Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla

Nasubiria kuona ki corona kikiwa na plate ya RC🙁
 
Hizo ST ni namba zinazowakilisha Serikali Tanzania kwa hiyo J K, just ni series, zilianza na ST, zikaja STA, STB....,STH ilvyoisha ilipaswa kuja STI lakini mara nyingi I na O huwa Zinarukwa kwa sababu ya kufanana na moja na sufuri, kama huo utaratibu hautabadilika basi hizo namba zitaenda mpaka STZ

TP Ni Tanzania Police
UT..humanisha nini? Na hutumia akina nani?
 
MT = Magereza Tanzania
PT = police Tanzania
SU = Shirika la Umma
SM = serikali za Mitaa
UT= uhamiaji Tanzania
RC = Regional commisioner
DFP= Doner Fund project
JW = Jeshi la wananchi
CD = magari ya ubalozi
J= magari ya majaji
SMZ = serikali ya mapinduzi ya Zanzibar
W= mawaziri
NW = Naibu waziri
CS = katibu mkuu kiongozi
CAG= mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali

Na mengine mengi tuu.
S
Ndugai
 
1.T 000 xxx namba za magari ya watu binafsi na makampuni binafsi(ikiwa plate namba ni nyeupe basi ni gari ya biashara)
2.ST (kuanzia A mpaka sasa L yaani mfano STH,STK na STL) magari ya serikali kuuu
3.SU ni gari za mashirika ya umma
4.SM ni gari za serikali za mtaa( halmashauri)
5.DFP now DFPA gari ambayo yametolewa misaada yapo kwenye miradi fulani(donors fund projects)
6.T 000 CD 000 gari zinazomilikiwa na mashirika ya umoja wa mataifa pia kijan hutembelewa na wafanyakaz wa balozi mbali mbali
7.PT 000 police Tanzania
8.JW ni jwtz
9.UT uhamiaji Tanzania
10.FT fire Tanzania
11.MT magereza Tanzania
12.E,1or E2 kuendelea ni usalama wa taifa
13.kuna wenye majina yao binafsi
14.j ni namba za majaji
15.CAG mkakuzi mkuu wa serikali
16 kuna namba pia maalum kwenye gari ya rais makamu waziri mkuu spika na mawaziri
 
Number 10 Ni ZT Zimamoto Tanzania Na Siyo FT Kwenye Usajiri
 
Back
Top Bottom