Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

SU
SM
YAMEADIMIKA MTAANI BAJETI IMEFIKA KIKOMO?
 
Polisi (hasa polisi wa doria) wanatumia pia plate namba zenye maandishi yaliyopangiliwa shaghalabagala. Mfano GHLK2YFX

Inamaanisha nn hyo mkuu
 
No:17
Kibao chenye rangi ya bluu na namba inayoanza na herufi T kufuatiwa na namba na kisha herufi CD
Kibao hiki kinabeba maana kuwa gari husika linamilikiwa na moja ya shirika la umoja wa mataifa. Mfano shirika la Afya Duniani (WHO).
6. Kibao chenye rangi ya kijani na namba inayoanza na herufi T kufuatiwa na namba na kisha herufi CD
Kibao hiki kinabeba maana kuwa gari husika linamilikiwa na ofisi za ubalozi wa nchi fulani. Mfano ubalozi wa Ufaransa.
 
Hapo Number 22 Kwenye Thread Yapo Mengi Sana Yaani Unakutana Moja Lakini Linatumia Zaidi Ya Tatu Ama Nne
 
Polisi (hasa polisi wa doria) wanatumia pia plate namba zenye maandishi yaliyopangiliwa shaghalabagala. Mfano GHLK2YFX

Inamaanisha nn hyo mkuu
utakuwa port port maana hyo gar iyotaja hyo plate no mara nying nawaona ant robale ndo wana2mia
 
pia ukienda Aeusha kuna gari zenye vibati vya kijani ambazo ni za umoja wa nchi za afrika mashariki
 
Haya malori yanatumia namba za njano na yanafanya kaz za biashara na umesema ni private use how.?
 
CGI-Commissioner General Immigration

IGP-inspector General Police

CDF- Chief of Defence Forces

CGF- Commissioner General Fire

CGP- Commissioner General Prisons

CS- Chief Secretary

CAG- Comptroller and Auditor General

AG-Arttoney General

S-Speaker

N S-Naibu Speaker

KUB-Kiongoz wa Upinzani Bungeni

Mchango wangu ni huo mwenye swali la ufahamu anaweza uliza
Na IT Bandarini ni ni ni au ndio International?
 
Back
Top Bottom