Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

17. W ni za mawaziri (mfano; W VBU- Waziri wa Viwanda, Biashara na Uchumi).
18. NW ni za naibu mawaziri (mfano; NW EST- Naibu waziri wa Elimu, Sayansi na Technologia).
 
Naomba uniambie lenye plate namba kuna namba sifuri tuu pale katikati ya plate na hiyo sifuri niya rangi nyekundu ila kwingine ni njano kama kawaida
 
CD-corps diplomatique,hizi huwekwa kwenye magari ya ubalozi,
DFP-Donors Funded Projects-hii ni miradi ya mashirika yasiyo ya kiserikali..
 
... as of today ...
KUB - Freeman Aikaeli Mbowe
MO - Mohamed Dewji
S - Job Ndugai
NS - Tulia Akson
JM - Prof. Juma
 
1.T 000 xxx namba za magari ya watu binafsi na makampuni binafsi(ikiwa plate namba ni nyeupe basi ni gari ya biashara)
2.ST (kuanzia A mpaka sasa L yaani mfano STH,STK na STL) magari ya serikali kuuu
3.SU ni gari za mashirika ya umma
4.SM ni gari za serikali za mtaa( halmashauri)
5.DFP now DFPA gari ambayo yametolewa misaada yapo kwenye miradi fulani(donors fund projects)
6.T 000 CD 000 gari zinazomilikiwa na mashirika ya umoja wa mataifa pia kijan hutembelewa na wafanyakaz wa balozi mbali mbali
7.PT 000 police Tanzania
8.JW ni jwtz
9.UT uhamiaji Tanzania
10.FT fire Tanzania
11.MT magereza Tanzania
12.E,1or E2 kuendelea ni usalama wa taifa
13.kuna wenye majina yao binafsi
14.j ni namba za majaji
15.CAG mkakuzi mkuu wa serikali
16 kuna namba pia maalum kwenye gari ya rais makamu waziri mkuu spika na mawaziri

Hayo Magari ya # 12 hapo huwa yanapita njia gani Mkuu kwani binafsi japo niko ' down town ' kwa ' miongo ' mitatu sasa ya Uhai wangu lakini sijawahi kubahatisha kuyaona japo nina hamu sana niyaone.
 
1.T 000 xxx namba za magari ya watu binafsi na makampuni binafsi(ikiwa plate namba ni nyeupe basi ni gari ya biashara)
2.ST (kuanzia A mpaka sasa L yaani mfano STH,STK na STL) magari ya serikali kuuu
3.SU ni gari za mashirika ya umma
4.SM ni gari za serikali za mtaa( halmashauri)
5.DFP now DFPA gari ambayo yametolewa misaada yapo kwenye miradi fulani(donors fund projects)
6.T 000 CD 000 gari zinazomilikiwa na mashirika ya umoja wa mataifa pia kijan hutembelewa na wafanyakaz wa balozi mbali mbali
7.PT 000 police Tanzania
8.JW ni jwtz
9.UT uhamiaji Tanzania
10.FT fire Tanzania
11.MT magereza Tanzania
12.E,1or E2 kuendelea ni usalama wa taifa
13.kuna wenye majina yao binafsi
14.j ni namba za majaji
15.CAG mkakuzi mkuu wa serikali
16 kuna namba pia maalum kwenye gari ya rais makamu waziri mkuu spika na mawaziri
Kuna mtu alinambia kuna za DFPA zinatumika na system..
 
Back
Top Bottom