Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Kaizer mwenyekiti nipo nimechelewa tu kidogo maana venue imejificha kama nini imenichukua muda kuipata sijui ni kutokana na mada yenyewe??.
 
:becky::becky::becky::becky:
kiongozi unaulizia VALUU kwa lamwai?
 
:becky::becky::becky::becky:
kiongozi unaulizia VALUU kwa lamwai?
OK sasa mwalimu ...
1. Ni nani kati ya Infedelator na infedeletee anatakiwa kumgawa mwenzie
2. Ni muda gani anatakiwa kuinfedilate kabla hajagawa?
 
Duh! ZD uko wapi?
This is completely Devil at work.Unaweza kudhani unachangamsha jamvi na kudau hu-practice mambo hayo.Lakini nijuacho mimi hata maneno yana nguvu sana kwani kimtokacho mtu ndicho kimjazacho na maneno huwa yanaumba(Hasa maneno ya kipepo)
 
OK sasa mwalimu ...
1. Ni nani kati ya Infedelator na infedeletee anatakiwa kumgawa mwenzie
2. Ni muda gani anatakiwa kuinfedilate kabla hajagawa?
naomba niirudie tena hii rule:.....

4-INFIDELATORS/INFIDELEETES wanatakiwa kushea-KIZURI KULA NA NDUGUYO!(hii sheria ni muhimu sana).ukimpata infideletee anaejituma sana gesti muhabarishe na mwenzio akamfaidi.SHARING IS CARING-KUGAWANA NI KUJALI
 
This is completely Devil at work.Unaweza kudhani unachangamsha jamvi na kudau hu-practice mambo hayo.Lakini nijuacho mimi hata maneno yana nguvu sana kwani kimtokacho mtu ndicho kimjazacho na maneno huwa yanaumba(Hasa maneno ya kipepo)
Mchumba.... mbona unani:confused2:...........?
 
naomba niirudie tena hii rule:.....

4-INFIDELATORS/INFIDELEETES wanatakiwa kushea-KIZURI KULA NA NDUGUYO!(hii sheria ni muhimu sana).ukimpata infideletee anaejituma sana gesti muhabarishe na mwenzio akamfaidi.SHARING IS CARING-KUGAWANA NI KUJALI
Ndio maana nikasema hili somo ni gumu kwangu sasa mwalimu bado hujanielewesha hapo (me and my thick skull!!) .......... so hakuna ruhusa kuattach feelings including wivu kwenye hii biashara eh???
 
Ndio maana nikasema hili somo ni gumu kwangu sasa mwalimu bado hujanielewesha hapo (me and my thick skull!!) .......... so hakuna ruhusa kuattach feelings including wivu kwenye hii biashara eh???
Wivu na infidelesheni ni sawa na mafuta na maji!

KIZURI KULA NA NDUGUYO....thats our motto!
 
Ndio maana nikasema hili somo ni gumu kwangu sasa mwalimu bado hujanielewesha hapo (me and my thick skull!!) .......... so hakuna ruhusa kuattach feelings including wivu kwenye hii biashara eh???
naomba niinukuu hii hapa:

7-INFIDELATORS/INFIDELETEES lazima awe na ''defined-marital status'',lazima awe ameoa/ameolewa (huwezi kufanya infidelity wakati wewe hujaoa-hapo unakuwa unafanya zinaa tu!...infidelity kwa ujumla wake lazima kwanza uoe/uolewe:eyebrows::eyebrows::eyebrows:!samahani kama nawakwaza hapa ndugu zangu).

ukishakuwa na ''ndoa'' yako huna sababu ya kuwa na wivu
 
Afadhali umelitambua hilo...!



Hapo ndio upinzani watapata upenyo wa kuonesha madhara ya INFIDELITY.

KonaKali nina kadi yako, tshirt na kofia karibu I know very soon you will change your mind i am still giving you time to think bout it when you are ready just :A S 101: vipi umeishapata :tea:
 
Wivu na infidelesheni ni sawa na mafuta na maji!

KIZURI KULA NA NDUGUYO....thats our motto!
Sasa nimeelewa ............


hivi kiti changu kule upande wa upinzani nani kakisogeza??......nakiomba tafadhali
 
Sasa nimeelewa ............


hivi kiti changu kule upande wa upinzani nani kakisogeza??......nakiomba tafadhali
hehehehe!
wewe ni kama ''HUSSEIN BASHE''....
hauwezi kuhama na hautakaa uhame
 
Mchumba.... mbona unani:confused2:...........?
Sitakiiiii malumbanoooooooo
sitakiiii manenooooooo
Najiweka pembeniiiiiiii niepuke msongamanoooooooooo.
kEEP IN MIND: Mie nipo kambi ya upinzani.CHADEMA oyeeeeeeeeeeeeeeeee.
 

Okey....So infidelator anapokuwa anainfidelate huwa anajua kuwa na mkewe naye ni infidelatee wa infidelator mwengine (na kama ulivyosema kuna kushare ... so ni infidelatee wa infidelators wengine?) na inawezekana kabisa wakati infidelator anainfidelate na mkewe anainfidelate kwa wakati huo huo?

Naona sasa naanza kuelewa somo mwalimu..... si ndiyo?
 
Sio kwamba nahama Teamo nilikuwa kambi hii tangu mwanzo sema ilinibidi nisogee front ili nikiuliza swali langu nisikike vizuri sasa narudi kitini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…