Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana....huwezi kufanyia kwenye shamba lako la mihogo....sheria namba tisa...
Fanyia kwenye shamba, ila lisiwe lako....
By Katibu Mkuu ISC...
Hivi Smiles yuko wapi??
infidelity unaweza fanyia hata kwenye shamba lako la mihogo kule mapinga/kerege/manovu
View attachment 58011View attachment 58011View attachment 58011
Hahahahahaha!! Nyie vijana mmepinda mbaya kama huyu bibi yenu? Hivi kuna milume inapiga infii na huyu mbibi?Hapana....huwezi kufanyia kwenye shamba lako la mihogo....sheria namba tisa...
Fanyia kwenye shamba, ila lisiwe lako....
By Katibu Mkuu ISC...
Hivi Smiles yuko wapi??
Chezea binaadamu weyee! watu wanapiga infii hapoHahahahahaha!! Nyie vijana mmepinda mbaya kama huyu bibi yenu? Hivi kuna milume inapiga infii na huyu mbibi?
![]()
Ewaaa nau yu a toking hommie we need more members more zani evaBibie Elizabeth Dominic hapo chini hebu acha kuchungulia... Onana na Teamo au Kimey usajiliwe kwenye chama.... Kaizer mwache amalizane na gfsonwin kwanza.
There are currently 12 users browsing this thread. (8 members and 4 guests)
Wajukuu wafuatao tumeshawasajili katika chama letu kwa idhini ya cheaman Kaizer: charminglady, cacico, BADILI TABIA, Yummy gfsonwin na Catherine. Ila huyu Catherine anaelekea mguu ndani mguu nje. Sijui kwakuwa kuna infii ilimzalisha ikasepa? Hebu ona, mpaka mwanae ana mawazo.
![]()
hehehehe "come this way kwanza tutete"hivi @aspri miye wanisajili kwenye hiki chama wakti ndimi founder????????chazeya jf weye............FYI go to past histry
Bado unatafakari? fanya uwamuzi haraka chansi ni chache sanammmmmhhhhh! kaazi kwel kwel!

Afu wewe bado nna kesi na wewe.... We ngoja tu!!hivi @aspri miye wanisajili kwenye hiki chama wakti ndimi founder????????chazeya jf weye............FYI go to past histry
fidel enzi hizo ni mutu ya TiGo kabla hajastaafuThose days...i mean them days...Carina TI....Pole Samaki....Valuuu.....Al Batar....Kabaila....Upinzani ulikuwa kama DOVUTWA haukuwa na nguvu...
Kuna watu walikuwa wanashika miiko ya Chama kweli kweli kama CCM na Mwenge wao...pale utamkuta Asprin kati unakuta Teamo ukirudi pembeni unamkuta Kaizer mkono wa kulia unamkuta RR mbele Kimey...kulikuwa na reserves wakali enzi hizo bacha na Baba Enock
Hahahaha...hawa watu wamenikumbusha JF iliyokuwa na vituko hivi ilikuwaje hommie fidel tukampa cheo cha Mshauri MkuuNgoja niwatafute wajumbe wa bodi kuja kujadili huu mswada kabla haujasainiwa
Mwenyekiti - Pope Kaizer
Katibu - St. Roya Roy
Mweka hazina - Big braza Asprin -ODM
Katibu mwenezi - Bigirita
Mshauri mkuu - Fidel
Wajumbe: The Finest, Masanilo, Dreamliner,Askofu,Kimey,Klorokwini,Maskini Jeuri,D5, Msanii, Dark City,Smiles, Beauty, bht,fanta,bacha,Jamii Forums, Acid,Teamo
Wajumbe toka kambi ya upinzani: Carmel. Nyamayao, MJ1,Mwalimu Gaijin, ZD,Shishi,Mom......na wote wenye mapenzi mema na infidelity.:welcome::welcome::welcome:
hahahah!sasa hii habari na infidelity ni kama mlevi na baaView attachment 58012