Definitely.....sio suala la kuuliza.....vipi umechakachua kitu leo?
Definitely.....sio suala la kuuliza.....vipi umechakachua kitu leo?
hehehehe!
infidelity inabamba WACHA KABISA
hahahaha!Nasikitika kuwa kwa mara ya kwanza nimevunja sheria moja ya infidelity. Siku zote nimekuwa mwaminifu sana kwa sheria hizi lakini juzi 'kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu' nilijikuta nimevunja sheria namba 9 (Infidelity ifanyike guest house tuu), nikajikuta nimeifanyia ofisini (juu ya meza). Hata hivyo mambo yalikuwa mazuri, na ilikuwa very nice first experience...
Nasikitika kuwa kwa mara ya kwanza nimevunja sheria moja ya infidelity. Siku zote nimekuwa mwaminifu sana kwa sheria hizi lakini juzi 'kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu' nilijikuta nimevunja sheria namba 9 (Infidelity ifanyike guest house tuu), nikajikuta nimeifanyia ofisini (juu ya meza). Hata hivyo mambo yalikuwa mazuri, na ilikuwa very nice first experience...
Teh Teh Tehhommie naona uko kikazi zaidi hapo!
Mpwa hilo somo naona litaisha December 31 2010 bado mwalimu hajacover topic zingine:becky::becky::becky:
We usimwambie hivyo tena mwenzako, akishindwa na kulea si vizurri, watu watajikoki na tigo fasta, mwambie shindwa na ugangamale!Shindwa na ulegeeeee
Nasikitika kuwa kwa mara ya kwanza nimevunja sheria moja ya infidelity. Siku zote nimekuwa mwaminifu sana kwa sheria hizi lakini juzi 'kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu' nilijikuta nimevunja sheria namba 9 (Infidelity ifanyike guest house tuu), nikajikuta nimeifanyia ofisini (juu ya meza). Hata hivyo mambo yalikuwa mazuri, na ilikuwa very nice first experience...
Ushasamehewa makosa yako yote.....sasa hebu kasome rule # 3, halafu wasiliana nami katibu kwa ajili ya kumbukumbu....
:mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:
Nasikitika kuwa kwa mara ya kwanza nimevunja sheria moja ya infidelity. Siku zote nimekuwa mwaminifu sana kwa sheria hizi lakini juzi 'kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu' nilijikuta nimevunja sheria namba 9 (Infidelity ifanyike guest house tuu), nikajikuta nimeifanyia ofisini (juu ya meza). Hata hivyo mambo yalikuwa mazuri, na ilikuwa very nice first experience...
hahahaha!
mkuu NINAKUTUNUKU NISHANI YA HESHIMA kwa hilo zuri na la kipekee ulilolifanya......!
swala la kwamba ulivaa zana au vinginevyo ni sredi nyingine kabisa
Mh natuufunge sasa huu mjadala!! maana watu hamchelewi kwenda ku-practice kweli bure!!! :becky::becky:
Ushasamehewa makosa yako yote.....sasa hebu kasome rule # 3, halafu wasiliana nami katibu kwa ajili ya kumbukumbu....
Kiongozi kuna rule inayohusu matumizi ya kondom.....vipi huko ofisini una stock ya kutosha?
Ehh Mungu msamehe huyu kiumbe wako.... kha???:mad2::mad2::mad2: