#COVID19 Zikijibiwa hizi hoja, naenda kuchanjwa!

#COVID19 Zikijibiwa hizi hoja, naenda kuchanjwa!

Yaani nichome sumu kisa connection, kwani nikifia hapa hapa kijijini kwangu sitaoza...
Mbona chanjo zingine hamtumii nguvu kubwa kuipainga? Hivi mzungu atake kukuua wewe unaweza kukwepea wapi? Hata akitaka kuweka sumu kwenye dawa za malaria tu mtakufa wengi maana ndizo dawa mnazotumia kwa wingi na wala hutojua ila utameza kama dawa ya kutibu malaria.

Yaani hapa ndipo unapoamini kuna watu wanaishi maisha very primitive aise.
 
We wala usichanjwe kaa tu.

1. Matumizi ya condom na net ni hiyari sio lazima lakini umewahi kuhoji nguvu kubwa inatotumika kutaka watu watumie? Unajua ni mamilioni mangapi ya shilingi yanatumika kujenga uelewa wa watu kutumia condom? Unadhani kwanini kama sio kutaka kulinda watu wagumu kama wewe

2. Umewahi kuwa na ndugu yako wa karibu anaingia kufanyiwa upasuaji hospitali ukatakiwa kusaini form ya kujitwisha mzigo na si hospitali, Dokta wala serekali? Kwanini unashangaa kwenye chanjo ya korona.
Tatizo mnakaririshwa mambo, kwa hiyo kwa akili yako, unadhani madaktari bigwa na wasomi wakubwa kupinga chanjo unadhani wamechanganyikiwa eeh?

Ni chanjo ipi umewahi kuchomwa, ukaambiwa usaini likitokea la kutokea serikali haihusiki?

Dunia nzima chanjo inapigwa...we unadhani una akili kuzidi hao wote wanaopinga?
 
Mbona chanjo zingine hamtumii nguvu kubwa kuipainga? Hivi mzungu atake kukuua wewe unaweza kukwepea wapi? Hata akitaka kuweka sumu kwenye dawa za malaria tu mtakufa wengi maana ndizo dawa mnazotumia kwa wingi na wala hutojua ila utameza kama dawa ya kutibu malaria.

Yaani hapa ndipo unapoamini kuna watu wanaishi maisha very primitive aise.
Kwani mauaji wameanza leo, unajua kinachofanyika kwenye chanjo za kuzuia cervical cancer wanazodunga kwa watoto wa kike? mburula kama nyie hamuwezi kuelewa kinachoendelea chini ya kapeti....
 
Kwani mauaji wameanza leo, unajua kinachofanyika kwenye chanjo za kuzuia cervical cancer wanazodunga kwa watoto wa kike? mburula kama nyie hamuwezi kuelewa kinachoendelea chini ya kapeti....
Mbona hiyo hujaipigia kelele waache lakini umekomaa na hii tu?
 
Kwani mauaji wameanza leo, unajua kinachofanyika kwenye chanjo za kuzuia cervical cancer wanazodunga kwa watoto wa kike? mburula kama nyie hamuwezi kuelewa kinachoendelea chini ya kapeti....
Vipi kuhusu matumizi ya condom yanapigiwa chapuo kila uchwao lakini hampingi. Kwani kukuwekea sumu kwenye condom imeshindikana?
 
Chadema mna kinyesi kichwani
Sasa Nani kakufuata ukachanjwe,au unaropoka tuh uwonekane
We ukichapa shuhuli zako za kukuongezea pato Nani anakufuata ukachanje Kama hutaki
Mkuu hilo jambo halijakaa kisiasa usitake ulazimishe liwe hivyo.
Hapo hakuna Chadema, CCM wala tusio na vyama, bali ni utashi wa mtu tu.
Kwani hujui kua Gwajima ni mwana CCM mwenzio lakini anapinga chanjo?

Kuna wana JF wengi ni makada wa Chadema lakini ndio watetezi wakubwa wa hizo chanjo.
Kusema anae pinga chanjo ni mfuasi wa chama flani huko ni kutaka kuamisha magoli.

Chamsingi anaetaka kuchanjwa na achanjwe na sisi tusietaka kuchanjwa mutuache.
 
Kwani mauaji wameanza leo, unajua kinachofanyika kwenye chanjo za kuzuia cervical cancer wanazodunga kwa watoto wa kike? mburula kama nyie hamuwezi kuelewa kinachoendelea chini ya kapeti....
Hapo kuna Waafrika kwa mamilioni wabasubiri kwa hamu chanjo/dawa ya UKIMWI iletwe na hao hao wazungu.

Tunaiamini vipi chanjo ya UKIMWI then tunakataa kuiamini hii chanjo ya corona?
 
Kama chanjo ni hiyari kwanini inatumika nguvu kubwa kuwaswaga watu wapatiwe chanjo........

Katika uhuru wa kutoa maoni kwenye chanjo kwanini uhuru unaotakiwa ni wa kukubali chanjo lakini wa kupingana na chanjo unaonekana sio uhuru bali ni uchonganishi.......??

Kwanini serikali ikatae kuwajibika kwa chanjo inayoinadi kuwa ni salama kwa asilimia zaidi ya 99....??

Nikishachanjwa nitapatwa na nini kuzito ambacho serikali kama mlezi wa raia hataki kuwajibika nacho......??

Mtu isipomfaa akili yake basi utamdhuru ujinga wake

Nawakaribisha wote hasahasa wanaopigia debe chanjo wakiongozwa na Mshana Jr

Asante sana KikulachoChako kwa hoja hizi.
Sio chanjo hii tu,

Chanjo zote,lazima usaini mpaka operation lazima usaini,je umeshawahi kuhoji?

Acha akili za kushikiwa
 
Vipi kuhusu matumizi ya condom yanapigiwa chapuo kila uchwao lakini hampingi. Kwani kukuwekea sumu kwenye condom imeshindikana?
Unayajua matumizi ya kondomu, dawa za uzazi wa mpango, kutoa mimba vinalenga nini, unajua kwa nini hizo project zinapata ufadhili mkubwa kutoka kwenye mashirika kama Bill Gates foundation, kula ugali wako wa matembele ujaze tumbo huna uelewa wowote na kinachoendelea kwenye hii dunia...
 
Kama chanjo ni hiyari kwanini inatumika nguvu kubwa kuwaswaga watu wapatiwe chanjo........

Katika uhuru wa kutoa maoni kwenye chanjo kwanini uhuru unaotakiwa ni wa kukubali chanjo lakini wa kupingana na chanjo unaonekana sio uhuru bali ni uchonganishi.......??

Kwanini serikali ikatae kuwajibika kwa chanjo inayoinadi kuwa ni salama kwa asilimia zaidi ya 99....??

Nikishachanjwa nitapatwa na nini kuzito ambacho serikali kama mlezi wa raia hataki kuwajibika nacho......??

Mtu isipomfaa akili yake basi utamdhuru ujinga wake

Nawakaribisha wote hasahasa wanaopigia debe chanjo wakiongozwa na Mshana Jr

Asante sana KikulachoChako kwa hoja hizi.
zile chanjo ni chache sana. NI nilioni moja tu wakati tupo milioni 55.Wewe ata ungetaka chanjo usingepata
 
Tatizo mnakaririshwa mambo, kwa hiyo kwa akili yako, unadhani madaktari bigwa na wasomi wakubwa kupinga chanjo unadhani wamechanganyikiwa eeh?

Ni chanjo ipi umewahi kuchomwa, ukaambiwa usaini likitokea la kutokea serikali haihusiki?

Dunia nzima chanjo inapigwa...we unadhani una akili kuzidi hao wote wanaopinga?
Kwako wewe daktari bingwa ni Dr Gwajima?

Bure kabisa wewe
 
Tatizo mnakaririshwa mambo, kwa hiyo kwa akili yako, unadhani madaktari bigwa na wasomi wakubwa kupinga chanjo unadhani wamechanganyikiwa eeh?

Ni chanjo ipi umewahi kuchomwa, ukaambiwa usaini likitokea la kutokea serikali haihusiki?

Dunia nzima chanjo inapigwa...we unadhani una akili kuzidi hao wote wanaopinga?
Jana nimesoma habari isemayo, Rais wa Marekani (Biden) ameamua kuwalipa dollar 100 raia wake watakao kubali kuchanjwa, hapo nikapata majibu kua ninae pinga kuchanjwa sipo peke yangu, kumbe mpaka huko duniani.
 
Kama chanjo ni hiyari kwanini inatumika nguvu kubwa kuwaswaga watu wapatiwe chanjo........

Katika uhuru wa kutoa maoni kwenye chanjo kwanini uhuru unaotakiwa ni wa kukubali chanjo lakini wa kupingana na chanjo unaonekana sio uhuru bali ni uchonganishi.......??

Kwanini serikali ikatae kuwajibika kwa chanjo inayoinadi kuwa ni salama kwa asilimia zaidi ya 99....??

Nikishachanjwa nitapatwa na nini kuzito ambacho serikali kama mlezi wa raia hataki kuwajibika nacho......??

Mtu isipomfaa akili yake basi utamdhuru ujinga wake

Nawakaribisha wote hasahasa wanaopigia debe chanjo wakiongozwa na Mshana Jr

Asante sana KikulachoChako kwa hoja hizi.
Serikali iliyopita iliruhusu uongo utawale na ukweli upingwe hivyo idadi kubwa ya wananchi wana habari za uongo vichwani mwao kuliko ukweli. Serikali ya sasa imeongeza nguvu kwenye kuueleza ukweli na inadiscourage uongo,,, walakini chanjo ni hiari hakuna mtu hata mmoja aliyelazimishwa kuchanjwa.

Wanaopinga chanjo wanaongea mambo ya kubuni ambayo hawajayafanyia utafiti wowote. Inatakiwa ukweli uwekwe wazi halafu mwananchi aamue kukubali kuchanja au la.

Tangu hapo mwanzo serikali haijawahi kuhusika na madhara (side effects) za chanjo yoyote. Kwahiyo hii ni kawaida.

Kwa mujibu wa wataalamu ni kwamba chanjo ina side effects kama zilizvyo chanjo zote au dawa zote. (google side effects za paracetamol).
Baadhi ya watu huwa hawapati side effects nikiwemo mimi. Nimechoma hiyohiyo Johnson na sikupata side effects zozote. Kwanini serikali iwajibike kwa side effects za dawa?

TUANDIKENI UKWELI KUHUSU HIZI CHANJO. TUSITUNGE MAMBO.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Jana nimesoma habari isemayo, Rais wa Marekani (Biden) ameamua kuwalipa dollar 100 raia wake watakao kubali kuchanjwa, hapo nikapata majibu kua ninae pinga kuchanjwa sipo peke yangu, kumbe mpaka huko duniani.

Kutokana na habari nyingi za kila aina zilizozagaa kwenye mitandao tangu zianze, kweli watu wengi hawataki kuchanja
Ni mtu na maamuzi yake ila itasaidia kupunguza maambukizi
Kila mmoja ana uhuru wake ila kuna mda itakuwa lazima

Kwa mfano France kuanzia mwezi ujao wafanyakazi wote wa wizara ya afya asiechanja hana kazi

Sasa itakuwa lazima hata google wafanyakazi wote wameambiwa chanja au huna kazi

Wanasema kama hutaki kuchanja kaa nyumbani usiambukize wenzako
 
Kama chanjo ni hiyari kwanini inatumika nguvu kubwa kuwaswaga watu wapatiwe chanjo........

Katika uhuru wa kutoa maoni kwenye chanjo kwanini uhuru unaotakiwa ni wa kukubali chanjo lakini wa kupingana na chanjo unaonekana sio uhuru bali ni uchonganishi.......??

Kwanini serikali ikatae kuwajibika kwa chanjo inayoinadi kuwa ni salama kwa asilimia zaidi ya 99....??

Nikishachanjwa nitapatwa na nini kuzito ambacho serikali kama mlezi wa raia hataki kuwajibika nacho......??

Mtu isipomfaa akili yake basi utamdhuru ujinga wake

Nawakaribisha wote hasahasa wanaopigia debe chanjo wakiongozwa na Mshana Jr

Asante sana KikulachoChako kwa hoja hizi.
Binafsi sichanjwi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom