Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Not applicable...
Mchango wangu unaenda kambi ya UPINZANI...
"Herufi kubwa kuonesha msisitizo..."
hahah unamzidi BASHE kwa herufi kubwa Smiles?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Not applicable...
Mchango wangu unaenda kambi ya UPINZANI...
"Herufi kubwa kuonesha msisitizo..."
Pope Kaizer nijengee mazingira msalato uchaguzi karibia unaisha
Smiles anataka kuiga nyayo za MPENDAZOE na SHIBUDA lakini moyoni anaona kama vile anaweza kuanguka anaona bora abaki tu
Good!! Hapo kilichobaki ni maombi nonstop.....ikibidi ntaomba mtu akaimu ukatibu kwa mda kidogo....:A S 8::A S 8::A S 8::A S 8:
hahah unamzidi BASHE kwa herufi kubwa Smiles?
Dk. Slaa ameshashinda? Umeona picha zake akiwa uwanja wa Mashujaa Moshi?:confused2::becky:
hahah uzuri usiape tu...ngoja niwahi sehem sehem will be back....katibu take the lead manake naona mhazini naye ameshachakachua michango anaenda ku do ze nidiful
hahah uzuri usiape tu...ngoja niwahi sehem sehem will be back....katibu take the lead manake naona mhazini naye ameshachakachua michango anaenda ku do ze nidiful
Chairman hata mi na udhuru kidogo......eti Liy flower chumba cha sala kiko wapi tena?
Nalirudia hapa,.... HIVI INFII WANARUHUSIWA KUKOPA??? i.e kula ugali kwa picha ya samaki
Asprin hapo kny avatar naona kama unasali vile?waombea nini?chama kishike hatamu au unaomba utoke kny chama na ikiwezekana kifutike kabisa?????Hivi Augustine Mrema naye si ni mpinzani? NOTED! haya mchango wako tafadhali, toka huko CCJ tulikokutuma tafadhali.
umesitisha maombi au unaenda kuwaombea walioko huko?:becky:Ngoja niwahi gesti!
Tukikutana kaunta, mabishano yanaisha mikakati ya pamoja inafanyika...INFI IS INEVITABLE....NO MATTER WHAT!
Sema smiles...sema usiogope...naona mhazini katoka..
Mmh...
waguna nini Smiles, I am back....
Umeshatoka kuchakachua...?