Kuna gari Nimeiona, plate number imeanza na TSAL
Mkuu si ndio tunaelimishana, ninachojua kdg tunasheaMmmmmh mkuu mimi nimeingia humu ili unielimishe, kumbe unataka tuelimishane ngoja basi nikasome na kuulizia kwa madereva
Zamani kulikua na STG ikaja STH, hizo STJ,STK na STL ni mwendele wa heruf kama vle T124aza, T123Bza na kuendelea nahis sasa hiv tupo kwenye T---D--, DFPA nayo nimwendelezo wa DFP kwa hyo sasa hiv wamefika A watafika B na kuendelea kutokana na usajili wa magari yao magari yotr ya mashirika ya uma kuanzia tanesco,bandari,vyuo vya serikal huwa wanatumia SU, manispaa zote huwa wanatumia SM, JW ni kwa jeshi la wananchi na jkt ukikuta gari imeandika 1024JW07 hzo namba za kwanza kabla ya JW ni namba ya usajili wa gari na hzo namba baada ya JW ni namba ya mwaka wa gari iliponunuliwa,Wakuu,
Taasisi na mashirika ya umma nchini yanatumia namba tofauti za usajili wa magari ili kutofautisha na magari binafsi, ufuatao ni mchanganuo wa vifupisho hivyo:
MT=Magereza Tanzania
PT= Police Tanzania
SU=Shirika la Umma
SM=Serikali za Mitaa
RC =Regional Commission
JW=Jeshi la Wananchi wa Tz
DFP=Donor Fund Project (unnecessary)
Haya wakuu karibuni tuongezee mawazo kwa wanaofahamu zaidi
STK =
STJ =
STL=
STH=
DFPA=
NAWASILISHA WAKUU
Mkuu Asante umenifungua akili sanaZamani kulikua na STG ikaja STH, hizo STJ,STK na STL ni mwendele wa heruf kama vle T124aza, T123Bza na kuendelea nahis sasa hiv tupo kwenye T---D--, DFPA nayo nimwendelezo wa DFP kwa hyo sasa hiv wamefika A watafika B na kuendelea kutokana na usajili wa magari yao magari yotr ya mashirika ya uma kuanzia tanesco,bandari,vyuo vya serikal huwa wanatumia SU, manispaa zote huwa wanatumia SM, JW ni kwa jeshi la wananchi na jkt ukikuta gari imeandika 1024JW07 hzo namba za kwanza kabla ya JW ni namba ya usajili wa gari na hzo namba baada ya JW ni namba ya mwaka wa gari iliponunuliwa,
Poa mkuu SM ni serikali za mitaa,Mkuu Asante umenifungua akili sana
DFP hutolewa na wahisani kwa Serikali lakn pia zipo taasis binafs ambazo hutumia DFPDFP ni za serikali?
Sio kwel, gari za ikulu zina namba ya serikali au huwa wanaandika state carWakuu,
Taasisi na mashirika ya umma nchini yanatumia namba tofauti za usajili wa magari ili kutofautisha na magari binafsi, ufuatao ni mchanganuo wa vifupisho hivyo:
MT=Magereza Tanzania
PT= Police Tanzania
SU=Shirika la Umma
SM=Serikali za Mitaa
RC =Regional Commission
JW=Jeshi la Wananchi wa Tz
DFP=Donor Fund Project (unnecessary)
Haya wakuu karibuni tuongezee mawazo kwa wanaofahamu zaidi
STK =
STJ =
STL=
STH=
DFPA=
NAWASILISHA WAKUU
ST-State House