Zijue nchi wanachama wa OIC

Zijue nchi wanachama wa OIC

Leo niwajuze baadhi ya nchi wanachama wa Organization of Islamic Countries (OIC); jumla zipo 57.
1. Afghanistan, 2. Albania 3. Azerbaijan 4
Bahrain 5. Pakistan 5. Turkey 6. Qatar 7. Bangladesh 8. Benin 9. UAE 10. Djibouti 11. Indonesia 12. Morocco 13. Comoros 14. Kazahkstan 15. Kuwait 16. Libya 17. Lebanon 18. Egypt 19. Mali 20. Malaysia.....

Wabillah Taufiq



21.Iran
22.Uganda
 
Ungetupa na faida zake ili watu wajue umuhumu wa kujiuga OIC
OIC ni muungano wa mataifa ya kiislam ulioanzishwa 1969 kwaajili ya mataifa ya kiislam ama yenye idadi kubwa ya waislam kwaajili ya masuala ya dini na mahsusi zingine za maendeleo ikiwemo uongozi na uchumi.
 
Uchimi wa Indonesia juhudi zao wenyewe bhana acha uongo,kwaiyo izi nchi nyingine kama Bangladesh imekuaje mpaka Leo azijiwez kiuchumi?
Bangladesh halipo kwenye OIC.
Pia Bangladesh wana matatizo ya madeni mengi ya WB/IMF na ni nchi inayosumbuliwa na corruption.
Ukitaja mataifa yenye corruption kubwa Far East Bangladesh lazima uiweke.
Bangladesh ni kama Sri Lanka.

Kafuatilie nani aliyewekeza sana hapo Indonesia ukimtoa China kama sio Qatar na UAE.
Qatar na UAE wana mikataba ya maendeleo hapo Indonesia ya kufa mtu.
 
Bangladesh halipo kwenye OIC.
Pia Bangladesh wana matatizo ya madeni mengi ya WB/IMF na ni nchi inayosumbuliwa na corruption.
Ukitaja mataifa yenye corruption kubwa Far East Bangladesh lazima uiweke.
Bangladesh ni kama Sri Lanka.

Kafuatilie nani aliyewekeza sana hapo Indonesia ukimtoa China kama sio Qatar na UAE.
Qatar na UAE wana mikataba ya maendeleo hapo Indonesia ya kufa mtu.
Bangladesh oic imejitoa mwaka gan?
 
Leo niwajuze baadhi ya nchi wanachama wa Organization of Islamic Countries (OIC); jumla zipo 57.
1. Afghanistan, 2. Albania 3. Azerbaijan 4
Bahrain 5. Pakistan 5. Turkey 6. Qatar 7. Bangladesh 8. Benin 9. UAE 10. Djibouti 11. Indonesia 12. Morocco 13. Comoros 14. Kazahkstan 15. Kuwait 16. Libya 17. Lebanon 18. Egypt 19. Mali 20. Malaysia.....

Wabillah Taufiq



Kati ya hizo 57 ni zipi zinazofuata sheria za kiisilamu?
 
Back
Top Bottom