Zijue taratibu za ndoa ya bomani

Wewe tu mkuu maana maisha ni kuchagua na kuchagua ni kupanga. Wengine huwa wanajifungisha wenyewe na wanaita ndoa kwa kuishi pamoja. So hapo we chagua unachopenda kama dini zimewakinahi. ILA swali ni kuwa unapoenda huko bomani je huwakosei viongozi wako wa dini? Iloposemwa kuheshim mamlaka si kufunga ndoa Bali ni kufuata taratibu za kiserekali kama kulipa kodi, kufuata sheria za nchi nk. Hivyo acha kupotosha watu unakosea sana.
 
Na kusali muende huko huko bomani Maana hakuna dini watu wanaosali wakiwa dini tofauti. Maana ninavyoelewa ni kuwa watu hufikia kufunga ndoa bomani kwa sababu wanafikia uamuzi wa kila mmoja kuishi na dini yake.
 
yakobo11
Niulize pia...vpi ukihitaji kuingia tena kanisani utapata cheti kingine au utafanyaje?
Iko hivi, cheti cha ndoa utakachopata kanisani ni sawa na cheti utakachopata bomani.
Maana vile vitabu vyote vinatoka serikalini. Kanisa linakwenda kuomba serikalini kwamba watakuwa wanafungisha ndoa, kwahiyo tofauti ni kwamba wewe utafungia ndoa kanisani na yule mwingine atafungia ndoa yake bomani lakini ndoa zote zinatambulika kiserikali pia.

Jibu , la Kaka Mr.Mtui , ukishafunga ndoa yako bomani unaweza kwenda kuomba kuibariki kanisani na cheti kilekile ulichopewa bomani , maana hicho cheti ni sawa na kile cha kanisani.
Na wakikuombea unabarikiwa vizuri sana tu.
 
Sawa nmekupata mkuu..so itabd nmwambie faza kwamba tayar nina gamba?
 
Mi nadhani humu watu wanatangaza biashara wajameni. Hizo laki na nusu laki tatu simchezo. Fateni imani zenu mfunge ndoa kidini na kuthibitisha tu serikalini. Labda km imani Yako inaruhusu ndoa za bomani.
 
Mi nadhani humu watu wanatangaza biashara wajameni. Hizo laki na nusu laki tatu simchezo. Fateni imani zenu mfunge ndoa kidini na kuthibitisha tu serikalini. Labda km imani Yako inaruhusu ndoa za bomani.
Imani yako inasemaje mkuu
 
Naomba msaada. Mashahidi wanahitajika ile siku ya kupeleka barua za serikali ya mtaa na siku ya kufunga ndoa? Ama watahitajika ile siku ya kufunga ndoa tu? Msaada wa haraka tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…