Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Hapana....huwezi kufanyia kwenye shamba lako la mihogo....sheria namba tisa...
Fanyia kwenye shamba, ila lisiwe lako....
By Katibu Mkuu ISC...
Hivi Smiles yuko wapi??

gud guud!....
saasaaa baaasi...we unaweza kuja kufanyia hapo kwenye kashamba kangu ka mihogo alafu mi naenda kwenye kashamba kako ka minazi...hapo vipi?
 
infidelity unaweza fanyia hata kwenye shamba lako la mihogo kule mapinga/kerege/manovu
View attachment 58011View attachment 58011View attachment 58011

Hapana....huwezi kufanyia kwenye shamba lako la mihogo....sheria namba tisa...
Fanyia kwenye shamba, ila lisiwe lako....
By Katibu Mkuu ISC...
Hivi Smiles yuko wapi??
Hahahahahaha!! Nyie vijana mmepinda mbaya kama huyu bibi yenu? Hivi kuna milume inapiga infii na huyu mbibi?

41247_438609861224_104157016224_5149015_1077097_n.jpg
 
Hahahahahaha!! Nyie vijana mmepinda mbaya kama huyu bibi yenu? Hivi kuna milume inapiga infii na huyu mbibi?

41247_438609861224_104157016224_5149015_1077097_n.jpg
Chezea binaadamu weyee! watu wanapiga infii hapo
 
hahahah!sasa hii habari na infidelity ni kama mlevi na baaPhoto-0002 (2).jpg
 
lakin asprine umekuwa na kawaida ya kusajili wanachama pasi na baraka zetu.....!umesahau kwamba unaikiuka sheria hii...

3-INFIDELATORS/INFIDELEETES wanatakiwa kushea-KIZURI KULA NA NDUGUYO!(hii sheria ni muhimu sana).ukimpata infideletee anaejituma sana gesti muhabarishe na mwenzio akamfaidi.SHARING IS CARING-KUGAWANA NI KUJALI

sasa weweeeeee...
Photo-0004 (2).jpg
 
Those days...i mean them days...Carina TI....Pole Samaki....Valuuu.....Al Batar....Kabaila....Upinzani ulikuwa kama DOVUTWA haukuwa na nguvu...

Kuna watu walikuwa wanashika miiko ya Chama kweli kweli kama CCM na Mwenge wao...pale utamkuta Asprin kati unakuta Teamo ukirudi pembeni unamkuta Kaizer mkono wa kulia unamkuta RR mbele Kimey...kulikuwa na reserves wakali enzi hizo bacha na Baba Enock
 
Last edited by a moderator:
Those days...i mean them days...Carina TI....Pole Samaki....Valuuu.....Al Batar....Kabaila....Upinzani ulikuwa kama DOVUTWA haukuwa na nguvu...

Kuna watu walikuwa wanashika miiko ya Chama kweli kweli kama CCM na Mwenge wao...pale utamkuta Asprin kati unakuta Teamo ukirudi pembeni unamkuta Kaizer mkono wa kulia unamkuta RR mbele Kimey...kulikuwa na reserves wakali enzi hizo bacha na Baba Enock
fidel enzi hizo ni mutu ya TiGo kabla hajastaafu
 
Last edited by a moderator:
Ngoja niwatafute wajumbe wa bodi kuja kujadili huu mswada kabla haujasainiwa

Mwenyekiti - Pope Kaizer
Katibu - St. Roya Roy
Mweka hazina - Big braza Asprin -ODM
Katibu mwenezi - Bigirita
Mshauri mkuu - Fidel
Wajumbe: The Finest, Masanilo, Dreamliner,Askofu,Kimey,Klorokwini,Maskini Jeuri,D5, Msanii, Dark City,Smiles, Beauty, bht,fanta,bacha,Jamii Forums, Acid,Teamo
Wajumbe toka kambi ya upinzani: Carmel. Nyamayao, MJ1,Mwalimu Gaijin, ZD,Shishi,Mom......na wote wenye mapenzi mema na infidelity.:welcome::welcome::welcome:
Hahahaha...hawa watu wamenikumbusha JF iliyokuwa na vituko hivi ilikuwaje hommie fidel tukampa cheo cha Mshauri Mkuu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom