Mbuzingombe
JF-Expert Member
- Apr 14, 2024
- 353
- 828
Hili SWALI waulize CCM na muungano wao wa mchongo,hata Ukerewe , mafia nk tutaita Tanzania visiwani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili SWALI waulize CCM na muungano wao wa mchongo,hata Ukerewe , mafia nk tutaita Tanzania visiwani ?
Hakuna nchi inayoitwa Zanzibar.Zanzibar siioni hapo [emoji209]
IpoHakuna nchi inayoitwa Zanzibar.
Huogopii jihhad? Wazee wa kujitoa muhangaa.Ni Moja ya organization za hovyo na yakipumbavu kuwahi kutokea kwenye uso wa dunia
Wewe unataka league, ngoja ni down load katiba na video za mizengo pinda tuanze a fight.
Bahati nzuri wenyewe 👳wanalijua ilo vizurisana ndiomana akuna aliyekuja kutokotesha povuHuogopii jihhad? Wazee wa kujitoa muhangaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi Nitakupa za Othman Masoud Othman.aka OMO 😂😂Wewe unataka league, ngoja ni down load katiba na video za mizengo pinda tuanze a fight.
[emoji23].
21.IranLeo niwajuze baadhi ya nchi wanachama wa Organization of Islamic Countries (OIC); jumla zipo 57.
1. Afghanistan, 2. Albania 3. Azerbaijan 4
Bahrain 5. Pakistan 5. Turkey 6. Qatar 7. Bangladesh 8. Benin 9. UAE 10. Djibouti 11. Indonesia 12. Morocco 13. Comoros 14. Kazahkstan 15. Kuwait 16. Libya 17. Lebanon 18. Egypt 19. Mali 20. Malaysia.....
Wabillah Taufiq
Haijulikani kama wametoa tamko la kulaani ila OIC haikubali ugaidi.Wametoa tamko kulaani mauaji yaliyofanywa na magaidi ya kidini kule Bukina Faso?
OIC ni muungano wa mataifa ya kiislam ulioanzishwa 1969 kwaajili ya mataifa ya kiislam ama yenye idadi kubwa ya waislam kwaajili ya masuala ya dini na mahsusi zingine za maendeleo ikiwemo uongozi na uchumi.Ungetupa na faida zake ili watu wajue umuhumu wa kujiuga OIC
Palestine sio nchi inayotambulika.Saud Arabia, Iran, Palestine...n.k siwaoni
Kuna faida gani hapo umeshaona members wake ni Somalia , Afghanistan ,labda ugaidi tu.Ungetupa na faida zake ili watu wajue umuhumu wa kujiuga OIC
Bangladesh halipo kwenye OIC.Uchimi wa Indonesia juhudi zao wenyewe bhana acha uongo,kwaiyo izi nchi nyingine kama Bangladesh imekuaje mpaka Leo azijiwez kiuchumi?
Bangladesh oic imejitoa mwaka gan?Bangladesh halipo kwenye OIC.
Pia Bangladesh wana matatizo ya madeni mengi ya WB/IMF na ni nchi inayosumbuliwa na corruption.
Ukitaja mataifa yenye corruption kubwa Far East Bangladesh lazima uiweke.
Bangladesh ni kama Sri Lanka.
Kafuatilie nani aliyewekeza sana hapo Indonesia ukimtoa China kama sio Qatar na UAE.
Qatar na UAE wana mikataba ya maendeleo hapo Indonesia ya kufa mtu.
Hii comment yako huwa inanifikilisha sana...nakunivunja mbavuKama Somalia na Afghanistan ni wanachama basi team imetimia na kukamilika kila idara
Kati ya hizo 57 ni zipi zinazofuata sheria za kiisilamu?Leo niwajuze baadhi ya nchi wanachama wa Organization of Islamic Countries (OIC); jumla zipo 57.
1. Afghanistan, 2. Albania 3. Azerbaijan 4
Bahrain 5. Pakistan 5. Turkey 6. Qatar 7. Bangladesh 8. Benin 9. UAE 10. Djibouti 11. Indonesia 12. Morocco 13. Comoros 14. Kazahkstan 15. Kuwait 16. Libya 17. Lebanon 18. Egypt 19. Mali 20. Malaysia.....
Wabillah Taufiq