Zijue sheria ''mama' za infidelity...

aisee,kwa namna hii kuna true love kwel?wat abt ukimwi?..........GOD FORBID.:mad2:
 
Unfortunately siqualify bado Roya.........

Don worry.....setifiketi yako iko tayari....
:becky::becky::becky::becky:

Nisipokuwa makini sitachomoka hapa lol

Uchomoke ili iweje???

Usiwe na wasi, babuyo nipo nitakulinda!!

Nadhani si zaidi ya ulinzi...
Hapo SG unakikosesha chama mapato!! Au uko kikazi?
Kikazi mkuu....kikazi..
*He He He*

Well......:confused2:
 
Roya nshaambiwa kwenye sheria namba sijui ngapi kuwa nikiinfidelate wakati sina ndoa nitakuwa nazini so setifiketi unanipaje?? Mie sipendi upendeleo!!
 
Don worry.....setifiketi yako iko tayari....


Uchomoke ili iweje???



Nadhani si zaidi ya ulinzi...

Kikazi mkuu....kikazi..


Well......:confused2:
:welcome::welcome::welcome:
 
Roya nshaambiwa kwenye sheria namba sijui ngapi kuwa nikiinfidelate wakati sina ndoa nitakuwa nazini so setifiketi unanipaje?? Mie sipendi upendeleo!!

Mbona unastuka? Hiyo imo.

ALL ANIMALS ARE EQUAL BUT SOME ARE MORE EQUAL THAN OTHERS. Why not you?
 
Roya nshaambiwa kwenye sheria namba sijui ngapi kuwa nikiinfidelate wakati sina ndoa nitakuwa nazini so setifiketi unanipaje?? Mie sipendi upendeleo!!
Mjukuu rejea kifungu kidogo ibara ya tatu...wewe una setifiketi ya kudeal na viongozi waandamizi:A S 8::A S 8:
 
Roya nshaambiwa kwenye sheria namba sijui ngapi kuwa nikiinfidelate wakati sina ndoa nitakuwa nazini so setifiketi unanipaje?? Mie sipendi upendeleo!!

Hujamwelewa mweka hazina??
Viongozi wakuu wana exemption ya sheria hiyo....so don worry bana...we jichagulie tu....Mwenyekiti (ila naona yuko bize sana), Katibu (available) na Mweka Hazina (nadhan ni babu yako)...
 
Hujamwelewa mweka hazina??
Viongozi wakuu wana exemption ya sheria hiyo....so don worry bana...we jichagulie tu....Mwenyekiti (ila naona yuko bize sana), Katibu (available) na Mweka Hazina (nadhan ni babu yako)...
:confused2::confused2::confused2:
 
hahaha!
AMANI KWAKO MWANAJAMII....!

kwa hiyo setifiketi uliyotunukiwa ''YA KUDEAL NA VIONGOZI TU''.....!hatimae nimeelewa ni kwanini SIJAWEKWA KWENYE PANELI YA UONGOZI!

nitapigania kufa na kupona uwe memba mwenye setifiketi za kawaida ili sheria namba tatu IMTENDEE HAKI KILA MMOJA WETU!...:becky::becky:
 

Mi nadhani njia rahisi ni kuongea na uongozi ili tukutafutie KAUONGOZI hata ka ukatibu mwenezi ili unufaike na huu upendeleo
 
Mi nadhani njia rahisi ni kuongea na uongozi ili tukutafutie KAUONGOZI hata ka ukatibu mwenezi ili unufaike na huu upendeleo
hahahahaha!.......
kama kuna VITI MAALUMU FANYENI UTARATIBU!

maanake hayo ''marupurupu'' naona viongozi mnaneemeka wenyewe tu
 
hahahahaha!.......
kama kuna VITI MAALUMU FANYENI UTARATIBU!

maanake hayo ''marupurupu'' naona viongozi mnaneemeka wenyewe tu

Nimegundua kuna nafasi moja bado haijajazwa....MSEMAJI WA CHAMA. ngoja nimtafute mwenyekiti... Kwa hiyo tutakuwa wanne tu tunaonufaika na huu upendeleo. Tukutane Zero pub leo tukuapishe!
 
Nimegundua kuna nafasi moja bado haijajazwa....MSEMAJI WA CHAMA. ngoja nimtafute mwenyekiti... Kwa hiyo tutakuwa wanne tu tunaonufaika na huu upendeleo. Tukutane Zero pub leo tukuapishe!

Mbona mnasahau kuwa kuna Mshauri hapa
 
Mi nadhani njia rahisi ni kuongea na uongozi ili tukutafutie KAUONGOZI hata ka ukatibu mwenezi ili unufaike na huu upendeleo

Lecturer kozi tunamaliza lini maana naona ajira zinaanza kuninyemelea hata kabla sijamaliza kozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…