Zijue Sababu za Kwanini ni Wasira?, He is The Right Man at The Right Time & The Right Place. It Is A Project!, Ikikamilika, Atang'atuka, Kama Kinana!

Zijue Sababu za Kwanini ni Wasira?, He is The Right Man at The Right Time & The Right Place. It Is A Project!, Ikikamilika, Atang'atuka, Kama Kinana!

Wanabodi,

Nami niko hapa Dodoma Jiji kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM.
Rais Samia katupiga bonge la surprise ya mwaka kututeulia Stephen Wasira kuwa M/Mwenyekiti CCM Bara!.

Wakati Comred Kinana aking'atuka, aliomba kupumzika, na kutoa sababu ni kupisha vijana, damu changa, damu chemka, kuendeleza kulisongesha.

Kinana ana umri wa miaka 71, the big surprise ni kama mtu mwenye umri wa miaka 71, ameachia nafasi ili kupisha damu changa, halafu anayeletwa kujaza nafasi hiyo ni mtu mwenye umri wa miaka 80!, hili ni bonge la surprise!.

Swali la kwanza kujiuliza ni Why Wasira?.

Kwa maoni yangu Stephen Wasira, he is the right man at the right time & the right place, who will do it right!. To me Wasira is a special project!, ikikamilika, na yeye atang'atuka kupumzika, just kama Kinana!.

Sababu pekee iliyomfanya Wasira kuteuliwa ni uwezo wake wa uelewa na anavyomwelewa Rais Samia, na uwezo wake wa kujieleza, na kuuelwzea umma Rais Samia anataka nini, hivyo uteuzi huu wa Wazira ni uteuzi wa kimkakati, kulikamilisha tuu lile jambo letu lile, likikamilika, na yeye pia atapumzika kama Kinana, sio lazima akamilishe miaka yote mitano!.

Swali la kwanza, je Wasira licha ya kuwa na umri wa miaka 80, hakuna ubishi kuwa Wasira ni Mzee, ila je amezeeka?. Kuna mtu kuwa na umri mkubwa na kuna mtu kuzeeka, sio kila mzee ni amezeeka, kuna wazee wana umri mkubwa lakini wako active kuliko vijana!.

Mimi na Wasira.
Mimi nimeingia newsroom Januari 2 1990, huu ni mwaka wangu wa 34, hivyo Wasira namfahamu sana tuu, ile siku anamtwanga makonde mwandishi Yasin Sadiki pale Maelezo, nilikuwepo!. Makonde hayo yakafanya tumpe jina la Stephen Tyson Wasira!.

Nilikuja kumfahamu vizuri na kwa karibu Stephen Wasira wakati nikiishi jijini New Delhi nchini India, Wasira akiwa katika moja ya ziara zake za kiserekali, alikuja India na kutembelea hapo nilipo na kuzungumza nae.

Baada ya kuondoka, kuna wadada watatu wa Kitanzania wakapiga umbeya, mmoja wa wadada hao akazungumzia sura yake, ndipo mdada mwingine akatumwagia ubuyu kuwa huyu jamaa yukp fit kweli kweli!, Bongo anagombaniwa, kuna watu wanapigana kwa ajili yake!, mara ghafla wale wadada nao wakaanza kumgombania!, hayo yeye hakuyajua!.

Hili za Uzee na kuzeeka, nilipokutana nae nilimuuliza swali kuhusu yeye kuzeeka.
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=a7BFb6YvGKVk40iM
Msikilize Hoja zake kumhusu Rais Samia
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=b-wlN6bc7m_JMbz8

Ukiangalia vipindi hivi, ukaisikia michanga ya Steven Wasira, utakubaliana na mimi huyu ni mmoja wa viongozi wachache wanaioelewa vizuri na kikamilifu falsafa ya 4R za Samia, na nadhani ndizo sababu zilizo muibua mkongwe huyu kwa ule mchaka mchaka wa project ya lile jambo letu lile!.

Karibu

Paskali

Point ni ndogo tu baada ya miaka mitano ijayo kuisha watakuja na mitano tena umri sio inshu kama wasira😂😂😂
 
Wanabodi,

Nami niko hapa Dodoma Jiji kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM.
Rais Samia katupiga bonge la surprise ya mwaka kututeulia Stephen Wasira kuwa M/Mwenyekiti CCM Bara!.

Wakati Comred Kinana aking'atuka, aliomba kupumzika, na kutoa sababu ni kupisha vijana, damu changa, damu chemka, kuendeleza kulisongesha.

Kinana ana umri wa miaka 71, the big surprise ni kama mtu mwenye umri wa miaka 71, ameachia nafasi ili kupisha damu changa, halafu anayeletwa kujaza nafasi hiyo ni mtu mwenye umri wa miaka 80!, hili ni bonge la surprise!.

Swali la kwanza kujiuliza ni Why Wasira?.

Kwa maoni yangu Stephen Wasira, he is the right man at the right time & the right place, who will do it right!. To me Wasira is a special project!, ikikamilika, na yeye atang'atuka kupumzika, just kama Kinana!.

Sababu pekee iliyomfanya Wasira kuteuliwa ni uwezo wake wa uelewa na anavyomwelewa Rais Samia, na uwezo wake wa kujieleza, na kuuelwzea umma Rais Samia anataka nini, hivyo uteuzi huu wa Wazira ni uteuzi wa kimkakati, kulikamilisha tuu lile jambo letu lile, likikamilika, na yeye pia atapumzika kama Kinana, sio lazima akamilishe miaka yote mitano!.

Swali la kwanza, je Wasira licha ya kuwa na umri wa miaka 80, hakuna ubishi kuwa Wasira ni Mzee, ila je amezeeka?. Kuna mtu kuwa na umri mkubwa na kuna mtu kuzeeka, sio kila mzee ni amezeeka, kuna wazee wana umri mkubwa lakini wako active kuliko vijana!.

Mimi na Wasira.
Mimi nimeingia newsroom Januari 2 1990, huu ni mwaka wangu wa 34, hivyo Wasira namfahamu sana tuu, ile siku anamtwanga makonde mwandishi Yasin Sadiki pale Maelezo, nilikuwepo!. Makonde hayo yakafanya tumpe jina la Stephen Tyson Wasira!.

Nilikuja kumfahamu vizuri na kwa karibu Stephen Wasira wakati nikiishi jijini New Delhi nchini India, Wasira akiwa katika moja ya ziara zake za kiserekali, alikuja India na kutembelea hapo nilipo na kuzungumza nae.

Baada ya kuondoka, kuna wadada watatu wa Kitanzania wakapiga umbeya, mmoja wa wadada hao akazungumzia sura yake, ndipo mdada mwingine akatumwagia ubuyu kuwa huyu jamaa yukp fit kweli kweli!, Bongo anagombaniwa, kuna watu wanapigana kwa ajili yake!, mara ghafla wale wadada nao wakaanza kumgombania!, hayo yeye hakuyajua!.

Hili za Uzee na kuzeeka, nilipokutana nae nilimuuliza swali kuhusu yeye kuzeeka.
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=a7BFb6YvGKVk40iM
Msikilize Hoja zake kumhusu Rais Samia
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=b-wlN6bc7m_JMbz8

Ukiangalia vipindi hivi, ukaisikia michanga ya Steven Wasira, utakubaliana na mimi huyu ni mmoja wa viongozi wachache wanaioelewa vizuri na kikamilifu falsafa ya 4R za Samia, na nadhani ndizo sababu zilizo muibua mkongwe huyu kwa ule mchaka mchaka wa project ya lile jambo letu lile!.

Karibu

Paskali

Kama tangu akiwa miaka 28 anaingia serikalini kama kiongozi hadi leo ana miaka 80 na bado taabu ni ile ile yaani nchi haijapiga hatua maridhawa katika Uchumi, Elimu, Huduma za jamii, Afya na Demokrasia, basi huyo mzee ni garasa kama wengine wa kaliba yake.

Endeleeni kusifiana lakini nchi inahitaji ukombozi na siyo maajuza waliotufikisha hapa
 
Wanabodi,

Nami niko hapa Dodoma Jiji kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM.
Rais Samia katupiga bonge la surprise ya mwaka kututeulia Stephen Wasira kuwa M/Mwenyekiti CCM Bara!.

Wakati Comred Kinana aking'atuka, aliomba kupumzika, na kutoa sababu ni kupisha vijana, damu changa, damu chemka, kuendeleza kulisongesha.

Kinana ana umri wa miaka 71, the big surprise ni kama mtu mwenye umri wa miaka 71, ameachia nafasi ili kupisha damu changa, halafu anayeletwa kujaza nafasi hiyo ni mtu mwenye umri wa miaka 80!, hili ni bonge la surprise!.

Swali la kwanza kujiuliza ni Why Wasira?.

Kwa maoni yangu Stephen Wasira, he is the right man at the right time & the right place, who will do it right!. To me Wasira is a special project!, ikikamilika, na yeye atang'atuka kupumzika, just kama Kinana!.

Sababu pekee iliyomfanya Wasira kuteuliwa ni uwezo wake wa uelewa na anavyomwelewa Rais Samia, na uwezo wake wa kujieleza, na kuuelwzea umma Rais Samia anataka nini, hivyo uteuzi huu wa Wazira ni uteuzi wa kimkakati, kulikamilisha tuu lile jambo letu lile, likikamilika, na yeye pia atapumzika kama Kinana, sio lazima akamilishe miaka yote mitano!.

Swali la kwanza, je Wasira licha ya kuwa na umri wa miaka 80, hakuna ubishi kuwa Wasira ni Mzee, ila je amezeeka?. Kuna mtu kuwa na umri mkubwa na kuna mtu kuzeeka, sio kila mzee ni amezeeka, kuna wazee wana umri mkubwa lakini wako active kuliko vijana!.

Mimi na Wasira.
Mimi nimeingia newsroom Januari 2 1990, huu ni mwaka wangu wa 34, hivyo Wasira namfahamu sana tuu, ile siku anamtwanga makonde mwandishi Yasin Sadiki pale Maelezo, nilikuwepo!. Makonde hayo yakafanya tumpe jina la Stephen Tyson Wasira!.

Nilikuja kumfahamu vizuri na kwa karibu Stephen Wasira wakati nikiishi jijini New Delhi nchini India, Wasira akiwa katika moja ya ziara zake za kiserekali, alikuja India na kutembelea hapo nilipo na kuzungumza nae.

Baada ya kuondoka, kuna wadada watatu wa Kitanzania wakapiga umbeya, mmoja wa wadada hao akazungumzia sura yake, ndipo mdada mwingine akatumwagia ubuyu kuwa huyu jamaa yukp fit kweli kweli!, Bongo anagombaniwa, kuna watu wanapigana kwa ajili yake!, mara ghafla wale wadada nao wakaanza kumgombania!, hayo yeye hakuyajua!.

Hili za Uzee na kuzeeka, nilipokutana nae nilimuuliza swali kuhusu yeye kuzeeka.
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=a7BFb6YvGKVk40iM
Msikilize Hoja zake kumhusu Rais Samia
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=b-wlN6bc7m_JMbz8

Ukiangalia vipindi hivi, ukaisikia michanga ya Steven Wasira, utakubaliana na mimi huyu ni mmoja wa viongozi wachache wanaioelewa vizuri na kikamilifu falsafa ya 4R za Samia, na nadhani ndizo sababu zilizo muibua mkongwe huyu kwa ule mchaka mchaka wa project ya lile jambo letu lile!.

Karibu

Paskali

Uchawa mtupu ....
 
Wanabodi,

Nami niko hapa Dodoma Jiji kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM.
Rais Samia katupiga bonge la surprise ya mwaka kututeulia Stephen Wasira kuwa M/Mwenyekiti CCM Bara!.

Wakati Comred Kinana aking'atuka, aliomba kupumzika, na kutoa sababu ni kupisha vijana, damu changa, damu chemka, kuendeleza kulisongesha.

Kinana ana umri wa miaka 71, the big surprise ni kama mtu mwenye umri wa miaka 71, ameachia nafasi ili kupisha damu changa, halafu anayeletwa kujaza nafasi hiyo ni mtu mwenye umri wa miaka 80!, hili ni bonge la surprise!.

Swali la kwanza kujiuliza ni Why Wasira?.

Kwa maoni yangu Stephen Wasira, he is the right man at the right time & the right place, who will do it right!. To me Wasira is a special project!, ikikamilika, na yeye atang'atuka kupumzika, just kama Kinana!.

Sababu pekee iliyomfanya Wasira kuteuliwa ni uwezo wake wa uelewa na anavyomwelewa Rais Samia, na uwezo wake wa kujieleza, na kuuelwzea umma Rais Samia anataka nini, hivyo uteuzi huu wa Wazira ni uteuzi wa kimkakati, kulikamilisha tuu lile jambo letu lile, likikamilika, na yeye pia atapumzika kama Kinana, sio lazima akamilishe miaka yote mitano!.

Swali la kwanza, je Wasira licha ya kuwa na umri wa miaka 80, hakuna ubishi kuwa Wasira ni Mzee, ila je amezeeka?. Kuna mtu kuwa na umri mkubwa na kuna mtu kuzeeka, sio kila mzee ni amezeeka, kuna wazee wana umri mkubwa lakini wako active kuliko vijana!.

Mimi na Wasira.
Mimi nimeingia newsroom Januari 2 1990, huu ni mwaka wangu wa 34, hivyo Wasira namfahamu sana tuu, ile siku anamtwanga makonde mwandishi Yasin Sadiki pale Maelezo, nilikuwepo!. Makonde hayo yakafanya tumpe jina la Stephen Tyson Wasira!.

Nilikuja kumfahamu vizuri na kwa karibu Stephen Wasira wakati nikiishi jijini New Delhi nchini India, Wasira akiwa katika moja ya ziara zake za kiserekali, alikuja India na kutembelea hapo nilipo na kuzungumza nae.

Baada ya kuondoka, kuna wadada watatu wa Kitanzania wakapiga umbeya, mmoja wa wadada hao akazungumzia sura yake, ndipo mdada mwingine akatumwagia ubuyu kuwa huyu jamaa yukp fit kweli kweli!, Bongo anagombaniwa, kuna watu wanapigana kwa ajili yake!, mara ghafla wale wadada nao wakaanza kumgombania!, hayo yeye hakuyajua!.

Hili za Uzee na kuzeeka, nilipokutana nae nilimuuliza swali kuhusu yeye kuzeeka.
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=a7BFb6YvGKVk40iM
Msikilize Hoja zake kumhusu Rais Samia
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=b-wlN6bc7m_JMbz8

Ukiangalia vipindi hivi, ukaisikia michanga ya Steven Wasira, utakubaliana na mimi huyu ni mmoja wa viongozi wachache wanaioelewa vizuri na kikamilifu falsafa ya 4R za Samia, na nadhani ndizo sababu zilizo muibua mkongwe huyu kwa ule mchaka mchaka wa project ya lile jambo letu lile!.

Karibu

Paskali

Kwa hiyo ule utabiri /maono Yako ya YEYE yamekufa?
 
Embu fatanua nyie mlioshuhudia mtanange huo ilikuaje? wkt wasira tyson anamtwanga mtu makonde walikua ni piga nikupige au ndg mwandishi alikua ana guard tu?
 
Wasira ameletwa Chamani kukiimarisha Chama kanda ya Ziwa. Full stop hakuna bla balaa.CCM ilipywaya sana huko,hii ni kumuongezea Doto Biteko nguvu.

Ila nasikitika kusema wamechelewa sana
Huyu huyu Wassira alipigwa KO na mwanamke kule Bunda?Hamna kitu hapo,Nimemuelewa Mchangiaji mmoja hapo juu amesema Tyson amewekwa hapo kama zunga lakini mtendaji yupo tena nachelea kusema hatokei kwenye chama bali TissCcm
 
Huyu mzee anajua.sana.kupangua hoja ndio maana ameteuliwa. Yuko vizuri kichwani.
Pia CCM imetengenza mfumo mwingine baada ya ule wa Kleptokrasia kwamba wakati wa dharura wana uwezo wa kufanya teuzi ambazo hazifuati taratibu.

Ni stratejia ilowekwa baada ya kuondoka kwa viongozi makini na twaweza kuiita hybrid rotation system yaani wateua hata mzee kama Wassira kwasababu licha ya umri alo nao lakini bado aonyesha ana uwezo mkubwa kiakili.
 
Wanabodi,

Nami niko hapa Dodoma Jiji kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM.
Rais Samia katupiga bonge la surprise ya mwaka kututeulia Stephen Wasira kuwa M/Mwenyekiti CCM Bara!.

Wakati Comred Kinana aking'atuka, aliomba kupumzika, na kutoa sababu ni kupisha vijana, damu changa, damu chemka, kuendeleza kulisongesha.

Kinana ana umri wa miaka 71, the big surprise ni kama mtu mwenye umri wa miaka 71, ameachia nafasi ili kupisha damu changa, halafu anayeletwa kujaza nafasi hiyo ni mtu mwenye umri wa miaka 80!, hili ni bonge la surprise!.

Swali la kwanza kujiuliza ni Why Wasira?.

Kwa maoni yangu Stephen Wasira, he is the right man at the right time & the right place, who will do it right!. To me Wasira is a special project!, ikikamilika, na yeye atang'atuka kupumzika, just kama Kinana!.

Sababu pekee iliyomfanya Wasira kuteuliwa ni uwezo wake wa uelewa na anavyomwelewa Rais Samia, na uwezo wake wa kujieleza, na kuuelwzea umma Rais Samia anataka nini, hivyo uteuzi huu wa Wazira ni uteuzi wa kimkakati, kulikamilisha tuu lile jambo letu lile, likikamilika, na yeye pia atapumzika kama Kinana, sio lazima akamilishe miaka yote mitano!.

Swali la kwanza, je Wasira licha ya kuwa na umri wa miaka 80, hakuna ubishi kuwa Wasira ni Mzee, ila je amezeeka?. Kuna mtu kuwa na umri mkubwa na kuna mtu kuzeeka, sio kila mzee ni amezeeka, kuna wazee wana umri mkubwa lakini wako active kuliko vijana!.

Mimi na Wasira.
Mimi nimeingia newsroom Januari 2 1990, huu ni mwaka wangu wa 34, hivyo Wasira namfahamu sana tuu, ile siku anamtwanga makonde mwandishi Yasin Sadiki pale Maelezo, nilikuwepo!. Makonde hayo yakafanya tumpe jina la Stephen Tyson Wasira!.

Nilikuja kumfahamu vizuri na kwa karibu Stephen Wasira wakati nikiishi jijini New Delhi nchini India, Wasira akiwa katika moja ya ziara zake za kiserekali, alikuja India na kutembelea hapo nilipo na kuzungumza nae.

Baada ya kuondoka, kuna wadada watatu wa Kitanzania wakapiga umbeya, mmoja wa wadada hao akazungumzia sura yake, ndipo mdada mwingine akatumwagia ubuyu kuwa huyu jamaa yukp fit kweli kweli!, Bongo anagombaniwa, kuna watu wanapigana kwa ajili yake!, mara ghafla wale wadada nao wakaanza kumgombania!, hayo yeye hakuyajua!.

Hili za Uzee na kuzeeka, nilipokutana nae nilimuuliza swali kuhusu yeye kuzeeka.
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=a7BFb6YvGKVk40iM
Msikilize Hoja zake kumhusu Rais Samia
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=b-wlN6bc7m_JMbz8

Ukiangalia vipindi hivi, ukaisikia michanga ya Steven Wasira, utakubaliana na mimi huyu ni mmoja wa viongozi wachache wanaioelewa vizuri na kikamilifu falsafa ya 4R za Samia, na nadhani ndizo sababu zilizo muibua mkongwe huyu kwa ule mchaka mchaka wa project ya lile jambo letu lile!.

Karibu

Paskali

Paskali naheshimu maoni yako lakini sikubaliani na MTAZAMO wako.

Ni SIFA gani ambazo Wasira anazo baadhi ya vijana wenye 40 to 55 hawana ? Au ni SIFA gani ambazo Wasira anazo lakini over 60 years CCM imeshindwa kuandaa kijana mwenye sifa za Wasira ?

Vijana hawajioni kwenye nafas kubwa . Mwenyekiti wao ni mzee, inakuaje na makamu awe mzee, je tunawaandaaje vijana? Hii ndio sababu tukitafuta vijana makini kwenye high post hatupati……matokeo yake vijana wanapoteza confidence na kuchagua uchawi na mindless behaviorism
Wasira alipaswa kuwa mshauri wa chama na sio makamu

Hata ivyo najiuliza ni lini ile nafasi imeshikwa na KIJANA?
Mangulu alikuwa old man
Kinana alikuwa old man
Wasira old man

Au Mwenyekiti wanaogopa vijana wasije kupindua meza maana vijana wengi ni impatient

All in all , Katiba mpyq ndio mpango
 
Wanabodi,

Nami niko hapa Dodoma Jiji kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM.
Rais Samia katupiga bonge la surprise ya mwaka kututeulia Stephen Wasira kuwa M/Mwenyekiti CCM Bara!.

Wakati Comred Kinana aking'atuka, aliomba kupumzika, na kutoa sababu ni kupisha vijana, damu changa, damu chemka, kuendeleza kulisongesha.

Kinana ana umri wa miaka 71, the big surprise ni kama mtu mwenye umri wa miaka 71, ameachia nafasi ili kupisha damu changa, halafu anayeletwa kujaza nafasi hiyo ni mtu mwenye umri wa miaka 80!, hili ni bonge la surprise!.

Swali la kwanza kujiuliza ni Why Wasira?.

Kwa maoni yangu Stephen Wasira, he is the right man at the right time & the right place, who will do it right!. To me Wasira is a special project!, ikikamilika, na yeye atang'atuka kupumzika, just kama Kinana!.

Sababu pekee iliyomfanya Wasira kuteuliwa ni uwezo wake wa uelewa na anavyomwelewa Rais Samia, na uwezo wake wa kujieleza, na kuuelwzea umma Rais Samia anataka nini, hivyo uteuzi huu wa Wazira ni uteuzi wa kimkakati, kulikamilisha tuu lile jambo letu lile, likikamilika, na yeye pia atapumzika kama Kinana, sio lazima akamilishe miaka yote mitano!.

Swali la kwanza, je Wasira licha ya kuwa na umri wa miaka 80, hakuna ubishi kuwa Wasira ni Mzee, ila je amezeeka?. Kuna mtu kuwa na umri mkubwa na kuna mtu kuzeeka, sio kila mzee ni amezeeka, kuna wazee wana umri mkubwa lakini wako active kuliko vijana!.

Mimi na Wasira.
Mimi nimeingia newsroom Januari 2 1990, huu ni mwaka wangu wa 34, hivyo Wasira namfahamu sana tuu, ile siku anamtwanga makonde mwandishi Yasin Sadiki pale Maelezo, nilikuwepo!. Makonde hayo yakafanya tumpe jina la Stephen Tyson Wasira!.

Nilikuja kumfahamu vizuri na kwa karibu Stephen Wasira wakati nikiishi jijini New Delhi nchini India, Wasira akiwa katika moja ya ziara zake za kiserekali, alikuja India na kutembelea hapo nilipo na kuzungumza nae.

Baada ya kuondoka, kuna wadada watatu wa Kitanzania wakapiga umbeya, mmoja wa wadada hao akazungumzia sura yake, ndipo mdada mwingine akatumwagia ubuyu kuwa huyu jamaa yukp fit kweli kweli!, Bongo anagombaniwa, kuna watu wanapigana kwa ajili yake!, mara ghafla wale wadada nao wakaanza kumgombania!, hayo yeye hakuyajua!.

Hili za Uzee na kuzeeka, nilipokutana nae nilimuuliza swali kuhusu yeye kuzeeka.
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=a7BFb6YvGKVk40iM
Msikilize Hoja zake kumhusu Rais Samia
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=b-wlN6bc7m_JMbz8

Vipindi 4 vya 4R za Samia ambavyo Mzee Stephen Wasira ameshiriki

  1. View: https://youtu.be/MWTbctxfPG8?si=q2_P4M4H_Y6etqDs

  2. View: https://youtu.be/IPO5BSUaFzs

  3. View: https://youtu.be/K_QFYpGkRrM

Ukiangalia vipindi hivi, ukaisikia michanga ya Mzee Steven Wasira, utakubaliana na mimi huyu ni mmoja wa viongozi wachache wanaioelewa vizuri na kikamilifu falsafa ya 4R za Samia, na nadhani ndizo sababu zilizo muibua mkongwe huyu kwa ule mchaka mchaka wa project ya lile jambo letu lile!.

Karibu

Paskali


Chawa wenyewe ndio kama mtoa mada. Kila kitu kwao ni kupongeza, kusifu, kupamba, kuhalalisha hata ambapo wanaona kuna makosa ila hawana ujasiri kusema ukweli.
 
Wanabodi,

Nami niko hapa Dodoma Jiji kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM.
Rais Samia katupiga bonge la surprise ya mwaka kututeulia Stephen Wasira kuwa M/Mwenyekiti CCM Bara!.

Wakati Comred Kinana aking'atuka, aliomba kupumzika, na kutoa sababu ni kupisha vijana, damu changa, damu chemka, kuendeleza kulisongesha.

Kinana ana umri wa miaka 71, the big surprise ni kama mtu mwenye umri wa miaka 71, ameachia nafasi ili kupisha damu changa, halafu anayeletwa kujaza nafasi hiyo ni mtu mwenye umri wa miaka 80!, hili ni bonge la surprise!.

Swali la kwanza kujiuliza ni Why Wasira?.

Kwa maoni yangu Stephen Wasira, he is the right man at the right time & the right place, who will do it right!. To me Wasira is a special project!, ikikamilika, na yeye atang'atuka kupumzika, just kama Kinana!.

Sababu pekee iliyomfanya Wasira kuteuliwa ni uwezo wake wa uelewa na anavyomwelewa Rais Samia, na uwezo wake wa kujieleza, na kuuelwzea umma Rais Samia anataka nini, hivyo uteuzi huu wa Wazira ni uteuzi wa kimkakati, kulikamilisha tuu lile jambo letu lile, likikamilika, na yeye pia atapumzika kama Kinana, sio lazima akamilishe miaka yote mitano!.

Swali la kwanza, je Wasira licha ya kuwa na umri wa miaka 80, hakuna ubishi kuwa Wasira ni Mzee, ila je amezeeka?. Kuna mtu kuwa na umri mkubwa na kuna mtu kuzeeka, sio kila mzee ni amezeeka, kuna wazee wana umri mkubwa lakini wako active kuliko vijana!.

Mimi na Wasira.
Mimi nimeingia newsroom Januari 2 1990, huu ni mwaka wangu wa 34, hivyo Wasira namfahamu sana tuu, ile siku anamtwanga makonde mwandishi Yasin Sadiki pale Maelezo, nilikuwepo!. Makonde hayo yakafanya tumpe jina la Stephen Tyson Wasira!.

Nilikuja kumfahamu vizuri na kwa karibu Stephen Wasira wakati nikiishi jijini New Delhi nchini India, Wasira akiwa katika moja ya ziara zake za kiserekali, alikuja India na kutembelea hapo nilipo na kuzungumza nae.

Baada ya kuondoka, kuna wadada watatu wa Kitanzania wakapiga umbeya, mmoja wa wadada hao akazungumzia sura yake, ndipo mdada mwingine akatumwagia ubuyu kuwa huyu jamaa yukp fit kweli kweli!, Bongo anagombaniwa, kuna watu wanapigana kwa ajili yake!, mara ghafla wale wadada nao wakaanza kumgombania!, hayo yeye hakuyajua!.

Hili za Uzee na kuzeeka, nilipokutana nae nilimuuliza swali kuhusu yeye kuzeeka.
View: https://youtu.be/UR6qPKMfZXw?si=a7BFb6YvGKVk40iM
Msikilize Hoja zake kumhusu Rais Samia
View: https://youtu.be/5kIid09GCqQ?si=b-wlN6bc7m_JMbz8

Vipindi 4 vya 4R za Samia ambavyo Mzee Stephen Wasira ameshiriki

  1. View: https://youtu.be/MWTbctxfPG8?si=q2_P4M4H_Y6etqDs

  2. View: https://youtu.be/IPO5BSUaFzs

  3. View: https://youtu.be/K_QFYpGkRrM

Ukiangalia vipindi hivi, ukaisikia michanga ya Mzee Steven Wasira, utakubaliana na mimi huyu ni mmoja wa viongozi wachache wanaioelewa vizuri na kikamilifu falsafa ya 4R za Samia, na nadhani ndizo sababu zilizo muibua mkongwe huyu kwa ule mchaka mchaka wa project ya lile jambo letu lile!.

Karibu

Paskali

😎
 
Back
Top Bottom