Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Hahahahahahaha...infii bwana...

Kumbe unalo, shida ni kukatiana?

Have a lovely day though!!

Hahahaha! si nilikuambia mwanachama wetu huyu? Smiles mchango tafadhali, mwezi unaisha huu
 
Hahahaha! si nilikuambia mwanachama wetu huyu? Smiles mchango tafadhali, mwezi unaisha huu

Hapendi kujulikana kwamba anatoa sana michango bana....mwache tafadhali...
 
Sheria ya ... Infidelator/Infideletee harushusiwi kuwa na WIVU babu umisahau?

Hehehee...
Wewe si ulikua mwanafunzi hadi jana??? Imekuwaje umebobea kwenye hizi sheria ghafla???:confused2:
 
Asprin babu yangu anauza matunda kila aina tena jumla na rejareja, nimwambie akuletee? au unataka la Smiles tu?

Halafu we Beauty bado nakungoja kule pm....
Unaweza kuninunulia tikiti moja uniletee tafadhali?:A S 8:
 
Asprin babu yangu anauza matunda kila aina tena jumla na rejareja, nimwambie akuletee? au unataka la Smiles tu?
Ngoja kwanza nimalizane na la smiles...sheria zetu hazituruhusu kutumia matunda mawili at a go!
 
Hehehee...
Wewe si ulikua mwanafunzi hadi jana??? Imekuwaje umebobea kwenye hizi sheria ghafla???:confused2:
........Nilikwambia jana nilikuwa mwanafunzi mwadilifu maana nilihakikisha najua kila kitu kabla ya kufanya maamuzi.

unaona sasa nilimwuliza Teamo ni muda gani infidelator anatakiwa ainfidelate kabla hajagawa kwa nduguye akanipotezea ona sasa babu anataka wakati Tuko ndo kwanzaaaaa anapata stater.
 
Hii laptop yangu mbona inaniletea dharau yaani nafungua ni browse hii topic inaanza kuniambia page cannot be opened.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…