Zijue tabia za Kanisani

Macho hayana mpaka mkuu, ndio maana tanawashauri dada zetu wavae mavazi ya kijisitiri vyema.

Wasipovaa vyema watasababisha wengine watende dhambi.
mida yaasubuhi nimeona mdada anaenda chach na Bible yake kava kimini mapaja yote wazi na ana wowowo sijui waumini wakiume watakua nahali gani huko
 
Kiuhalisia hiyo haiwezi kuwa na tija
"Mpingeni shetani naye atawakimbia"

Huwezi subiri mtu mmoja tu miongoni mwa watu zaidi ya mia awe mpigaji pekee.

Mapepo ni jeshi lazima yapingwe na Jeshi la waimbaji.
 
kwa wasabato na waloma sawa lakini haya makanisa ya walanguzi hilo aliwezekani
 
Hairuhusiwi bible kwenye simu ni kwenye private area na sio kanisani.
Ukiwa kanisani nani anacontrol attention YAKO.
private area kivipi? Na huku kuna wachungaji wanatumia na ibada zinaendeshwa vizuri sana.
 
Waimbaji ni jambo jingine na maombi ya sauti ni jambo jingine
Sikia ndugu nyimbo za ibada sio burudani bali ni jumbe zenye nguvu ya Mungu, huweza hata kuangusha ngome na mamlaka ya shetani

Kumbuka Paul na Sila walifanya kitu kama hicho gerezani walipokuwa wamefungwa kwa hila, mwisho wa siku walishinda.
 
Hilo ulijualo wewe ndio upuuzi huo huo wa ku switch on simu yako ukiwa katika Ibada.

Nakutakia ibada njema.
perception yako ya hovyo kweli,,,basi unaamini una-amini kila anayeswitch on simu yake,,,anakuwa na mambo ya hovyo kama yaliyo kwenye simu yako,,,i feel you sorry!
 
Sikia ndugu nyimbo za ibada sio burudani bali ni jumbe zenye nguvu ya Mungu, huweza hata kuangusha ngome na mamlaka ya shetani

Kumbuka Paul na Sila walifanya kitu kama hicho gerezani walipokuwa wamefungwa kwa hila, mwisho wa siku walishinda.
Hatukatai, hoja yangu kwanini watu wote kwa pamoja wasali kila mtu kivyake tena kwasauti kubwa na kupoteza kusikilizana?
 
private area kivipi? Na huku kuna wachungaji wanatumia na ibada zinaendeshwa vizuri sana.
Wao ni sahihi Ili kurahisisha ufundishaji.
Wengine amchelewi kutazama ngono ibada ikiendelea
 
Hatukatai, hoja yangu kwanini watu wote kwa pamoja wasali kila mtu kivyake tena kwasauti kubwa na kupoteza kusikilizana?
Katika maombi huwa kuna kiongozi wa maombi, huyo husimamia zoezi zima la maombi, ndio maana kuna ushauri kama huu "ukisikia wengine wamenyamaza nawe nyamaza"

Hapo kiongozi atakuwa ktk nafasi yake kusimamia maombi hatua kwa hatua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…