MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Kaizer mwenyekiti nipo nimechelewa tu kidogo maana venue imejificha kama nini imenichukua muda kuipata sijui ni kutokana na mada yenyewe??.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
:becky::becky::becky::becky:Mwalimu somo la leo nimejifunza mengi sana ila nina swali moja
Hivi hiyo infidelity ambayo unatufundisha mwalimu wangu inatakiwa iishe baada ya muda gani? kwa sababu umesema moja ya kanuni ni kuwa unatakiwa ushee na nduguyo/rafiki so ina maanisha unainfidelize then unamgawa halafu watafuta infedelitee mwingine au??
Somo la leo gumu kweli:confused2::confused2::confused2:
Karibu Chama Tawala jisikie uko nyumbani ingawa upinzani nao nguvu yao sio haba
Najua ukimaliza hako kachupa kamoja na pepsi na wota pembeni akili itakuwa imekaa vizuri kwahiyo utaanza kushusha material bila wasiwasi
OK sasa mwalimu ...:becky::becky::becky::becky:
kiongozi unaulizia VALUU kwa lamwai?
This is completely Devil at work.Unaweza kudhani unachangamsha jamvi na kudau hu-practice mambo hayo.Lakini nijuacho mimi hata maneno yana nguvu sana kwani kimtokacho mtu ndicho kimjazacho na maneno huwa yanaumba(Hasa maneno ya kipepo)Duh! ZD uko wapi?
naomba niirudie tena hii rule:.....OK sasa mwalimu ...
1. Ni nani kati ya Infedelator na infedeletee anatakiwa kumgawa mwenzie
2. Ni muda gani anatakiwa kuinfedilate kabla hajagawa?
Mchumba.... mbona unani:confused2:...........?This is completely Devil at work.Unaweza kudhani unachangamsha jamvi na kudau hu-practice mambo hayo.Lakini nijuacho mimi hata maneno yana nguvu sana kwani kimtokacho mtu ndicho kimjazacho na maneno huwa yanaumba(Hasa maneno ya kipepo)
Ndio maana nikasema hili somo ni gumu kwangu sasa mwalimu bado hujanielewesha hapo (me and my thick skull!!) .......... so hakuna ruhusa kuattach feelings including wivu kwenye hii biashara eh???naomba niirudie tena hii rule:.....
4-INFIDELATORS/INFIDELEETES wanatakiwa kushea-KIZURI KULA NA NDUGUYO!(hii sheria ni muhimu sana).ukimpata infideletee anaejituma sana gesti muhabarishe na mwenzio akamfaidi.SHARING IS CARING-KUGAWANA NI KUJALI
Mchumba.... mbona unani:confused2:...........?
Wivu na infidelesheni ni sawa na mafuta na maji!Ndio maana nikasema hili somo ni gumu kwangu sasa mwalimu bado hujanielewesha hapo (me and my thick skull!!) .......... so hakuna ruhusa kuattach feelings including wivu kwenye hii biashara eh???
naomba niinukuu hii hapa:Ndio maana nikasema hili somo ni gumu kwangu sasa mwalimu bado hujanielewesha hapo (me and my thick skull!!) .......... so hakuna ruhusa kuattach feelings including wivu kwenye hii biashara eh???
Ushindwe na ulegee....HAKUNA kitakachonitenganisha na mchumbangu! hata fumanizi, litasamehewa!:A S 8::A S 8:Amekuhama baada ya kujua umeadhirika na INFIDELITY
Afadhali umelitambua hilo...!
Hapo ndio upinzani watapata upenyo wa kuonesha madhara ya INFIDELITY.
Sasa nimeelewa ............Wivu na infidelesheni ni sawa na mafuta na maji!
KIZURI KULA NA NDUGUYO....thats our motto!
Sitakiiiii malumbanooooooooMchumba.... mbona unani:confused2:...........?
Tena nitaangaza nia muda sio mrefu ili niweke wazi.Labda atubu na kurudi kwa wapinzani.Amekuhama baada ya kujua umeadhirika na INFIDELITY
naomba niinukuu hii hapa:
7-INFIDELATORS/INFIDELETEES lazima awe na ''defined-marital status'',lazima awe ameoa/ameolewa (huwezi kufanya infidelity wakati wewe hujaoa-hapo unakuwa unafanya zinaa tu!...infidelity kwa ujumla wake lazima kwanza uoe/uolewe:eyebrows::eyebrows::eyebrows:!samahani kama nawakwaza hapa ndugu zangu).
ukishakuwa na ''ndoa'' yako huna sababu ya kuwa na wivu