Hairuhusiwi bible kwenye simu ni kwenye private area na sio kanisani.vipi kama natumia biblia ya kwenye simu??
Ukiwa kanisani nani anacontrol attention YAKO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hairuhusiwi bible kwenye simu ni kwenye private area na sio kanisani.vipi kama natumia biblia ya kwenye simu??
mida yaasubuhi nimeona mdada anaenda chach na Bible yake kava kimini mapaja yote wazi na ana wowowo sijui waumini wakiume watakua nahali gani hukoMacho hayana mpaka mkuu, ndio maana tanawashauri dada zetu wavae mavazi ya kijisitiri vyema.
Wasipovaa vyema watasababisha wengine watende dhambi.
"Mpingeni shetani naye atawakimbia"Kiuhalisia hiyo haiwezi kuwa na tija
kwa wasabato na waloma sawa lakini haya makanisa ya walanguzi hilo aliwezekaniKwa akina dada vaa nguo yenye kusitiri mwili wako, ficha matiti yako na usionyeshe mapaja na matako yako ukiwa kanisani - haswa ikiwa umeketi mbele au unaongoza nyimbo za sifa na ibada. Kwa nini umkengeushe nabii na waabudu wengine?
Ukiwa kanisani, zima simu yako. Epuka kutafuna big G. Na usitupe takataka kanisani.
Ukiwa na changamoto ya kusikia usingizi wakati wa ibada, kaa safu ya katikati nyuma kabisa. Unaweza pia kupiga miayo huko.
Acha kuwatazama watu wanapoomba na kusifu - wewe pia umeenda kanisani kuabudu na kusifu hivyo sifu na uombe kama wao.
Acha kuchezea kurasa za biblia hovyo hovyo maana kufanya hivyo ni kukosa adabu - unaweza kufanya hivyo kibinafsi ukiwa nyumbani kwako.
Tafadhali jali watoto wanaolia. Usiondoke kabla ibada haijamaliza, isipokuwa kama utapata dharura.
Kama lilivyo shirika lingine lolote, kanisa pia lina bili - usiende kanisani mikono mtupu nenda na sadaka.
Ikiwa hujui kuimba ama huwa unaimba off-tune kama mimi, tafadhali punguza sauti yako[emoji1787]
Wengine wakimaliza kuomba tafadhali nyamaza. Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko (1Kor 14:33).
Kwa wanandoa, peaneni mabusu mkiwa nyumbani au kwenye gari na sio ibadani.
Nakutakia ibada njema.
Ubarikiwe.
Waimbaji ni jambo jingine na maombi ya sauti ni jambo jingineMapepo ni jeshi lazima yapingwe na Jeshi la waimbaji.
Huyo mdada atakuwa ni wakala wa shetani.mida yaasubuhi nimeona mdada anaenda chach na Bible yake kava kimini mapaja yote wazi na ana wowowo sijui waumini wakiume watakua nahali gani huko
private area kivipi? Na huku kuna wachungaji wanatumia na ibada zinaendeshwa vizuri sana.Hairuhusiwi bible kwenye simu ni kwenye private area na sio kanisani.
Ukiwa kanisani nani anacontrol attention YAKO.
Sasa hawa ndiyo wengi tena wanatoka kwenye viti wanaingia kwenye isle na kuimba kwa kuzungukazunguka, watafitiwe gavanaIkiwa hujui kuimba ama huwa unaimba off-tune kama mimi, tafadhali punguza sauti yako![]()
lakini anaenda kusali nawapo wengi Sana wadizaini hioHuyo mdada atakuwa ni wakala wa shetani.
Sikia ndugu nyimbo za ibada sio burudani bali ni jumbe zenye nguvu ya Mungu, huweza hata kuangusha ngome na mamlaka ya shetaniWaimbaji ni jambo jingine na maombi ya sauti ni jambo jingine
perception yako ya hovyo kweli,,,basi unaamini una-amini kila anayeswitch on simu yake,,,anakuwa na mambo ya hovyo kama yaliyo kwenye simu yako,,,i feel you sorry!Hilo ulijualo wewe ndio upuuzi huo huo wa ku switch on simu yako ukiwa katika Ibada.
Nakutakia ibada njema.
Hatukatai, hoja yangu kwanini watu wote kwa pamoja wasali kila mtu kivyake tena kwasauti kubwa na kupoteza kusikilizana?Sikia ndugu nyimbo za ibada sio burudani bali ni jumbe zenye nguvu ya Mungu, huweza hata kuangusha ngome na mamlaka ya shetani
Kumbuka Paul na Sila walifanya kitu kama hicho gerezani walipokuwa wamefungwa kwa hila, mwisho wa siku walishinda.
Wao ni sahihi Ili kurahisisha ufundishaji.private area kivipi? Na huku kuna wachungaji wanatumia na ibada zinaendeshwa vizuri sana.
Wapunguze tu sauti wakati wa kuimbaSasa hawa ndiyo wengi tena wanatoka kwenye viti wanaingia kwenye isle na kuimba kwa kuzungukazunguka, watafitiwe gavana
Wanasema unawanyanyapaa hawakuimbii wewe wanamuimbia MunguWapunguze tu sauti wakati wa kuimba
Katika maombi huwa kuna kiongozi wa maombi, huyo husimamia zoezi zima la maombi, ndio maana kuna ushauri kama huu "ukisikia wengine wamenyamaza nawe nyamaza"Hatukatai, hoja yangu kwanini watu wote kwa pamoja wasali kila mtu kivyake tena kwasauti kubwa na kupoteza kusikilizana?
Umewahi kumshuhudia nani akitazama ngono kanisani?? Au evidence yako ni ipi?? Au unatoa hoja kufurahisha watu.Wao ni sahihi Ili kurahisisha ufundishaji.
Wengine amchelewi kutazama ngono ibada ikiendelea
Yupo mmoja hupenda kuvaa kama Gigy MoneyUmeanza na wadada, ni mdada gani amekukera hapo kanisani mpendwa.
Kwanini tupimiane kiwango cha maombi? Kwanini nikatishiwe sala yangu?"ukisikia wengine wamenyamaza nawe nyamaza"