Zijue Sifa za ndege za kivita EF-18 na F-22 F35

Zijue Sifa za ndege za kivita EF-18 na F-22 F35

Source mkuu.... Reliable Sources tunaomba, haya masimulizi hata mimi nayaweza

Mkuu kwanza sio vizuri kubeza beza watu anvao huwajui vizuri, kinacho zungumzwa hapa ni masuala ya kisayansi sio masuala ya geopolitics mimi nimekwisha kupa lead including majina ya mwanasayansi muhusika mkuu jwa nini utafuti mwenyewe kujua undani wake.

Mkuu sisemi mambo ya kubuni, ndio maana niliwahoji toka mwanzo kwamba hivi mnajua pioneer wa masuala ya Laser na Maser alikuwa ni nani - that simple, tafuta mwenyewe utajifunza mengi.
 
Duuuh....hatari tupu....hizo zote zipo kumuangamiza binadam
 
Teknolojia ni mchezo wa kijinga,,leo Mrusi akiunda ndege yenye kasi,uwezo mkubwa wakushambulia na kukwepa rader kesho Muisrael anaunda Rader yenye uwezo wakuona ndege hiyo hiyo ya mrusi na kuishambulia...!!'n

Mwaka fulani ivi kule Tarime kulikuwa na uchaguzi mdogo wa ubunge Washashi waliangusha helkopta ya polisi kwa jiwe la Kombeo...!
 
Russia will overpower American in military capability, technology and so forth!! US and his allies/ NATO combined are more powerful even five times than Russia and her Allies!! Remember US has larger number of nuclear weapons/missile that are more active and gone into use in Japan Hiroshima and Nagasaki than Russia! US control the largest satellites and largest super computer that control the connection and communication of computers in all regions!!! So the western will never fear Russia but will only buy a time! US have many military base from sea to land even near Russia borders!!
 
Russia will overpower American in military capability, technology and so forth!! US and his allies/ NATO combined are more powerful even five times than Russia and her Allies!! Remember US has larger number of nuclear weapons/missile that are more active and gone into use in Japan Hiroshima and Nagasaki than Russia! US control the largest satellites and largest super computer that control the connection and communication of computers in all regions!!! So the western will never fear Russia but will only buy a time! US have many military base from sea to land even near Russia borders!!
mwenye number kubwa ya nuclear weapon ni mrusi mkuu , USA anaongoza kwa kuwa na number kubwa ballistic missile
 
Mkuu kwanza sio vizuri kubeza beza watu anvao huwajui vizuri, kinacho zungumzwa hapa ni masuala ya kisayansi sio masuala ya geopolitics mimi nimekwisha kupa lead including majina ya mwanasayansi muhusika mkuu jwa nini utafuti mwenyewe kujua undani wake.

Mkuu sisemi mambo ya kubuni, ndio maana niliwahoji toka mwanzo kwamba hivi mnajua pioneer wa masuala ya Laser na Maser alikuwa ni nani - that simple, tafuta mwenyewe utajifunza mengi.
Asikusumbue mkuu tunaoelewa tumeelewa...Kama anataka chanzo cha Habari yako mwambie awasiliane na pentagon

Sent from mTalk
 
Mada nzuri sana..
Hapa ndo najua nani mjeda nani mkulima.
 
Russia will overpower American in military capability, technology and so forth!! US and his allies/ NATO combined are more powerful even five times than Russia and her Allies!! Remember US has larger number of nuclear weapons/missile that are more active and gone into use in Japan Hiroshima and Nagasaki than Russia! US control the largest satellites and largest super computer that control the connection and communication of computers in all regions!!! So the western will never fear Russia but will only buy a time! US have many military base from sea to land even near Russia borders!!
Ebu fafanua vizuri hapo kwenye super compyuya. Maana US ndiye mlalamikaji wa kuibiwa takwimu na warusi na wachina.

Yaani kama ana super compyuter iweje wamuibie?
 
Kuhusu nucler. Hebu fuatilia nani aliwahi na akawa wa kwanza kulipua bomu kubwa zaidi la nucler kwenye hii sayati.

Unamfahamu jamaa anaitwa RED OCTOBER?
 
Back
Top Bottom