefu. Tukiachana na hayo hii style yako ya uandishi ni unpingikable
Pdidy, mbona unaandika kama cherehani? Ndugu yangu kuandika bado hujajua tu ni bora kuacha hiyo kazi au kasome tu.
 
Additionally Gari ya Rais ina Ngao, Ya mkuu wa majeshi plate number yake ni nyota nne, Chief of secretary ikulu ni CS, Wakuu wa mikoa ni RC ikifatiwa na province lake, J ni jaji, S ni speaker ila pia mawaziri na manaibu waziri they have special plate number pia
 
STK serikali ya Tanzania hio K ni mwendelezo tu wa herufi kuna STK, STG
PT ni polisi Tanzania
MT magereza Tanzania
DFPA Donor fund project Africa
SM serikali za mitaa
 
STK serikali ya Tanzania hio K ni mwendelezo tu wa herufi kuna STK, STG
PT ni polisi Tanzania
MT magereza Tanzania
DFPA Donor fund project Africa
SM serikali za mitaa
Kassina,naomba niendelee kufafanua kuwa hizi namba za Serikali pamoja na.taasisi zake ikiwa pamoja na majeshi zinatokana au zimeanzishwa kuwa kufuata mpango maalumu wa kuhifadhi kumbukumbu ya mali za Serikali unaofahamika kitaalamu kama (code au.coding).Hivyo,ST ni Serikali ya Tanzania,na ilianza STA,STB,STC,STD,STE,STF,STG,STH,STG....H,J,K na.sasa ni.L.Sambamba na magari ya jeshi utaona 709JW18,maana yake ni kwa hiko ni gari la 709linalomilikiwa na.Jeshi la.Wananchi kwa mwaka huo wa.2018.Kwenye hii RAC 345 ni kwamba mamlaka ya miliki reli nchini ina sajili mali zake.pamoja na magari na RA ni Railways Administration nao walianza RAA,RAB,RAC.Utaratibu kwa kusajili magari pia hutumika kutambua mali za serikali na kuweka kumbukumbu kwenye.sii tuu magari,bali pia kwenye mali(assets) kama majengo,samahi pamoja na vifaa mbali mbali.Asante
 
Habari wakuu natumai mko poa na wiki ndo kwaanza iko kati...ninyooshe kwenye mada,nimekua nikipishana na magari ya serikali yenye plate namba mfano STK,SU n.k lakini sifahamu kirefu chake ni nini..Tafadhari kama unafahamu tujuzane.


NB:samahani nilikosea jukwaa na sijui jinsi ya kuediti kwenda jukwaa husika.
 
Hiyo SU = Shirika la Uma
Ila kuna uzi unaelezea hivo virefu vya hizo plate namba
Utafute
 
MT = Magereza Tanzania
PT = police Tanzania
SU = Shirika la Umma
SM = serikali za Mitaa
UT= uhamiaji Tanzania
RC = Regional commisioner
DFP= Doner Fund project
JW = Jeshi la wananchi
CD = magari ya ubalozi
J= magari ya majaji
SMZ = serikali ya mapinduzi ya Zanzibar
W= mawaziri
NW = Naibu waziri
CS = katibu mkuu kiongozi
CAG= mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali

Na mengine mengi tuu.
 
Gari ya waziri mkuu, makamu wa rais na rais zinakuwaje?
 
IGP=Inspector General of Police (Mkuu wa polisi)
 

Ingia huu uzi.

ZIJUE NAMBA ZA MAGARI YA TANZANIA PAMOJA NA NAMBA MAALUM ZA MAGARI YA VIONGOZI WA SERIKALI NA TAASISI ZA UMMA.



 
ZT= zima moto
 
STK serikari kuu ya tanzania
STK = ST + K
= Serikali ya Tanzania + Alphabet (a, b, c ..... z) .
Kila baada ya Gari 999 herufi ya mwisho inabadilika. Kwa hiyo kabla ya STK ilikuwepo STJ ; STL , STM zitafuata STK.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…