Zijue sifa za mwanaume kutokana na muonekano wake

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Zijue sifa za mwanaume kutokana na muonekano wake
  • Wanaume wanaonyoa vipara na kumaliza nywele kichwani huwa wana sifa ya kutokuhonga, na wanapenda sana mambo ya chini, mwanamke akimpatia nafasi hatojutia kwa shoo atakayoipata, ila hatapewa pesa.
  • Wanaume wanaonyoa panki huwa na sifa za kubembeleza bembeleza na kupenda mapenzi ya maigizo maigizo kama tamthilya, pia huwa wanahonga kwa kiasi, kwenye shoo wako kwa wastani.
  • Wanaume ambao hunyoa kawaida bila kufuata mitindo ya kisasa, wengi wao huwa ni wazembe kwenye mapenzi, na wanahonga sana, ila shoo zao zinakuwa ni za kawaida. Ila ni wepesi wa kuhonga nyumba, magari n.k kama uwezo anao.
Kazi kwenu wadada
 
Muda wote nasubiria ndevu ziote ote vizuri na zijae ili nianze kuwa nanyoa kipara,
Sasa kwa sifa hiyo ya wenye vipara, sijui niendelea na kuwa na wazo langu la kunyoa kipara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…